kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Airways yatoa notisi ya kupunguza marubani

    Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limepanga kupunguza marubani, ikiwa ni mpango wa Shirika hilo kupunguza asilimia 40 ya wafanyakazi wake kufuatia janga la CoronaVirus Katika barua yake kwa Chama cha Marubani (Kapla) Mkurugenzi Mtendaji wa KQ, Allan Kilavuka amesema kufuatia ukaguzi waliofanya Mei...
  2. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Likija kwenye suala la miundo mbinu, University of Ghana imeshinda university yoyote ya Kenya au Tanzania

    University of Nairobi imeishinda university of Ghana kimasomo, (tukizingatia ranking) lakini university of Ghana ina miundo mbinu (infrastructure) ya ajabu. Imejengwa ikajengeka. Ina majengo mengi na yenye hadhi ya juu. Hakuna university hapa A.M imeikaribia kwa majengo.
  3. JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ameongea na Radio Citizen Kenya asubuhi ya leo, ameleezea hali ya usalama nchini pamoja na suala la Corona

    Hii ndio taarifa mpya inayozagaa mitandaoni kwa sasa. wote mnakaribishwa === Mgombea wa Urais, kupitia Chama cha Upinzania CHADEMA Tundu Lissu, alivyohojiwa na Citizen Online Radio Station, kutoka Nairobi Kenyan Tundu Lissu aongea mengi kuhusu mustakabali wa Tanzania, ambae anagombania...
  4. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Konza meeting centre tender now approved construction to start

    After south korea confirmed the commencement of construction of Kaist (Kenya Advanced Institute Of Science & Technology) in Konza city, modelled after Kaist in Daedeok Innopolis, Daejeon, South Korea . Today GOK has revealed that a final contractor has been identified and tender awarded for the...
  5. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Covid-19: US raises travel alert levels for Kenya

    Covid-19: US raises travel alert levels for Kenya The US State Department on Friday raised the levels of its advisories on travel to Kenya and other East African countries partly due to concerns about the spread of the coronavirus. The new alerts urge prospective visitors to the region to...
  6. JamiiForums Tanzania Tanzania soon tunawapiga bao Kenya kwenye kupata mizigo mingi zaidi EA

    Ijumaa Karim ndugu zangu Watanzania. Tanzania kupitia bandari ya Dar kwa sasa imevutia kupitisha mizigo mingi hasa toka Burundi kwa ku-charge bei ambayo wateja wanaweza kumudu. Kwa mujibu wa gazetu la the East African ninanukuu "On average it costs $1.80 per kilometre per container to transport...
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bodi ya Mishahara Kenya yapinga Wabunge kuongezwa pensheni

    Bodi ya mishahara nchini Kenya imepinga mpango wa kuongeza pensheni kwa wabunge 375 wa zamani. Mkuu wa bodi hiyo, Lyn Mengich, amesema iwapo wabunge wataongezewa pensheni wafanyakazi wengine wa ofisi za Umma watataka mishahara yao iongezwe pia. Wiki hii wabunge nchini humo walipitisha muswada...
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania M-Pesa: Ubunifu wa Kenya wazidi kuongoza Afrika kwa miamala

    Mchango wetu kwa ukuaji wa Africa ni jambo la kufurahisha kwa kweli, tulibuni MPESA na sasa inazidi kuwa tegemeo la Afrika. === Mobile money platform M-Pesa is now processing transactions of Sh1.6 trillion per month in Kenya and other African countries, making it the largest payment platform on...
  9. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania After failing to build cable stayed bridge Kenya has resorted to build a pedestrian floating bridge

    ======= Works on the first floating footbridge across the Likoni Ferry channel have started. The Sh1.7 billion bridge contracted to the China Road and Bridge Corporation is being erected at Liwatoni on the island side and is a composite structure designed for pedestrians only. It starts at...
  10. JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Tunasikia taarifa watu wanakufa kwa Corona lakini haisemwi wazi. Serikali imerekebisha Sheria inayozuia kupeana taarifa

    Muda mfupi mh Tundu Lissu atakuwa mbashara kuanzia saa 8: 00 mchana,Vituo vitakavyokuwa live Ni @standardKenya na @KTNNews, hii Ni kwamjibu wa Tumaini Makene ====== Mwandishi: Mchakato wa kupona ulikuwaje? Lissu: Asante kwa kushiriki kwenye kipindi chenu na kuongea na wananchi wa Kenya kuhusu...
  11. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakika yametimia sasa ya Kenya na COVID-19

