kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. waltham

    Hospitali ya kuelea itakayotoa huduma ziwa Victoria yaelekea kukamilika ujenzi

    Mother hospital kijijini butere subcounty, kakamega county Kenya Hamptons floating hospital is a game changer in the Medical industry in the Lake region economic bloc (LREB) and will serve five Lake Victoria Counties. The floating hospital has been designed and is being build by a large...
  2. Kafrican

    Kuanzia wiki ijayo, Kenya itakuwa na uwezo wa kupima sampuli 35,000 za Korona kwa 24Hrs kutoka sampuli 600

    Hizi ni mashini ambazo zilikua zilinunuliwa kufanya mass rapid testing ya TB na HIV, mashini hizo saba zimewezesha Kemri kuwa na uwezo wa kufanya test 2 Million za HIV ndani ya wiki. Lakini zilikua zinahitaji software mpya ya kuzifanya ziwe zinaweza kupima corona automatickly, software ho mpya...
  3. Suley2019

    Mkenya aliyesafiri kutokea Tanzania akutwa na Corona,wengine wanne wathibitishwa.Kifo kimoja chatangazwa

    The number of coronavirus cases in Kenya has risen to 184 after five more patients tested positive for COVID-19. Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe on Thursday said the new cases include three Kenyans and two foreigners. Three of the five patients had traveled from Tanzania while the other...
  4. Suley2019

    Msafiri kutoka Tanzania apatikana na Corona Kenya. Idadi yafikia 172

    Wameongezeka waathirika 14 huku mmoja akiwa ametokea Tanzanua na kufanya idadi kufikia 172, hadi sasa Kenya imepima watu zaidi ya 5,000 maana kasi ya kupima imeongezeka, mbinu zinatumika kwa umakini kufuata kila aliyekutana au kuhusiana na waathirika. ----- Fourteen more patients have tested...
  5. joto la jiwe

    Rais Kenyatta atangaza visa 16 vipya vya Corona, idadi sasa yafika 158 na vifo 6. Afunga Kaunti za Nairobi, Kilifi, Kwale na Mombasa

    Leo tena Kenya imeripoti visa vipya 16 vya maambukizi ya Corona, huku Rais Uhuru Kenyatta akikumbuka shuka wakati kumekucha, ameagiza wakenya wote kuvaa barakoa wakiwa nje za nyumba zao. Jambo ni jambo la kupongezwa kwa kuanza kuchukua hatua za dhati za kukabiliana na tatizo la kuenea kwa...
  6. simplemind

    Kenya kufuta malipo ya umeme na maji kuwapa unafuu wananchi

    Pamoja na viongozi kupunguza mishahara kwa hadi asilimia 80, kupunguza malipo ya kodi na kuanzisha foundation za kusaidia ambao watathirika zaidi kiuchumi Uongozi unapendekeza kufuta malipo ya umeme na maji kwa miezi sita.
  7. Analogia Malenga

    Kenya: Simu za watu zinafuatiliwa kama namna ya kupambana na #covid19

    Ili kupambana #CoronaVirus wakenya wanahofu kupoteza haki yao ya faragha kwa kuwa simu zao zinafuatiliwa ili kupunguza maambukizi ya #Covid_19 Kufuatilia simu huanza mara baada ya mtu kuonekana ana hatari kubwa ya kuwa na maambukizi. Na hufuatiliwa hadi pale itakapothibitika pasi na shaka kuwa...
  8. Nyendo

    Polisi wanne wasimamishwa kazi Kenya

    Hatimaye serikali ya Kenya imeonekana kuchukua hatua dhidi ya mauaji na ukatili unaoripotiwa kuendelezwa na maafisa wa polisi wanapoidhinisha amri ya kutotoka nje ya saa moja usiku hadi saa kumi na moja asubuhi. Idara ya usalama imetangaza kuwa polisi wanne wamesimamishwa kazi kusubiri...
  9. Kevin85ify

    Kenya: Mandera County ,Governor Ali Roba opens 10 more isolation beds and 4 ICU beds today

    Mandera County Governor, Ali Roba, has unveiled the County’s isolation ward where Coronavirus patients will be treated. Mandera is yet to record any coronavirus case despite the country recording 110 COVID 19 cases as of today.
  10. Kevin85ify

