kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Mama na mwana wajaribu kuuza damu ili kuongeza ada ya mtoto kujiunga kidato cha kwanza

    Mama na binti yake wamelazimishwa kuuza damu yao ili kuongeza ada ya shule ya kidato cha kwanza kwa msichana huyo. Agnes Akoth na mama yake Rose Odhiambo walikaa kwa muda katika Hospitali ya Rufaa ya Kata ya Siaya Jumatatu, Januari 13, ambapo walikuwa wamekwenda kumtafuta mnunuzi. Kulingana na...
  2. Jackal

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Imam asimamishwa kazi baada ya kuoa mwanaume mwenzake

    Imam aliyemwoa mwanamume mwenzake akidhani ni mwanamke amefutwa kazi na baraza kuu la Waislamu Uganda. Huku mjadala kuhusu kama kweli alifahamu jinsia ya bi harusi wake wiki mbili zilizopita alipofanya nikka naye, baraza hilo linasisitiza kuwa kuna dosari kubwa kwa upande wa imam huyo na...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Rais Mstaafu wa Kenya Mtuku Daniel Arap Moi (95) ni mgonjwa mahututi

    Rais Mstaafu wa Kenya Daniel Arap Moi (miaka 95) yuko katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) Hospitali ya Nairobi. Amekuwa akilazwa na kuruhusiwa hospitalini hapo mara nne toka Oktoba 2019, ambapo mwanzo alitibiwa kwa tatizo la maji kujaa kwenye mapafu.
  4. Barbarosa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kufanya Uchaguzi Mkuu mwingine mwaka huu, Duh!

    Hawa jamaa wanajua kutupa pesa aisee, duh!
  5. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania AG has been ordered to appear in court to explain why orders allowing Miguna's return have not been obeyed

    AG Kihara Kariuki has been ordered to appear in court on Monday to explain why orders allowing lawyer Miguna Miguna's return to Kenya have not been obeyed. Judge John Mativo on Friday said the government was stifling democracy by going against the court orders. The state had no representation...
  6. Sinister

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya builds first solar-powered farm that turns ocean water drinkable.

    Kenya builds first solar-powered farm that turns ocean water drinkable Kenya builds first solar-powered farm that turns ocean water drinkable Kenya has built its first solar-powered farm that turns ocean water into potable water. A non-governmental organization called Give Power, the project...
  7. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Mtoto wa miaka 10 ajitahiri kwa kisu

    Mvulana wa miaka 10 mkazi wa kijiji ya Itare nchini Kenya amejitahiri kwa kutumia kisu cha jikoni baada ya wazazi wake kushindwa kulipia gharama ya Ksh 1000/- ya kupewa huduma hiyo hospitali. Mtoto huyo wa darasa la pili ameeleza chombo cha habari kimoja nchini humo kuwa alilazimika kufanya...
  8. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Jina la "Kenya" na "Kenyatta" vina uhusiano gani?

    Kuna jina la kipande cha ardhi cha Africa mashariki kinaitwa "Kenya". Wakati huo huo kiongozi aliyekiletea Uhuru kipande hicho cha ardhi kutoka kwa wakoloni waingereza anaitwa " Kenyatta". Nini maana ya "Kenya" na "Kenyatta", kwa kiswahili?
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Washukiwa wanne wa Al-Shabaab wauawa na Jeshi la Kenya

    Wanajeshi wa Kenya Alhamisi wamewaua washukiwa wanne wa wapiganaji wa kikundi cha Al-Shabaab na kumkamata mmoja wao baada ya tukio la kushambuliwa basi katika Kaunti ya Lamu. Mratibu wa Mkoa wa Pwani John Elungata ametoa ripoti hiyo masaa kadhaa baada ya shambulio la kushitukiza katika eneo la...
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya na tanzania

    Dhamira na lengo la kuanzisha uzi huu ni baada ya kuona ushindani mkubwa humu jf baina ya watanzania na wakenya wakilinganisha maendeleo( kati ya mambo mengine) katika nchi hizi mbili.. Ushindani wa kulinganisha si mbaya kwani unaweka wazi mapungufu yaliyopo katika nchi zetu lkn ushindani ambo...
  11. Barbarosa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa nini Capitalism imeshindwa kuwatoa Kenya?

