kesi ya lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Katuga unajisikiaje?

    Ukiwa upo katika swaumu huku ukiwapngoza mashahidi kesi ya Lissu?
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Shahidi P3 kwenye kesi ya Lissu: Sijui utanijuaje ila mimi ni MwanaCHADEMA. Sijaorodheshwa kwenye chama. CHADEMA ni imani

    Wakuu, Haya ndugu zangu huyu shahidi yeye anasema CHADEMA ni IMANI kwa hiyo hana kitambulisho wala kielelezo chochote kuwa yeye ni mwanachama Hivi wameshindwa hata kutengeneza kitambulisho ambacho angepewa jaji kama ushahidi kuwa huyu ni Mwana CHADEMA? =========== Mhe. Lissu: nataka nikuhoji...
  3. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Februari 19: Shahidi wa kwenye kesi ya Lissu ashindwa kusoma PGO ya Polisi iliyoandikwa kwa Kiingereza. Lissu amjibu!

    Wakuu, Hivi inakuwaje Polisi hajui kusoma PGO ya kiingereza? Au huyu shahidi hakutaka kujibu swali la Lissu =========== Mhe.Lissu: Mhe.Jaji naomba shahidi apewe PGO Mhe.Lissu: Shahidi soma PGO 236. Coplo Vicent : hii PGO ni ya kingereza siwezi kusoma. Mhe.Lissu: Wambura ameandika kingereza...
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wakili Mkude: Kesi inajadiliwa kwenye mitandao ya kijamii, mashahidi wanaitwa waongo. Hatukatazi kesi ijadiliwe lakini isiathiri mwenendo wa kesi

    Wakuu, Baada ya media kuanza kuripoti kinachoendelea mahakamani na statements wanazotoa mashahidi kuchekesha na kuonekana ni za ajabu ajabu jamaa wameona sasa waanze kubana na kukataza hizo proceedings za kuripotiwa Jamaa wanakaba kila sehemu ========= Mhe Lissu: Siku ya jana tuliambiwa...
  5. McLaren

    JamiiForums Tanzania Februari 18: Lissu alivyombana shahidi wa siri P7 kuhusu maelezo aliyoyatoa polisi. Kila kitu anasema hapana

    Wakuu, Kwa aliyeelewa maelezo ya shahid naomba anieleweshe. Kajikanyaga mno Lissu alimtaka shahidi aonyeshe kama baadhi ya kauli alizodai zilisemwa kijiweni kwao ikiwemo madai kuhusu Chadema kuzuia uchaguzi, polisi kuiba kura na majaji kuwa vibaraka wa CCM zilikuwa zimeandikwa kwenye maelezo...
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kesi ya Lissu imeahirishwa hadi kesho Februari 19 baada ya Serikali kuwa na shahidi mmoja tu

    Wakuu, Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa na Mahakama hadi kesho Februari 19 saa tatu asubuhi. Upande wa Serikali uliieleza Mahakama kuwa una shahidi mmoja tu kwa siku hiyo, hali iliyosababisha kuomba kuahirishwa kwa shauri...
  7. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Shahidi wa kesi ya Lissu (P7) anasema alikamatwa mara tu baada ya kuangalia video ya Lissu iliyokuwa Jambo TV

    Wakuu, Huyu shahidi anasema mara tu baada ya kuangalia video ya Jambo TV kuhusu kauli ya Lisu kuwa atakinukisha, alifuatwa na Polisi na kukamatwa na kisha akapelekwa kwa RCO ambapo alipewa kosa la kutaka kuanzisha fujo. Does this make sense? ======================= Wakili: Tarehe 03/04/2025...
  8. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu. Ndiye ananiweka mjini

    Wakuu, Huyu Shahidi mwanzoni alisema kuwa anaishi Moshi Kiranyi. Lissu akamuuliza kuwa nani kampa nauli ya kuja kutoa ushahidi kwenye hiyo kesi, akasema kuwa hiyo nauli kapewa na mwanamke wake na ndo ambaye anamuweka mjini Mhe. Lissu: Umekujaje Mahakamani leo? Shahidi wa kificho P7 : kwa...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Anaandika Martin Maranja Masese: Media house ni corrupted kwa kiwango kisichorekebishika

    TOILET PAPER. Media house ni corrupted kwa kiwango kisichorekebishika. Narejea katuni ya @masoudkipanya alipozifananisha na ‘toilet paper’. Nafikiri hakukosea. Zinaogopa kuripoti cross-examination ya Tundu Lissu (tazama video). zinaandika na kuonesha upande wa Examination-in-chief tu. Hazitaki...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Onesmo Mushi: Swali kwa political analysts and strategists wa Tanzania. What is the end goal hereMtukufu analenga nini chenye faida kesi ya Lissu

