kiingereza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kuongea kwa kuchanganya lugha kiswahili na Kiingereza, ni usomi au ujanja?

    Eti wakuu kuongea kwa kuchanganya Lugha 2 kwa pamoja, Kiswahili na kiingereza, hiyo huwa inaonesha usomi wa mtu, ujanja au mtu anakuwa hajui lugha zote 2 hivyo anachanganya kupata misamiati ili kukamilisha sentensi zake? Siyo kitu cha ajabu kusikia I garantee you utakuwa salama we nenda tu, au...
  2. A

    Kusema Shahidi hajui Kiingereza ni kuizalilisha elimu yetu.

    Bila kuathiri mwenendo WA Kesi na bila Kujua , Mwendesha Mashtaka na shahidi wamekuja na mkakati wa kusema kwamba Shahidi-Polisi hajui kiingereza hivyo PGO alishindwa kuifuata inavyo taka. Sasa hapo ni kulitusi geshi la Polisi na Elimu yetu na sirikali yetu tukufu kwamba haijui inachofanya...
  3. S

    Watanzania na changamoto ya matumizi ya lugha ya kiingereza mitandaoni

    Hello Wana jamiiforums? Ni jambo lisilopingika kwamba lugha ya Kiingereza ni lugha muhimu katika dunia ya leo, hasa kwenye elimu, ajira na mawasiliano ya kimataifa. Hata hivyo, hali inayojitokeza mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii inaonyesha kuwa Watanzania wengi hawana uelewa mzuri wa...
  4. Samia atosha tukutane2030

    Kama umemaliza angalau kidato cha 4 halafu hujui Kiingereza. Jitahidi ujue, hiyo ni aibu

    Wasiojua Kiingereza na wana Elimu ambayo wameipata kwa lugha ya Kiingereza watakuja na utetezi wao kuwa Kiingereza ni utumwa, mara Elimu si lugha, mara utawasikia Wachina mbona wana viwanda, wengine wana Master's na hawajui Kiingereza. Utetezi wa namna hii ni mfu, unapaswa unyang'anywe vyeti...
  5. DuaZaMama

    Ni neno gani la Kiingereza linalokupa shida kulitaja?

    Wakuu, kama tunavyojua kila mtu anatoka katika mazingira tofauti na amejifunza Kiingereza kwa namna yake. Je, ni neno gani la Kiingereza ambalo mara nyingi linakupa ugumu kulitaja au kulitamka kwa usahihi? 😊 Mimi neno linalonipa shida ni “entrepreneur”.
  6. Bawabu wa pili

    Ni neno gani la kiingereza ambalo hukubaliani na spelling zake ila unakubali tu ili mawasiliano yafanyike

    Ni neno gani la kiingereza ambalo hukubaliani na spelling zake ila unakubali tu ili mawasiliano yafanyike Mimi naanza na neno ''Psychology'' pana haja gani ya kuwa na P mwanzoni ili hali siitumii kabisa? Teremka hapo chini kwa meneno mengine unayoyajua
  7. Ziroseventytwo

    Hammo Rapper apigwe marufuku kuongea kiingereza. Analitia aibu taifa

    Nimemwona Hammo rapa akiongea kiingereza kibovu kiasi kwamba analitia aibu taifa. Majirani zetu Wakenya wakiona hii ndio watatucheka kabisa. Wizara inayohusika na sanaa impige marufuku Hamorapa kuongea kiingereza. Ni ushauri tu nimetoa.
  8. T

    Kingereza na uchumi; jipatie ofa hii ya KITABU kuboresha kiingereza kwa matumizi tofauti kiuchumi

    OFA YA KITABU CHA KIINGEREZA Mimi kama mwalimu wa kingereza imenibidi nikupe ofa ya kitabu (soft handbook) DOWNLOAD hapo👇 in case utaitaji msaada wa vitabu vingine au namuna ya kukitumia hicho kitabu (soft hand book) Tuwasiliane kwa namba 0623446608 Ubarikiwe!
  9. S

    Natafuta kazi za kwenye idara ya procurement, lakini pia nina ujuzi kwenye ulimwengu wa social media na naongea kiingereza vizuri

