Mombasa itajitenga na Kenya kwenye miaka ya mbeleni

Mombasa itajitenga na Kenya kwenye miaka ya mbeleni

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
36,007
Reaction score
34,774
Katika hali iso ya kawaida kuna movement ilioanza toka mwaka 2011 ya mombasa kujitenga na kenya kua nchi inaojitegemea, baadhi ya watu hawafurahii kuwepo kwa nchi moja ambayo Mombasa ipo ndan yake kutokana na sababu nyingi sana lakini kuu ni siasa za nairobi kutoshabiana na uhalisia wa aina ya watu wanaoishi pwan, Haswa katika upande wa uchumi

Vuguvugu hili lilianza mda wa nyuma kidogo lakini limeanza kupata nguvi siku za karibuni tena baada ya vikundi kadhaa kurudisha falsafa hio kwa wana mombasa


 

Attachments

  • Screenshot_20251124-020555.jpg
    Screenshot_20251124-020555.jpg
    209.1 KB · Views: 35
Katika hali iso ya kawaida kuna movement ilioanza toka mwaka 2011 ya mombasa kujitenga na kenya kua nchi inaojitegemea, baadhi ya watu hawafurahii kuwepo kwa nchi moja ambayo Mombasa ipo ndan yake kutokana na sababu nyingi sana lakini kuu ni siasa za nairobi kutoshabiana na uhalisia wa aina ya watu wanaoishi pwan, Haswa katika upande wa uchumi

Vuguvugu hili lilianza mda wa nyuma kidogo lakini limeanza kupata nguvi siku za karibuni tena baada ya vikundi kadhaa kurudisha falsafa hio kwa wana mombasa


Tanganyika mayo itajitenga na Zanzibar miaka michache ijayo. Na kisha Mbeya itadai uhuru wake
 
Back
Top Bottom