Nimekuwa nikifuatilia maandamano ya Kenya kwa karibu sana,yanayoendelea ni yale yale matokeo ya kutotii mamlaka na madhara yake wote tumeyashuhudia.
Kilichonifanya nitie kalam yangu ni uhusiano uliopo kati ya CHADEMA,EALS,na wanaharakati wa haki za binadamu wasiofahamu panapodaiwa haki kuna...