kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Hii SGR Dar-Moro Masaa Mawili, Duniani Huko Wanatumia Dakika 20!

    SGR yetu ya kwanza toka kuumbwa kwa dunia ilijaribiwa kwa mbwembwe pamoja na wadau kuhoji vipi umeme ukikatika itakuwaje? Mkurugenzi mkuu wa TRC ndg Kadogosa alijibu kwa mbwembwe tuna backups transformers na diesel engine za dharula, pamoja na majibu hayo umbali uliotumika haukuweza kutoa...
  2. G

    JamiiForums Tanzania TUMEPIGWA? Hili ni treni la SGR nchini Kenya miaka sita iliyopita. Gari linaifukuzana nayo kwa speed ya 120 Km/Hour

    Ni miaka sita iliyopita
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hayati Nyerere alifanya Watanzania tudharauliwe sana na nchi za nje hasa Zimbabwe na Kenya

    Aliacha kujenga taifa lake akabaki kupigania uhuru wa mataifa ya nje ambayo hivi leo hayana msaada kwetu. Kilichobakia ni kudharauliwa tu bila hata soni. Tulionekana hatujui kiingereza, nchi inabarabara mbovu, shule mbovu huku watoto wakikaa nchini na kuvaa masempele mashuleni. Wazimbabwe na...
  4. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Kwanini mstari huu kwenye ramani ya Kenya umepinda, ilikuwa kwa nia gani?

  5. BARD AI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Kenya yaamuru Wafungwa waruhusiwe kuhudhuria Mazishi ya ndugu zao

    KENYA: Mahakama Kuu imetoa uamuzi kuhusu Haki za Msingi za Wafungwa katika maisha ya kawaida na kuamuru kuwa Wafungwa wote nchini humo wanapaswa kupewa Haki kama Binadamu wengine ikiwemo Haki ya kuhudhuria Mazishi. Mahakama imetoa uamuzi huo kupitia Kesi iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari...
  6. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Tanzania yawa miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri kiuchumi Afrika 2024. Yazipiku Kenya na Uganda

    Nchi 3 za Afrika Mashariki zimetajwa katika orodha hiyo ambapo zitaongozwa na Rwanda inayotarajiwa kupata Ukuaji wa 7.2% ikifuatiwa na Tanzania 6.1% na Uganda itakayokua na Ukuaji wa Uchumia wa 6%. Afrika itachangia uchumi wa nchi kumi na moja kati ya 20 zinazokuwa kwa kasi zaidi duniani...
  7. Replica

    JamiiForums Tanzania Pamoja na faida kubwa mabenki ya Kenya, mikopo chechefu yatishia uimara wake. Benki zetu kubwa mbili hazifanani nao?

    Taasisi ya Moody's inayohusika kutoa muono kwenye soko la mikopo na madeni imebadilisha maoni yake kuhusu hali ya mabenki ya Kenya kutoka imara mpaka hasi ikitoa tahadhari juu ya kiwango kikubwa cha mikopo chechefu na isiyofanya vizuri pamoja na faida kubwa na mtaji imara ambacho mabenki ya...
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je Rais wa Kenya W. Ruto yupo sahihi kwa hili?

    "Nimeongea na watendaji wa serikali yangu kuhusu baadhi ya wahubiri kucheza na imani za wakenya. Kuanzia sasa yule anataka kuuza maji asajiliwe na mamlaka ya maji, yule anataka kuuza mafuta asajiliwe na food and drugs authority, na yule anataka kuuza mbegu asajiliwe wizara ya kilimo. Watambulike...
  9. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mapato Kenya (KRA) yakosa kukusanya mapato ya nusu mwaka kwa Ksh 186B

    Mamlaka ya Mapato Kenya (KRA) ilikusanya jumla ya Ksh 1.27 trilioni katika nusu ya kwanza ya mwaka wa kifedha 2023/24 ulioisha mwezi wa Desemba 2023. Data mpya kutoka Hazina ya Kitaifa inaonyesha kuwa ukusanyaji wa nusu mwaka ulikuwa chini ya lengo kwa Ksh 182.4 bilioni hasa kutokana na...
  10. Heparin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Afisa wa Kenya aliyehudhuria mazungumzo ya Haiti huko Washington apatikana amekufa katika chumba chake cha hoteli

    Mwanachama wa ujumbe wa Kenya uliokuwa ukitembelea Washington alipatikana amekufa katika chumba chake cha hoteli mapema wiki hii, maafisa wa Marekani na vyombo vya sheria walithibitisha Alhamisi. Afisa huyo alikuwa afisa wa polisi wa ngazi ya juu ambaye alikuwa amesafiri kwenda Marekani...
  11. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Tanganyika Majimaji, Congo Mayimayi, Kenya Maumau. Mjue Mama Onema wa kundi la SIMBA WA MULELE

    Magwiji wa Afrika walikuwa wengi tu wa aina ya Kinjekitile Ngwale... Soma historia ya huyu mama anaitwa Mama Onema ambaye aliishi Congo na ndio alikuwa akiwakinga na Risasi waasi wa kundi la SIMBA MULELE wakipigania ardhi yao dhidi ya wavamizi Marekani na kibaraka wao Mobutu. Mama Onema...
  12. chiembe

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha kifo cha Edward Lowasa? Kenya wadai ni saratani, Tanzania wanasema ni ugonjwa wa mapafu, shinikizo la damu, na utumbo kujikunja!

