Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,299
- 6,591
Ziara ya Rais wa Kenya William Ruto nchini Marekani imeibua jambo. Ruto kapokelewa na mwenyeji Rais Joe Biden na kuzungumzia Mengi.
Biden kamuomba Ruto waanzishe ushirikiano kabambe ikiwa ni pamoja na kujiunga na NATO. Pia kuna tetesi kuwa Rais wa Rwanda atafuata mkumbo huo mwezi July mwaka huu.
Mpango huu ukifanikiwa NATO itakuwa na wanachama watano nje ya bara la ulaya ambao ni USA, Canada, Uturuki, Kenya na Rwanda.
Source: BBC Swahili
Biden kamuomba Ruto waanzishe ushirikiano kabambe ikiwa ni pamoja na kujiunga na NATO. Pia kuna tetesi kuwa Rais wa Rwanda atafuata mkumbo huo mwezi July mwaka huu.
Mpango huu ukifanikiwa NATO itakuwa na wanachama watano nje ya bara la ulaya ambao ni USA, Canada, Uturuki, Kenya na Rwanda.
Source: BBC Swahili