johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,842
Sina hakika kama mahakama ya Tanzania inaweza kusema Rais wa JMT amekosea katika jambo fulani au iseme Rais anapaswa kushtakiwa kwa kuvunja katiba
Mahakama ya Kenya iko huru, inaweza.
Ingekuwa ni Kenya swala la Halima Mdee na wenzake lingekuwa dogo sana na huenda wasingekuwa bungeni kabisa.
Eid Mubarak!
Mahakama ya Kenya iko huru, inaweza.
Ingekuwa ni Kenya swala la Halima Mdee na wenzake lingekuwa dogo sana na huenda wasingekuwa bungeni kabisa.
Eid Mubarak!