    MANGE KIMAMBI ANAJIBU: I’m not a political analyst or strategist Ila if you ask me I think this is the plan. They will find him guilty of treason, which means hatoruhusiwa tena kushiriki siasa/ kuwa kiongozi wa chama cha siasa. Then kimama sababu ni mama mwenyewe huruma na kutaka maridhiano...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Boni Yai ataka kesi ya Lissu ifutwe kwakuwa inapoteza fedha za walalahoi

    Kimsingi ni kweli! kesi ya Lissu ni ya kisiasa na imekaa kimchongo sana Tunapotezeana muda kwa mambo ya kijinga tu, na ukitaka kujua inapoteza pesa na muda hata kwa Lissu angalia mashahidi wa hii kesi utajua tu ni mchongo mtupu. =========== Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani na Meya mstaafu...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Tundu Lissu kuendelea leo Februari 17, 2026, mashahidi wa Jamhuri wasiopungua watatu wangojewa

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo, Februari 17, 2026, katika Mahakama Kuu, Masijala Ndogo, Dar es Salaam. Leo kesi hiyo itaendelea kusikilizwa mfululizo katika hatua ya ushahidi, ambapo tayari mashahidi wanane wa Jamhuri wameshatoa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini mashahidi wote katika kesi ya Lissu ni wakiristo?

    Kwanini mashahidi wote ktk kesi ya Lissu ni wakiristo? Kila anaelizwa dini ya shahidi, hujitambulisha mkiristo
  14. R

    JamiiForums Tanzania Lissu hizi zote ni delaying tactics kukutesa, wanajua kuwa huna kesi ya kujibu ya uhaini, Wanajua wakikuachia wameukosa Urais. UTASHINDA

    Utashinda tu. Treason Case Hearing – July 01, 2025: Tanzanian Opposition Leader Tundu Lissu Calls on the State to Drop Charges, Citing Abuse of Court Process The treason case against the opposition party leader, CHADEMA’s Tundu Lissu, continued on July 1, 2025, during its preliminary stage at...
  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Ukatwe govi bila ngazi au uwe shahidi kwenye kesi ya Lissu ya uhaini. Kipi utachagua?

    Wakuu sikuwahi fikiria kama ushahidi ni kazi namna hii hasa ukiwa ushahidi wa mchongo. Mara 100 nikatwe govi langu kwa shoka tena bila ngazi kuliko kuwa shahidi upande wa mashitaka kesi ya Lissu. Asee naona hali si hali huko kwenye kizimba. Tangu mwanzo wakiwa Live hao police ilionekana wana...
  16. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Shahidi ambaye ni polisi anakwambiwa uhaini maana yake ni kuharibu mali na uchochezi hapo hapo anasema hajui kifungu hicho

    Kesi ya Lissu: Shahidi ambaye ni polisi anakwambiw uhaini maana yake ni kuharibu mali na uchochezi hapo hapo anasema hajui kifungu hicho.
  17. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Shahidi anasema hajui kama kuzuia uchaguzi, kuandamana ni kosa sasa mtu kama huyu ameendaje mwenyewe polisi kushtaki kosa?

    Kesi ya Lissu: Shahidi anasema hajui kama kuzuia uchaguzi, kuandamana ni kosa sasa mtu kama huyu ameendaje mwenyewe polisi kushtaki kosa? Kuna upumbavu mwingi sana kwenye jeshi la polisi lazima wahusika wa upumbavu huu watawajibishwa. kijana ameshinikizwa na polisi kuja kuongea vitu asivyo...
  18. H

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Serikali hii ni ya laana, imewatafuta watu wenye dhiki ya maisha na kuwafanya mashahidi wa kificho

    Kwenye kesi bandia iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, kila mmoja alishangaa kuona wale mawakili wa mchongo wa serika wakikazania kuwa na mashahidi wa kificho. Watu mbalimbali walitoka na hisia tofauti tofauti. Baadhi mpaka walifikia kusema kuwa labda wale waliokuwa viongozi wa CHADEMA na...
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Hao mashahidi wa kificho kesi ya Lissu hawatajulikana milele?

    Lengo la kuwafanya baadhi ya mashahidi dhidi ya Tundu Lissu kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili wawe wa kificho ni nini? Hao mashahidi hawatajulikana milele?
Back
Top Bottom