    Kenya: Innovation continues even in the worst situations

    Innovative Duo Makes Local Ventilator in Record 4 Days By IMRAN OTIENO on 2 April 2020 - 5:33 pm Paul Kariuki and Samuel Kairu posing for a selfie at their workshop on Monday, March 30 FACEBOOK With the world facing a shortage of ventilators, the duo of Paul Kariuki and Samuel Kairu have...
  11. Kevin85ify

    Kenya: Coronavirus protective gear output rises

    Coronavirus protective gear output rises WEDNESDAY, APRIL 1, 2020 21:48A worker at Rivatex East Africa in Eldoret. FILE PHOTO | NMG Local textile manufacturers have stepped up production of personal protective equipment (PPE) as demand surges and efforts to battle the spread of the coronavirus...
  12. Kevin85ify

    Kenya: BOC(east africa's largest gas manufacturer) looking for 20,000 oxygen cylinders

    BOC seeks 20,000 oxygen cylinders in Covid-19 fight WEDNESDAY, APRIL 1, 2020 21:50BOC worker fills an oxygen cylinder at their industrial area plant. The company supplies Medical, welding and cooking gas to clients in the country and within East Africa. FILE PHOTO | NMG BOC seeks 20,000 oxygen...
  13. Suley2019

    Health CS Mutahi Kagwe announces 29 more cases of coronavirus in Kenya, total at 110

    The number of confirmed coronavirus cases in Kenya has risen by 29 bringing the total number in the country to 110. Health CS Mutahi Kagwe said on Thursday that 28 Kenyans had tested positive for the new coronavirus. A Congolese...
  14. Kafrican

    CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

    Kwa mwezi mzima, USA ilikua na kesi 15 tu, walidhani wako salama na wameishinda corona! Siku 22 za kwanza, Italy walikua na kesi tatu tu!!, walidhani wako salama!!!! Siku 21 za kwanza, Egypt walikua na kesi 3 tu, walidhani hali iko sawa!!! siku 26 za kwanza, Spain walikua na kesi 7 tu...
  15. joto la jiwe

    Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya

    Uganda Under Total Lockdown President Yoweri Kaguta Museveni, while addressing the Coronavirus status on Monday night, ordered for a total lockdown in Uganda for the next 14days. Museveni ordered for complete shutdown of operations by private cars, Tuk-tuk and boda bodas, saying that the...
  16. Suley2019

    9 more coronavirus cases reported in Kenya, total rises to 59

    The Ministry of Health has announced 9 more cases of coronavirus in Kenya bringing the total to 59. According to Chief Administrative Secretary Dr. Mercy Mwangangi, tracing of contacts of the 59 patients is ongoing. “So far...
  17. Sinister

    Geothermal industrial park to be developed in Nakuru County Kenya

    The government of Kenya has announced plans to develop an industrial park powered by geothermal energy in Nakuru County Kenya. Geothermal Development Company (GDC) Board Chairman John Njiraini revealed the plans and said the company has entered into a joint venture with Nakuru County Government...
  18. Papaa Mobimba

    Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 (Machi 30, 2020)

    Waziri Ummy Mwalimu akitoa taarifa juu ya mwenendo wa Virusi vya Corona nchini amesema leo asubuhi wamepokea vipimo vya wagonjwa watano kutoka maabara ya taifa, watatu wanatoka Tanzania Bara na wawili wakitokea Zanzibar. Idadi imefikia 19 akiwepo mgonjwa mmoja aliyetangazwa na Waziri wa Afya wa...
  19. M

    Wakenya: Tunawashangaa Watanzania, Polisi wa Tanzania wanafanya zaidi ya hiki cha Polisi wa Kenya lakini huwa hawasemi

    Nikiwa hapa katika viunga vya jiji la Nairobi nimejaribu kupata maoni kutoka wa watu mbalimbali ambao nilitaka kufahamu kuhusu sakata la Polisi kupiga watu siku za hivi karibuni na jinsi suala Hilo lilivyoleta mtafaruku ndani na nje ya Kenya. Wengi wamesikitishwa na kitendo hicho ila wengi...
Back
Top Bottom