    Chanzo cha vifo vya viongozi wetu huwa kinaleta mkanganyiko, sasa ni kuhusu nini hasa kimesababisha kifo cha Lowasa.
  13. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Nchi 3 (Kenya, Tanzania na Uganda) zinadaiwa zaidi ya Tsh. Trilioni 339 kwenye Deni la Taifa

    Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu za Kenya, Uganda na Tanzania kuhusu hali ya Madeni ya Taifa kwa Nchi hizo, inaonesha madeni kwa pamoja yamefikia takriban Tsh. Trilioni 339.93. Kenya inaongoza ikiwa na deni la Tsh. Trilioni 176.81 huku utawala wa Rais William Ruto ukitajwa kuchangia deni la...
  14. BARD AI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toyota yasaini makubaliano ya Kuunda Magari yake nchini Kenya

    Kenya na Toyota Tsusho Corporation ya Japani wametia saini makubaliano ya mfumo wa ushirikiano katika utengenezaji wa magari na maendeleo ya nishati mbadala. Makubaliano hayo yatawezesha Toyota kuanzisha kiwanda cha kutengeneza magari nchini. kampuni imefanya uwekezaji wa awali wa Kshs 800...
  15. Suley2019

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Eneo la Kihistoria lililogunduliwa fuvu la binadamu wa kwanza (Olduvai Gorge) lipo Kenya

    Habari, Kuliwahi kutokea madai yakisema kuwa Olduvai Gorge ipo nchini Kenya. Rosemary Odinga alisema Olduvai Gorge ipo Kenya, Tazama video hapa chini: Je, mnaweza kutusaidia kuweka kumbukumbu sawa hili?
  16. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naliona anguko la taifa la Kenya kijamii( Kuiga uzungu kunaliangamiza taifa la Kenya)

    Ukioa demu mkenya, tofauti yako na alie oa mzungu ni moja tu. Wewe ulie oa demu wa kikenya umeoa mzungu feki na yule alie oa demu wa kizungu ameoa mzungu orojino. Ila wewe ndio utapata tatu kwa sababu mtu anae iga siku zote huwa ana overreact. Anaiga mpaka hata Yale yasiyo faa kuigwa. Wakenya...
  17. Cheology

    JamiiForums Tanzania Kwanini Kenya na Uganda hawakuwepo Afcon?

    Ndg zangu sisi wengine soka tunaiona tuuu. Tanzania tulipitaje kwenda wakati Mozambique, Uganda, Kenya nakadhalika wengine hatuliwaona afcon.. sisi tulipataje nafasi Nawasilisha
  18. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Master Jay: Wasanii wa Kenya wanajua kuimba kuliko wasanii wa Tanzania

    Producer mkali kuwahi kutokea na Jaji wa mashindano ya kuimba Tanzania Master Jay, amesema kuwa wasanii wa Tanzania ni waburudishaji na sio waimbaji wazuri kama wasanii wa nchini Kenya. Akiwa anafanya mahojiano na East Africa Radio Master Jay amesema, “Kitu ninachojivunia ni kwamba...
  19. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Tanganyika imejifunza mlipuko wa Gesi Kenya!Ujenzi kilalela tutavuna tunachokitaka! Wananchi wasubiri kupewa pole wakiwa kaburini?

    Leo 2-2-2024 "Lori moja ya nambari ya usajili isiyojulikana ambayo ilikuwa imesheheni gesi ililipuka na kuwasha moto mkubwa ulioenea sana. Mtungi wa gesi uligonga Godown na kuteketeza godown hilo linalohusika na nguo na nguo," msemaji wa serikali Kenya Isaac Mwaura alisema. TANZANIA. Biashara...
  20. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza Kenya: Madaktari Tanzania Mnaandika Dawa za Kiwango cha Chini

    Kenya kuna makampuni mengi makubwa ya madawa, ambayo mengi yao ni innovators wa dawa mbalimbali (brands), ambazo nchi nyingine hususani India huja kuzalisha baadaye kama generic. Kwa wasiojua brands huuzwa ghali, ila ni bora zaidi, wakati ni generic huuzwa kwa bei ya kutupwa, nyingi zikiwa na...
Back
Top Bottom