kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. jamaikatz

    Nipeni kazi yoyote nipo kahama 0715670870

    Nipeni kazi yoyote ya kufanya nipo kahama, Manzese 0715670870 Nitakufa na njaa.
  2. Beira Boy

    Ubachela kazi sana Mimi mkristo lakin Chrismas nimekula vya kula vya waislam

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Usiombe uwe bachela ni kazi si kidogo aisee Jana kama mnavyojua ilikuwa ni Christmas hivyo asubuhi nimeenda zangu kanisani kama kawaida Kisha kwenye saa sita nikarudi zangu home nikiwa na mawazo nikale wapi maana magenge yote yalikuwa...
  3. Bawabu wa pili

    Baada ya wasanii kususiwa kazi zao, vijana wanaofanana na wasanii hao wamejikusanya ili kuchukua nafasi zao

    Kitendo cha wasanii wa Tanzania kususiwa kazi zao na jamii Yao kimewaibua vijana wanaofanana na wasanii hao na kuwafanya wajikusanye pamoja ili kwenda vijijini kujaribu bahati zao za kupiga show za Chaka to chaka wakiamini hawatatambulika kama ni feki,Maeneo waliyoainisha kwenda ni Chunya...
  4. Mallerina

    Mwenye uhitaji wa Dada wa Kazi anione PM

    Merry Xmas ! Kuna mdada anaomba kama Kuna mtu mwenye uhitaji wa mdada wa kazi ajitokeze Ana miaka 25 Anajua kupika Anajua kufua Anaweza kupanga nyumba vizuri Kazi ya duka anaweza pia..... Mshahara mtaelewana kulingana na kazi za nyumbani au duka
  5. N

    Kazi za remote

    Kama unapenda kufanya kazi za remote hii inakufaa Mercor | Find Remote Work Opportunities
  6. raizen 50

    Naomba mwenye ujuzi na utumishi. Nimepata kazi kwa kigezo cha diploma lakini nina degree

    Habari wakuu nimekuja kwenu kuomba uelewa nimeajiriwa na diploma lakn nina cheti changu cha degree bado sijakichukua chuoni naomba kujua je itachukua muda gan kazini hadi niweze kukitumia cheti cha degree na kisheria ya utumishi pia inasemaje ni kosa au, Kwa anaejua naomba maelezo niweze...
  7. Roving Journalist

    Dkt. Mwigulu: Mtendaji wa TEMESA na Menejimenti yake wafutwe kazi, uchunguzi ufanyike vivuko kuharibika mara kwa mara

    WAZIRI MKUU Dkt. Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kufutwa kazi na kufikishwa katika vyombo vya sheria kwa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) pamoja na Menejimenti ya wakala huo kutokana na ubadhilifu wa zaidi ya shilingi bilioni 2.5. Pia, Waziri Mkuu amemuagiza...
  8. ELI COHEN

    HII NDIO SIKUKUU BORA KULIKO ZOTE, ZINAANZA NYINGINE THEN HII NDIO INAKUWA FUNGA KAZI. MERRY CHRISTMAS WANA JF

  9. Samia atosha tukutane2030

    Nywi nywi nywi hakuna, wapinzani watafute kazi nyingine

    Automatically upinzani umejifuta wenyewe. Kitendo cha wapinzani kuleta vurugu kwa makusudi kisha waishitaki nchi nje wapate kusaidiwa kuitoa CCM madarakani ni kama vile mtu ashike kisu kwenye makalio kwa mkono wake wa kushoto halafu atumie mkono wake wa kulia kushika mpini na kujipoka yeye...
  10. Nyankurungu2020

    Wanaotumihiwa kuiba Bil mbil Tamesa wanafutwa kazi na kupelekwa Mahakamani. Angela Kiziga yupo Ikulu akimsadia rais Samia Kazi

    Watanzania wakiingia mitaani na kuandamana kuwa huu utawala haufaina utakiwa kuondolewa kwa nguvu za umma Wanatumia majeshi kuwamaliza. Mtu kama Angela Kiziga alifanya ufisadi ambao ni ni dharau na kebehi kwa walipa kodi. Lakini leo hii ni miongoni mwa WanaCCM ambao ambao wapo karibu na...
  11. Natafuta Ajira

    Kazi ya ubaamedi ni kwa ajiri ya single mothers?