    Kenya ni Capitalistic state tangia day 1, lkn kwa nini imeshindwa kuwaondoa hapo? Je, tatizo ni IQ au ni nini? BTW nchi zote ambazo zimekuwa zikifwata capitalistic economic system ziko mbali sana Kiuchumi, lakini Kenya bado wana matatizo yale yale yanayozisumbua (former) socialistic states, kama...
  12. Kafrican

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serekali ya Kenya Iuze baadhi ya Kampuni inazo miliki ili Kushtua Uchumi au La?

    Miaka ya 70's Serekali ya Kenya iliamua kuuza baadhi ya hisa za kampuni za kiserekali ambazo zilikua hazifanyi vizuri kama KQ ambapo ilifanyikiwa kuleta faida kwa Serekali kwa karibia miaka 20 kabla KQ kuanza kupata hasara kuanzia 2015 hadi sasa, jambo ambalo limefanya GoK kuamua kununua hisa...
  13. Tz boy 4tino

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lugha ya kiingereza hata Kenya ni tatizo acheni Kujimwambafy.

  14. Mekatilili

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Half of Tanzanians living in ‘multidimensional poverty’

    Kenya has seen marked improvement in this 2019 ranking. In spite of the spate of natural disasters brought about by climate change. ==== An estimated 55.4 percent of Tanzanian population or around 31,778,000 people are in multidimensional poverty while an additional 24.2 percent or 13,872,000...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa wa Kenya wengi ni watoto wa wapigania uhuru lakini Tanzania ni watoto wa wakulima, wafugaji na Chadema wafanyabiashara

    Nilikuwa nasoma historia za wanasiasa wa Kenya akina Mudavadi, Ruto, Kalonzo Musyoka, Raila na wengine wengi nimeona 95% ni watoto wa wapigania Uhuru. Yaani wana ile spirit ya siasa. Nikarudi hapa nyumbani kwa wakina Mwigulu, Mbowe, Tundu Lissu, Zitto, Nape, January na wengine wengi nimegundua...
  16. joseph1989

    JamiiForums Tanzania Diamond platnumz atawala chart za Kenya na Tanzania Boomplay kwa wanamuziki wa TZ.

    Rf
  17. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Benki ya Maendeleo Afrika yatoa mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabara Kenya na Tanzania

    Watu zaidi ya milioni tatu katika nchi za Tanzania na Kenya, watanufaika na Euro milioni 345 kutoka Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) kusaidia ujenzi wa barabara. Barabara zitakazohusika ni za Mombasa-Lunga Lunga/Horohoro na Tanga-Pangani-Bagamoyo katika awamu ya kwanza, ikiwa ni asilimia 78.5...
  18. Barbarosa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Volkswagen made in Kenya iko wapi?

    Nilisikia kwa muda sasa Kampuni ya Volkswagen Group wamejenga assembling plant nchini Kenya, je tayari wameshaanza uzalishaji? Na ni aina gani ya VW wanaunga unga? Na wanauzia wapi?
  19. hiram

    JamiiForums Tanzania Ngorongoro crater ipo KENYA?

    ndege aliyopanda edo kumbwembe
  20. Gunther1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Among Top Nations in 2020 Global Fintech Ranking

    by Mwakaneno Gakweli December 19, 2019 Kenya bagged 42nd position in the Global Fintech Ranking by Findexable. The country ranked second in Africa, just a few points behind South Africa which took the leading position. Global Fintech Index by Findexable recognized Kenya’s efforts in...
Back
Top Bottom