kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Magonjwa Mtambuka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vilio vya njaa vinashamiri huko Mombasa, Kenya

    Jamaa wameanza kulia "ile chakula tunapeana iko wapi"? ====== Protestors from Bahati, Kibarani, and Kwa Punda close Kibarani road demanding relief food from Mombasa County. They say for the last three months they have not received anything despite having their names being registered
  2. Don YF

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania UN Security Council election: South Africa supports Kenya

    South Africa is more reasonable than our immediate southern neighbours, wanajua the most important and economically strong country in East Africa as they confess; strategic for them and for the good of Africa. Hawana wivu, forward looking not backward thinking and negative like. Wanajijua...
  3. mwaswast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya secures UN Security Council seat after defeating Djibouti

    Kenya secures UN SEAT After beating Djibouti Kenya garnerd 129 vs Djibouti 62 votes in the second round of voting. ======= Kenya on Thursday beat Djibouti to clinch the last African seat at the United Nations Security Council. Backed by the African Union, Kenya garnered 129 votes against...
  4. vulcan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Mbele - United Nations Seat

    Kenya trounces #Djibouti for the African non-permanent member slot of the #UNSC #UNSCelections
  5. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiongozi wa upinzani Kenya apimwa corona, yaani mwendo wa kupima kila mtu

    Vizuri sana Wakenya tunavyolishughulkia suala hili la corona, ushirikiano baina ya wanasiasa wote, hamna mikwara au matamko yenye kejeli, hakika tumeonyesha mfano wa kuigwa Afrika na duniani kote. Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amepima corona na kuagiza matokeo yatangazwe hadharani, hivyo...
  6. CARIFONIA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nchi za Afrika Mashariki inabidi zijifunze demokrasia ya kweli kutoka kwa Wakenya

    This is how a small clique of families control Kenya - Kenya's Presidents Together Before 3 of Them Came into Power - Jomo Kenyatta (seated) served from 1963-1978. - Daniel Arap Moi (standing) served from 1978-2002. - Mwai Kibaki (bending) served from 2002-2013. - Uhuru Kenyatta (sitting...
  7. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya using Loliondo's Babu wa Kikombe plant to produce COVID19 cure

    Shirika la afya duniani who limeelezea wasiwasi wake kuhusu kasi ya maambukizi ya virusi vya corona barani afrika, huku idadi ikiendelea kuongezeka katika baadhi ya mataifa ya bara hili. Mikakati kadhaa inahitajika kuhakikisha bara hili linakwamua uchumi uliaoathirika na janga hili mbali na kuwa...
  8. Kevin85ify

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: The King of Wind energy in the region and beyond (final turbine installed at Kipeto Wind Farm)

    Kipeto Wind Farm (100 MW): The final turbine was installed at Kipeto wind Farm on 8th of june 2020. Located at Esilanke area in the foothills of Ngong Hills, about 30 km southwest of Nairobi, the Kipeto wind power project is set to inject 100MW of energy into the grid by december 2020– making it...
  9. Kevin85ify

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: UN endorses Big 4 Housing Agenda with investment In 10,000 affordable houses

    United Nations Office for Project Services (UNOPS) has invested Kes 5 billion in building 10,000 affordable houses(Habitat heights) for middle class Kenyans in the outskirts of Nairobi.First priority will be Kenyan UN employees who have retired, followed by current Kenyan employees in the UN...
  10. CARIFONIA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wachina walilia serikali yao waondolewe Kenya

    Kama ilivyo kawaida ya kenya ile tabia yao ya kwamba kila kitu kinzuri ni cha kwao, hatimaye wamefanikiwa kuwapiku wachina, kwani wanadai ugonjwa wa corona umeanzia kwao na ni mali yao, na sasa hawauiti corona virus au Wuhani virus bali unaitwa Nairobi virus. Wachina bahada ya kugundua njama...
  11. Trubarg

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Sheria Kali za kudhibiti Covid 19 zinawalenga masikini pekee

  12. Magonjwa Mtambuka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mauaji ya kikabila huko Kenya

    Hawa bado wana mambo ya kizamani sana. Eti ukabila bado unawafanya wanyukane mishale na kuuana. Halafu utawasikia oh mbona na huko Tanzania kuna fujo. Kizungu cha ugoko kingii lakini bado. ======= Ethnic killings in Marsabit County continue to intensify as four more people are killed today...
  13. CARIFONIA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi ipi yenye wasichana warembo zaidi?

    Kuna battle nimeiona sehemu fulani kati ya Wakenya na Watanzania kila upande ukijinadi kua na warembo wazuri kumshinda mwenzake, binafsi mimi mara yangu ya kwanza kufika Kenya nilipata shida sana kutofautisha kati ya mwanaume na mwanamke kwani wanawake wengi wa Kenya hawana tofauti na wanaume...
  14. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania One of kenya Police mitumbas chopper land crashed in Meru county

  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Bendera yapepea nusu mlingoti kuomboleza kifo cha Pierre Nkurunziza

    Rais Uhuru Kenyatta ameagiza bendera ya Kenya na ya Jumuia ya Afrika kupeperushwa nusu mlingoti kwa heshima ya marehemu Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuanzia kesho Juni 13 hadi siku ya mazishi Rais Pierre Nkurunziza alifariki Juni 9 katika hospitali ya Karusi Fiftieth Anniversary baada ya...
  16. Influenza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania COVID-19 in Kenya: 90 more people test positive, total rises to 3,305

    90 more people have tested positive for COVID-19 in Kenya bringing the total number of positive cases in the country to 3,305. Health CAS Rashid Aman said all the new patients are Kenyans: 62 are male while 28 are female. The youngest of them is 14 years old while the oldest is 80 years old...
  17. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Polisi washutumiwa kuwaua watu 15 kiholela

    Kenya: Polisi washutumiwa kuwaua watu 15 kiholela Mamlaka inayoangazia utendakazi wa polisi nchini Kenya IPOA, Jumatano ilisema kwamba Wakenya wapatao 15 wameuawa na polisi katika taifa hilo la Afrika Mashariki katika kipindi hiki ambacho kumewekwa marufuku ya kutoka nje usiku, kati ya masharti...
  18. Cannabis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi watatu Kenya wakamatwa kwa kumburuza mwanamke kwa pikipiki

    Polisi watatu wamekamatwa nchini Kenya baada ya mmoja wa polisi hao kuonekana akimchapa na kumburuza mwanamke mmoja kwa pikipiki. Mwanamke huyo anadaiwa kuhusiana na tuhuma za wizi mjini Nakuru. Mwanamke huyo amelazwa hospitali baada ya kuumia miguuni na mikononi. Mwanamke huyo amekiambia...
  19. Teargass

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya total paved roads hit 21,000km in 2019

    Kenya total tarmaced roads increased by 1500km in one year to 21,000km in 2019. In 2018, Kenya had a total of 18,600km of paved roads in the entire country. This was three two times what Tanzania had the same year. Paved roads are expected to 23,000km in 2020
  20. President of China

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba watalaam wa pande zote Kenya na Tanzania musaidie. GDP inapatikanaje?

    Salamu wa JF. Naomba matusi yasiwepo. GDP (gross domestic product) inapatikanaje? Mpaka mashirika ya kimataifa wanatoa ripoti. Kwa upande wangu nikichukulia neno domestic product inakuwa na maana ya mazao yatokanao na uzalishaji wa ndani. Ninaomba kujua hao wataalamu wa mashirika ya kimataifa...
Back
Top Bottom