Mi Binafsi sijawai kuajiriwa, Zaidi ya Kufanya shughuri zangu mwenyewe.
Sasa Mara Nyingi huwa nakutana na Hawa watu, wa Mamlaka cha kushangaza Hawa watu Wana sisitiza na kuongea watu wajiajiri wakati wao wameajiriwa,
Ukitazama kuhusu Watoto wao nao poa hawajajiri Bali wameajiriwa, na hii kauli...