    Habari wakuu Nimekuja kwenu kuomba yeyote mwenye kazi au connection ya kazi anisaidie. Sifa zangu Jinsia: Me Umri: 28 Eneo: Dar es salaam Elimu: Bachelor’s Degree in Procurement and Logistics Management Naonngea kiingereza vizuri sana Kazi ninazoweza kufanya kutokana na taaluma yangu ni idara...
  10. falcon Q

    Maisha yangu, Maisha yako

    We have being a lot in our lives, any of us can tell a very interesting story but May's it's crazy, just hold on what you think of having people who helped you a lot and suddenly they wish you to fall! Funny right, yes it is then why they helped you to the point, a point that will light Avery...
  11. Foffana

    Nitumie mbinu gani kujifunza kiingereza kwa urahisi

    Heshima kwenu Wakubwa Nitoe pole kwa ndugu,jamaa,marafiki Pamoja na watanzania wote waliopoteza wapendwa wao kwa hakika hizi ni nyakati ngumu lakini TUTASHINDA TU Nirudi kwenye mada kuu wadau ninaomba mnipatie mbinu za kujua kuzungumza, kuandika na kuweza kuelewa lugha ya kiingereza kwa...
  12. E

    Natafuta rafiki wa kuongea nae kiingereza tu

    Natafu rafiki ambaye tutakua tunaongea kiingereza tu, ni kwajili ya kupractice english speaking , mimi nafanya kazi za uhandisi electronics hardware na sofware. im a man. karibu PM kwa mawasiliano zaidi
  13. Tech Max

    Nauza vitabu(softcopy/nakala laini) vya kiingereza vilivyotafairiwa kiswahili na kiingereza Bei 10,000 Tsh kimoja

    Nauza vitabu(softcopy/nakala laini) vya kiingereza vilivyotafsiriwa kiswahili na kiingereza Bei 10,000 Tsh kimoja. 1. Kitabu Cha Henoko (Biblia hakipo) 2. Rich Dad, poor dad (Swahili) 3. Art of strategy (Sanaa ya mkakati) (Swahili) Nicheki kwa vitabu vingine tuma jina la kitabu WhatsApp...
  14. Tech Max

    kitabu gani unahitaji bei 10,000 tsh kimoja, natafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 - 10,000 Tsh

    kitabu gani unahitaji bei 10,000 tsh kimoja, natafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 - 10,000 Tsh, inategemea na ukubwa nicheki 0756704145
  15. Tech Max

    Kitabu gani unahitaji nikupe Bei 10,000 Tsh, vitabu vya kiingereza na kiswahili nakutafsiria

    Kitabu gani unahitaji nikupe Bei 10,000 Tsh, vitabu vya kiingereza na kiswahili nakutafsiria, nicheki 0756704145
  16. BUSINESS IDEAS ACADEMY

    Karibu Tujifunze Kichina (Chinese to Swahili, Chinese to English, English to Chinese, Swahili to Chinese)

    Karibu kwenye uzi huu maalum wa kufundisha lugha ya Kichina (Mandarin). Kupitia uzi huu, CHUO CHA MAWAZO YA BIASHARA tutakuwa tukifundisha lugha ya Kichina hatua kwa hatua kuanzia mwanzo hadi mwisho. Tutapitia mambo yafuatayo: 1. Utangulizi wa Lugha ya Kichina: alfabeti ya Kichina (Pinyin)...
  17. Tech Max

    Natafsiri vitabu kutoka lugha ya kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 Tsh kitabu kimoja

    Natafsiri vitabu kutoka lugha ya kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 Tsh kitabu kimoja, kitabu natuma WhatsApp au kwa email Nicheki 0756704145
  18. Tech Max

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh kwa kitabu kimoja , nicheki +255 0756704145
  19. Tech Max

    Natafsiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh (kurasa 1 -> 100) na Bei 10,000 Tsh (kurasa 1 - 490), na Bei 15,000 Tsh (1 - 800) na ku ndelea kwa kitabu kimoja , nicheki +255 0756704145
  20. Tech Max

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh

    Natasfiri vitabu kutoka lugha Kiingereza kwenda Kiswahili bei 5000 Tsh kwa kitabu kimoja , nicheki +255 0756704145
Back
Top Bottom