    Huyu ni Mkenya Mwanasiasa gani? Hebu mtujuze watu wa 254
  12. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kujenga kituo cha Umeme wa Nyuklia chenye kugharimu dola Bilioni 5 na kuzalisha Megawati 4000

    Kenya kujenga kituo cha umeme wa nyuklia chenye kugharimu dola bilioni 5 kinu hicho kinatarajiwa kuwa kitazalisha umeme wa Megawati 4000 Shirika la Nishati ya Nyuklia la Kenya (NuPEA) limewasilisha ripoti kuhusu mpango wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa nyuklia ambacho ujenzi wake...
  13. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania COVID-19 Kenya: watu 48 wa familia moja wakutwa na maambukizi

    Wizara ya Afya ya Kenya imetangaza maambukizi mapya 671, yaliyotoka kwenye sampuli 62,00 zilizopimwa saa 24 zilizopita. Idadi hiyo imefanya jumla ya ya maambukizi kufikia 23,873 Katika watu hao waliothibitika kuwa na CoronaVirus 633 ni wakenya na 38 ni wageni. Pia idadi ya waliofariki imefikia...
  14. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Mwanamke wa miaka 62 akamatwa kwa ujambazi na kuhukumiwa miaka 35 Jela

    Joyce Wairimu Kariuki (62) amhukumiwa kwenda jela miaka 35 baada ya kukuta na hatia ya ujambazi. Amekutwa na hatia ya kuhusika kupora vyombo vya moto kwa mwaka 2018 na 2019 Rekodi za Upelelezi wa Makosa ya jinai zinamtambua mama huyo kuwa ni mwanamke aliyewahi kutumikia kifungo cha miaka 15...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Horticulture shrugs off COVID-19 to earn Kenya Sh. 72 bilioni in five months

    Earnings from horticulture exports grew by Sh. 7 billion in the first five months of the year. This was helped by high demand for vegetables and fruits, defying the Covid-19 scourge that disrupted the global market, where Kenya sells the bulk of its produce. Data from the Directorate of...
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa kilio hiki cha Kenya kwa Tanzania: Kweli sindano imegusa mfupa

    Kama ilivyo kawaida ya Kenya kuonesha tabia za kitoto za kumchokoza kaka yake au mkubwa kwake kiumri na nguvu. Lakini pale yule mkubwa akichoka kuvumilia na kuamua kumuadhibu labda tu kwa kumpa kwenzi la wastani la utosi, basi huyo mtoto mchokozi hulia na kukimbilia kusema kwa mama/baba. Hiyo...
  17. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya isilegeze kamba kwenye kuban Watanzania

    Kenya isikubali Watanzania waje huku kutuongezea corona. Hawa Watanzania wanadanganya eti hawana corona lakini ni dhahiri shahiri kuwa wao wana corona na wanakufa kwa wingi tu. Kenya isiogope hasira za mkizi kutoka kwa Watanzania. Afya ya Wakenya ipewe kipaumbele.
  18. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Baba amuua binti kwa kipigo na kutaka kumzika kwa siri

    Maurice Owino Owaga Mkazi wa Muhoroni, Kisumu anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumpiga binti yake wa miaka 15 na kumsababishia kifo. Mtu huyo alikamatwa akiwa anajiandaa kumzika kwa siri Baba huyo alimpiga binti yake kwa kosa la kulala kwa mwanaume bila kuwa na idhini yake. Kaimu Kamanda wa...
  19. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watanzania mjiulize kwanini mnatengwa na dunia hata kwenye misiba, japo mnapenda kuililia Kenya

    Kwenye msiba wa mzee Mkapa, kwa majirani zenu wote, Burundi tu ndiye alijitutumua kutuma ujumbe, sisi Wakenya tulituma japo ikasemekana mliwafukuza na kusingizia hali ya hewa, Malawi hakuja mtu, Zimbabwe hakuja mtu, Zambia kimya, Mozambique wala hata mmoja, Rwanda ndio chali kabisa, Bakongo/DRC...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Prof. Kabudi; Mipaka imefunguliwa kati ya Kenya na Tanzania kwa usafiri wa ndege; sisi wa usafiri wa shuttle barabarani ndio wenye Corona?

    Niliposikia Kenya na Tanzania wamefikia muafaka kuhusu kusafiri kwa ndege kati ya Dar es Salaam na Nairobi, nilidhani kwamba makubaliano haya yangehusu pia usafiri wa shuttle kati ya Arusha na Namanga. Kufika Arusha naambiwa hakuna kitu cha namna hiyo, bado wanaoruhusiwa kuvuka mpaka pale...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…