kiboko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Iran kiboko, anapigana ramadhani

    Wakiristo hawawezi kabisa kupigana huku wakiwa wamefunga..
  2. 'Kiboko ya wachawi' anatutukana sana watanzania

    Kama utapitia mtandaoni hasa tiktok utakutana na mtu anaeitwa KIBOKO YA WACHAWI, huyu anatutukana sana na kutudharau. Lakini kwanini amefika hatua hii japo nimekuja kumfahamu/kusikia baada ya kufukuzwa,kwamba alikuwa anachukua laki tano tano ili kumuona. Kuna muda mpaka mtu unapigwa na...
  3. Abdallah Omari Likonda Anaeleza Historia ya Duka la Mafuta ya Taa la Mama Maria Nyerere na Joseph Kiboko Nyerere 1950s

    https://youtu.be/rnnegB5L8I0
  4. Simba anapokutana na Kiboko kwenye mto (AJ vs Jake Paul)

    Ndondi ni mchezo mzuri sana kama hakuna ndugu yako ulingoni ila kama kuna ndugu yako basi si burudani ya mzaha; ni mchezo unaobeba hatari inayoweza kubadilisha historia ya maisha ya mtu kwa sekunde chache. Uliza familia ya Marehemu Hiromasa au familia ya Segun Olanrewaju ambao walikata moto...
  5. PostGE2025 Askofu Gwajima ni kiboko, kawapiga chenga sasa wameomba poooh

    Nyie huyu Gwajima sio jasusi kweli?, amewezaje kuwatoa Jasho polisi na watekaji hadi sasa hawajui alipo, huu msamaha ni mtego wamnase tu ila najua Gwaji boy ni mjanja kashawasoma kitambo sana. Kila wakitageti location inasoma Dar somewhere wakifika mamba hayupo location inasoma Uyole, Mbeya...
  6. K

    Wanamuita huko kwao kiboko ya machogo

    Machogo ndiyo wabara! Yaani mauaji ya ndugu zetu kwao ni michambo! Mbaya sana hii. Piganieni haki acheni uchawa
  7. Hii ni kiboko ya wadudu wote wasumbufu sumbufu

    Hii dawa ni nouma sana inzi, mende, kunguni , mbuu na n.k ukipulizia ndani hutoona mdudu yeyote akikatiza. Lkn pia nyoka hatoboi kwenye hii dawa hawezi kuingia ndani akisikia hii dawa akijaribu kuingia kwa kuforce akigusa tu anakwenda na maji Inaitwa canye 😁😁😁
  8. Mama umenipa moyo jinsi wanavyokuhanya. Wewe ni Mama wa taifa, mama la mama

    Heee! Umenipa moyo sana. Leo kupo kimyaaa! Wanaongelea mashimoni huko kama panyabuku. Hasa! Na bado!
  9. Katam ya diamond ni kiboko

    Dah huu wimbo Katam,diamond kaimba ya yule mkenya wa sauti sol bien,wow,fantastic bonge la songi
  10. Alianza Kiboko ya Wachawi sasa Tony Kapola naye kuwadharau "Wajinga wanaoamini kwenye Manabii Fake"

    Habari za Sabato! Kiboko ya Wachawi aliwapa wapumbavu haki yao kikatiba kama asemavyo Malisa. Naona Tony Kapola naye kawatukana majitu majinga anayoyalia pesa au yanayoliwa pesa na Manabii wa mchango. Kapola ni wachungaji wa mchango hilo hata yeye analijua na mara nyingi anakiri hilo kwenye...
  11. Make Gaza Israel Again ndiyo kiboko cha Magaidi huko Gaza!!

    Israel kuchukua udhibiti kamili wa kijeshi wa Gaza Netanyahu ameifanya kazi nzuri sana leo hii na atasababisha yafuatayo: Hamas itaondolewa milele!!. Hali ya ugaidi haitakuwapo tena. Na kwa upande wa magaidi sasa hivi ni hofu tu. Mwamba waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema mambo 7...
  12. Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    Rais Samia ameanzisha Soko la TMX mauzo ya mazao yaongezeka kwa asilimia 300 imani ya wakulima imeongezeka Chini ya Rais Samia Serikali imeimarisha udhibiti wa biashara ya mazao ya kilimo kwa kutumia mfumo rasmi wa masoko kupitia Tanzania Mercantile Exchange (TMX). Kupitia mfumo huu, wakulima...
  13. Msaada Bei ya Tank la Maji la Kiboko (2000L au zaidi) kwa aliyewahi kununua tafadhali

    Habari wana JF, Naomba msaada kwa yeyote aliye wahi kununua au anayefahamu bei za tanks za Kiboko (Polytank) za kuhifadhia maji – hasa zile za ujazo wa 2000 L liters au zaidi. Nimepitia kurasa zao za Instagram na Facebook (@kibokoplasticstz) lakini hawajaweka bei, na hata namba zao za simu...
  14. Gregorian chants; Kiboko dhidi ya mashetani na sonona (depression)

    Wakati mmoja nilikuwa na-scroll reels za Facebook ikatokea clip moja ikionesha watawa wa kikatoliki wakiimba Kwa ala za kuvutia sana (angelic voices). Hiyo clip ilikuwa ikimuonesha msanii wa kimarekani Kai Cenat akishangaa jinsi zile sauti zilivyokuwa zinavutia hata Mimi zikanishangaza sana...
  15. M

    Lissu ni kiboko kubali au kataa

    Ameshitakiwa katika mashitaka ya uhaini, ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali. Hajatetemeka, wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo...
  16. Chatgpt kiboko ase

    Nimeshangazwa na hili jibu lake kabisa Dah
  17. J

    Ule Muungano wa BRICS kiboko ya Mabeberu, unapumulia mashine. Unakaribia kuvunjika..

    Ule Muungano wa BRICS unaohusisha nchi waanzilishi za Brazil, Russia, India, China na South Africa Huku ikiongeza wnachama wengine kama Saudi Arabia, Iran, Egypt, Ethiopia na UAE Mwaka Jana muungano kulikuwa na mbwembwe nyingi kuwa muungano huu utakuwa kiboko ya nchi za Magharibi aka...
  18. Panya wamenishinda, kuna dawa kiboko ya kumaliza changamoto hii ya panya?

    Wakuu habari, naomba msaada. Nimechoka kupretend kuwa sina shida, ukweli ni kwamba nimelemewa na panya nyumbani. Nimejaribu kila aina ya dawa — nimenunua dawa nyingi tu zikashindwa, nikaelekezwa ninunue zile zilizochorwa dagaa na panya, nikaambiwa nikiboko — lakini wapi wanakula dagaa bado...
  19. Ngugi wa Thiong'o alikuwaje kiboko ya mabeberu huku akiishi kwa mabeberu badala ya Afrika?

    Huyu jamaa anayritwa Ngugi wa Thiong'o kama walivyo activist wengi ambao nawaona fake, alikuwa akijinadi na kuitwa pia mkosoaji wa mabeberu, akijidai kukosoa mifumo ya elimu na lugha ya Kiingereza eti ni kutukuza mabeberu Hadi akaamua kuandika kwa Kikuyu vitabu vyake badala ya English lengo eti...
  20. Tupo timamu Dege la jeshi kiboko respect Tanzania!

    Hii iwafikie wana vyombo vya usalama.kudos kwao
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…