Tetesi: Kenya na Rwanda kujiunga jumuiya ya NATO

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,299
6,591
Ziara ya Rais wa Kenya William Ruto nchini Marekani imeibua jambo. Ruto kapokelewa na mwenyeji Rais Joe Biden na kuzungumzia Mengi.

Biden kamuomba Ruto waanzishe ushirikiano kabambe ikiwa ni pamoja na kujiunga na NATO. Pia kuna tetesi kuwa Rais wa Rwanda atafuata mkumbo huo mwezi July mwaka huu.

Mpango huu ukifanikiwa NATO itakuwa na wanachama watano nje ya bara la ulaya ambao ni USA, Canada, Uturuki, Kenya na Rwanda.

Source: BBC Swahili
 
Hakuna nchi ya Africa au sehemu yoyote zaidi ya Ulaya na Amerika Kaskazini inayoweza kujiunga na NATO kutokana na Article 10 ya Washington Treaty.

Habari yenyewe ni kuwa US ina plan kui designate Kenya kama major ally (mshirika wake mkubwa) ambae sio mwanachama wa NATO.

Muwe mnasoma au kusikiliza habari vizuri.
 
Britain's defence secretary has called on neutral countries to join NATO.
Grant Shapps cited the threat allegedly posed by Russia.


Hii Habari niliisoma juzi nikaipuuzia
 

Attachments

  • IMG_20240523_195809.jpg
    IMG_20240523_195809.jpg
    61.4 KB · Views: 2
Kenya na Rwanda haziwezi kujiunga na NATO.

sharti LA kuwa NATO
1. Nchi lazima iwe imeishinda Rushwa au ina unasimamizi wa Hali ya juu
2. Bunge liwe na uamuzi juu ya Jeshi la nchi.

Rwanda haina hata uchaguzi na Kenya imeoza kwa Rushwa na hizi nchi Rais Ndio anaamua kila kitu Jeshini
 
Back
Top Bottom