Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.
Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).
Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.
Hawa majirani au "mashemeji" zetu wanazidi kuporomka tu aisee.
Moody’s revises Kenya’s ratings to negative
May 8 2020.
Kenya’s huge borrowing requirements has pushed down the country’s rating to negative from stable.
This negative outlook of B2 by Moody’s rating agency reflects the rising...
Hii imetokea leo huko Kenya, mabomu ya machozi nje nje. Watu wameshaanza kuchoka, lakini BBC watajikausha kwa sababu ni aibu inayotokea kwenye koloni lao. Ingetokea Dar kelele zao zingekuwa nyingi hadi tusiweze kulala.
======
Police were forced to lob teargas and use water bowsers to...
Shirika la Fedha Duniani leo limeidhinisha fedha kwa ajili ya nchi za Kenya na Uganda.
Fedha hizi ni kwa ajili ya kusaidia kupambana na makali ya kiuchumi yaliyosababishwa na janga la Corona.
Kenya imepatiwa Dola za Marekani milioni 739 huku Uganda ikipewa Dola milioni 491.
======
The IMF...
WANASAYANSI nchini Kenya wameungana na wenzao wa Kimataifa katika juhudi za kutafuta chanjo ya ugonjwa wa Covid-19, kwa kufanyia majaribio dawa tatu. Majaribio ya chanjo itafanyiwa binadamu ili kubaini ikiwa dawa hizo zinaweza kutibu ugonjwa huo.
Lakini Je dawa hizo ni zipi?
Watafiti wamekuwa...
Kenya wamefanya lock down na hasa katika miji mikubwa kama Nairobi na Mombasa ambayo ndio malango makuu ya Kenya.
Sasa wana visa 490 wakati Tanzania ina visa 480.
Kenya wanaripoti visa vipya (updates) kila siku, sisi mara moja kwa wiki 2.
Kenya wamepima watu 24,784, Tanzania imepima watu 652...
Road linking 3 counties closed as cracks develop on bridge
Hundreds of commuters heading to Bungoma, Kakamega and Busia counties were Monday morning forced to seek alternative routes to their destinations after part of the bridge linking the three counties collapsed.
The river has burst its...
Gavana wa kaunti ya Mombasa Joho al-maarufu kama 001 ametangaza amri ya kupima korona nyumba kwa nyumba na wote wanaopatikana na maambukizi wanapelekwa karantini ambapo watajihudumia wenyewe malipo ya ksh2000 ambayo ni sawa na shilingi za kitanzania 42000 kwa siku.
Wakizungumza kwa nyakati...
Gavana wa Kajiado Joseph Lenku amefunga kabisa uuzaji wa Ng’o,mbe katika kaunti hiyo kutoka Tanzania kutokana na visa vya maambukizi mengi zaidi yanayoripotiwa nchini humo.
Lenku ametoa amri hiyo baada ya kufanya ziara eneo la Loitoktok ambapo alikuwa anasambaza barakoa kwa wenyeji .
“No...
Kenya imetangaza visa vuipya 30 vya #COVID19 na kufanya kuwa na jumla ya watu 365 waliothibitika kuwa na #CoronaVirus. Visa hivii vimepatikana kati ya sampuli 883 zilizopimwa saa 24 zilizopita
Wizara imetangaza vifo vya watu wawili zaidi na kufanya vifo kufikia 24. Watu 15 wakiripotiwa kupona...
Wizara ya Afya nchini Kenya imeripoti visa vipya 24, leo Mei 2, na kufanya idadi kuwa 435. Watu hao wamepatikana katika sampuli 1,195 zilizopimwa saa 24 zilizopita
Mmoja kati ya hao walioripotiwa ametokea Kuria Magharibi na ana historia ya kutembelea Tanzania. Pia Wizara imeripoti kifo cha mtu...
Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Augustine Mahiga leo atamaliza safari yake duniani kwa kuzikwa kijijini kwake Tosamaganga. Viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu watamsindikiza katika safari yake hii ya mwisho.
Aliyekuwa waziri wa Katiba na...
Waliokutwa na virusi hivyo ni watu wa umri wa miaka 2 hadi 79, wamepatikana katika sampuli 1434 zilizopimwa kwa masaa 24 yaliyopita
Pia idadi ya waliokufa yafikia 21 baada ya watu wengine 4 kufariki dunia. Hadi hivi sasa Kauti 14 kati ya 47 zimethibitisha kuwa na maambukizi huku asilimia 91 ya...
Mjane mmoja nchini Kenya amepikia watoto wake mawe kuwadanganya kwamba chakula kinaiva.
Mwanamke mmoja nchini kenya ameelezea vile ambavyo amekuwa akiwapikia watoto wake mawe kuwadanganya kwamba chakula kinaiva.
Penina Bahati, mama wa watoto wanane hajafanikiwa kupata kazi zisizohitaji ujuzi...
Many are not aware but the Kenya police has been undergoing a massive upgrade over of last two years. The Kenya police is getting rid of the G3 rifles and replacing them with CZ Scorpion airsoft rifles and FN scar rifles
The Belgian-made FN SCAR rifles will no longer be a preserve of the...
Kwa muda mrefu sana Gari mahiri la Kimashindano la Kenya lililotengenezwa kutoka nchini China lilikuwa limeliacha kwa mbali mno Gari lingine la Kimashindano la Tanzania ambalo nalo limetengenezwa na Wachina hao hao ila kwa sasa upepo umebadilika ghafla.
Ni kwamba katika hali isiyo ya kawaida...
Visa vya #CoronaVirus nchini Kenya vyafikia 384 baada ya kutangaza visa vipya 10, leo Aprili 29, 2020. Watu 9 wamerekodiwa Mombasa na mmoja alirekodiwa mjini Nairobi
Idadi ya waliokufa kwa #COVID19 ni 14, huku wagonjwa 5, wamepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani na kufanya idadi ya waliopona kuwa...
Umoja wa mataifa umeonya kuwa hawa nzige na hili janga la corona vinaweza kuwasambaratisha majirani ifikapo juni mwaka huu.
=======
A second invasion by desert locusts has hit East Africa in just a few months, as younger and more aggressive swarms hatch and spread across a region already...
Kenya imetangaza visa vipya vya #CoronaVirus 8 na kufanya idadi ya jumla ya visa vilivyoripotiwa kufikia 363
Wagonjwa hao, wote hawana historia ya kusafiri kwenda nje ya nchi
Wizara ya afya imetangaza pia watu 8 waliopona na kufanya idadi ya waliopona #COVID19 kufikia 114
====
Kenya on...
The year is 1976, Kenya was an economically stable and growing country but militarily it was an underdog surrounded by neighbors armed to the teeth by the soviet union.The then Uganda leader Idi Amin Dada infuriated Kenyans when he claimed that a large part of Kenya belonged to Uganda.
A couple...
Toyota Kenya develops bridge mechanical ventilator
By Sylvania AmbaniApril 24th, 2020 1 min read
A pictorial view of the machine design and components. PHOTO | COURTESY
Toyota Kenya has developed a bridge mechanical ventilator prototype to help support patients with Covid-19 respiratory...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.