Pata fursa ya kilimo katika bonde la Kalenga mpaka Kiwele

kabila01

JF-Expert Member
Apr 21, 2009
4,235
4,949
Nitumie nafasi hii kuwakaribisha wapambanaji wenzangu tusiokata tamaa katika kilimo. Bonde hili lipo KM 10 tu kutoka Iringa Mjini usafiri wa daladala na nauli ni sh 500 tu. Unaweza kukaa Iringa Mjini asubuhi unaenda shamba jioni unarudi.

Ukiamua kukaa kule poa mazingira mazuri umeme upo na nyuma za kupanga zipo kodi ni kama elfu 20 kwa mwezi chumba chenye umeme.

Bonde hili linaenda sambamba na Mto Ruaha, serikali imejenga Scheme za umwagiliaji maji yanapatikana kwa wingi mwaka mzima na wala hutumii machine kumwagilia. Scheme ya umwagiliaji ni kubwa sana inapita vijiji kama 7 unaanzia Kalenga mpaka Kigara karibia na Pawaga.

Mashamba yanakodishwa kwa shilingi laki moja na nusu kwa msimu na unalipia elfu 25 gharama ya maji kwa msimu mzima.

Mazao yanayolimwa ni vitunguu, nyanya, hoho, nyanya chungu, mahindi gobo, green beans nk.

Wapambanaji karibuni.
 
Umenikumbusha eneo moja lipo chini hapo karibu na ipogoro tulikua tunaenda kuogelea panaitwa TARO ukiwa unashuka kutoka samora unapaona kwa ufasaha sana

kwa ujumla ni eneo zuri kwa kilimo.
 
Ms
Nitumie nafasi hii kuwakaribisha wapambanaji wenzangu tusiokata tamaa katika kilimo. Bonde hili lipo KM 10 tu kutoka Iringa Mjini usafiri wa daladala na nauli ni sh 500 tu. Unaweza kukaa Iringa Mjini asubuhi unaenda shamba jioni unarudi. Ukiamua kukaa kule poa mazingira mazuri umeme upo na nyuma za kupanga zipo kodi ni kama elfu 20 kwa mwezi chumba chenye umeme.

Bonde hili linaenda sambamba na Mto Ruaha, serikali imejenga Scheme za umwagiliaji maji yanapatikana kwa wingi mwaka mzima na wala hutumii machine kumwagilia. Scheme ya umwagiliaji ni kubwa sana inapita vijiji kama 7 unaanzia Kalenga mpaka Kigara karibia na Pawaga. Mashamba yanakodishwa kwa shilingi laki moja na nusu kwa msimu na unalipia elfu 25 gharama ya maji kwa msimu mzima.

Mazao yanayolimwa ni vitunguu, nyanya, hoho, nyanya chungu, mahindi gobo, green beans nk.

Wapambanaji karibuni.
Msimu unaanza lin
 
Nitumie nafasi hii kuwakaribisha wapambanaji wenzangu tusiokata tamaa katika kilimo. Bonde hili lipo KM 10 tu kutoka Iringa Mjini usafiri wa daladala na nauli ni sh 500 tu. Unaweza kukaa Iringa Mjini asubuhi unaenda shamba jioni unarudi. Ukiamua kukaa kule poa mazingira mazuri umeme upo na nyuma za kupanga zipo kodi ni kama elfu 20 kwa mwezi chumba chenye umeme.

Bonde hili linaenda sambamba na Mto Ruaha, serikali imejenga Scheme za umwagiliaji maji yanapatikana kwa wingi mwaka mzima na wala hutumii machine kumwagilia. Scheme ya umwagiliaji ni kubwa sana inapita vijiji kama 7 unaanzia Kalenga mpaka Kigara karibia na Pawaga. Mashamba yanakodishwa kwa shilingi laki moja na nusu kwa msimu na unalipia elfu 25 gharama ya maji kwa msimu mzima.

Mazao yanayolimwa ni vitunguu, nyanya, hoho, nyanya chungu, mahindi gobo, green beans nk.

Wapambanaji karibuni.
Daa mzee unatutia mzuka kweli naona town tunapoteza muda tuu,shambani ndio mambo yote.
 
Nitumie nafasi hii kuwakaribisha wapambanaji wenzangu tusiokata tamaa katika kilimo. Bonde hili lipo KM 10 tu kutoka Iringa Mjini usafiri wa daladala na nauli ni sh 500 tu. Unaweza kukaa Iringa Mjini asubuhi unaenda shamba jioni unarudi. Ukiamua kukaa kule poa mazingira mazuri umeme upo na nyuma za kupanga zipo kodi ni kama elfu 20 kwa mwezi chumba chenye umeme.

Bonde hili linaenda sambamba na Mto Ruaha, serikali imejenga Scheme za umwagiliaji maji yanapatikana kwa wingi mwaka mzima na wala hutumii machine kumwagilia. Scheme ya umwagiliaji ni kubwa sana inapita vijiji kama 7 unaanzia Kalenga mpaka Kigara karibia na Pawaga. Mashamba yanakodishwa kwa shilingi laki moja na nusu kwa msimu na unalipia elfu 25 gharama ya maji kwa msimu mzima.

Mazao yanayolimwa ni vitunguu, nyanya, hoho, nyanya chungu, mahindi gobo, green beans nk.

Wapambanaji karibuni.
contacts
 
huko si kwa mh. msigwa, alilima nyanya zikakosa soko wakaonesha zinaliwa na mifugo!

tupe upstikanaji wa masoko hata ya hapo na nje kidogo.
wakulima wa hilo bonde hasa pake kalenga wapo slow sana kujifunza vitu vipya ..

wao wapo busy na mbegu za nyanya za kienyeji tu.Makapuni yamekesha hapo kutoa elimu lkn wapiiiiii.Wakulima wote wanafanana akili
 
Back
Top Bottom