    Nimegundua hii trend. Viwanja vyangu vyote vya kumwagilia moyo kila baamedi ninaepiga nae story ananiambia ana mtoto. Ukimuuliza baba mtoto yuko wapi analeta story za hapa na pale. Hii kazi ya ubaamedi ndio tayari ishakua maalumu kwa ajiri ya single mazas au vipi.
  12. Mwachiluwi

    Iheshimu sehemu yako ya kazi

    Kuna watu tuna idharau sana sehemu tunazo fanyia kazi Sehemu unayo fanyia kazi watu hawataki kujua maisha yako kabisa punguza story nyingi na watu kuna baadhi akifa kazini ana anza kuhadithia yaliyo tokea jana kwake yaan ana kusanya watu na kuhadhia hii mbaya sana Epuka madeni una weza ika...
  13. The Burning Spear

    Kazini kwa mwandambo kuna kazi ah ahaha aitwa inbox na binti

    Kizazi cha 2000 siyo weka mbali
  14. ntantau

    Nashiriki kazi zangu: Handmade home decor nilizotengeneza mwenyewe

    Habari wana jamii Ninashiriki nanyi handmade home decorations ninazotengeneza mwenyewe, kazi zinazochanganya art, light na modern interior design. Kila piece ni unique, imetengenezwa kwa umakini na passion, ikiwa na lengo la kuleta comfort, elegance na identity ndani ya nyumba au ofisi...
  15. STUKA M1

    Kwanini Taasisi za Serikali ambazo ni Autonomous hazitoi nafasi za kazi..?

    Baada ya kufuatilia vizuri nimegundua kuwa taasisi za Serikali ambazo zinaweza kujiendesha zenyewe bila kutegemea bajeti za Serikali (Autonomous Institutions) Huwa hazitoagi ajira ama mpya au kuhamia. Hivi hizi Taasisi huwa zina-replace vipi watumishi wanaostaafu au changamoto zingine...
  16. Scott junior

    Askari afukuzwa kazi kwa kuikosoa serikali

    Askari magereza wa nchini Uganda aliyetambulika kwa jina la Lawrence Ampe amefukuzwa kazi baada ya kuikosoa serikali kupitia mtandao wa TikTok, huku mamlaka zikisema alichokifanya ni utovu mkubwa wa nidhamu na kuongeza kuwa Kanuni za kazi haziruhusu mtumishi wa umma kushiriki siasa. Lawrence...
  17. E

    Anahitaji kazi

    Habari za wakati huu ndugu zangu. Nipo kumsaidia mtu mzuri na mwenye bidii kutafuta nafasi ya kazi ya Ugavi (Procurement/Supply Chain). Iptysam Salum ni mtaalamu aliye tayari kujifunza, kufanya kazi kwa uaminifu na kuongeza thamani popote atakapopata nafasi. Kama una taarifa, nafasi au unajua...
  18. Mind stone

    Wakuu bado natafuta kazi, na maelezo yangu ni hayo kwenye tangazo hapo chini

    Natafuta kazi na qualifications zangu zipo hapo kwenye picha ya Tangazo.
  19. H

    Je, ni kwa kiwango gani Maafisa Kazi wa Mikoa wanatimiza wajibu?

    Kukosekana kwa Ufuatiliaji Madhubuti* Maafisa kazi wengi hawatembelei maeneo ya kazi kwa ukaguzi wa mara kwa mara, hali inayowapa waajiri mwanya wa kuendelea kukiuka haki za wafanyakazi. Ukimya wa Maafisa Kazi Wakati wa Migogoro* Kumekuwa na kesi nyingi ambapo wafanyakazi wanatendewa...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    PostGE2025 Je, ni Wasanii wana jukumu la kuikosoa serikali pale inapokosea? Twende kazi

    Hamjambo wote! 1. Kumekuwa na vuguvugu mitandaoni la kuwapiga Pin Wasanii kwa sababu mbalimbali. 2. Nitaeleza sababu halisi bila kuficha kama ifuatavyo; a) Wasanii kutokemea maovu yanayohusishwa na Dola. Hii ndio sababu kuu. Ambayo wananchi wanaona Wasanii hawapo upande wao isipokuwa upande wa...
Back
Top Bottom