Uongozi ni kipaji kinachokuongoza uongee nini , Kwa akina nani na Kwa wakati gani
Lakini kama wewe ni kiongozi alafu lile linalokujia kichwani ndio unalolisema wewe huna sifa ya kuwa kiongozi tena kiongozi no 2 wa nchi
Kama alitaka kuzungumzia katiba mpya ilitakiwa awambie wananchi wao kama...
Tuanzie kwenye kichwa cha habari hapo juu, ni MABADILIKO Gani alitaka kuyafanya mama na akuzuiliwa na Nchimbi?
Kumteua mbowe kuwa waziri mkuu?
Kumuuua Tundu Lissu?
Kuamua yakuwa katiba mpya haitotokea kamwe hata akiuuwa?
Ni yapi hayoo?
Naanza Kwa Wino Mzito wa salamu, "Kwa Haki, Mshikamano, Uzalendo na Uwajibikaji wa Pamoja", wote Twaitikia "Ndio Tamaduni zetu Watanzania".
Ndugu wa Tanzania, kutokana na hoja mbali mbali za Kikatiba, Itaji la muda mlefu la Katiba mpya na uitaji wa Mchango wa kisomi na Kitaaluma kwenye...
Katiba inasemaje kama Samia akimteua Makamu wa rais Mwingine baada ya Nchimbi kujiuzulu na Ikatokea Samia kapata changamoto yoyote ya kibinadamu itakayofanya ashindwe kuendelea na majukumu yake na kuacha kiti wazi
Je huyu makamu aliyeteuliwa na akupigiwa kura pamoja na samia j Ataapishwa na kua...
Viongozi wetu kuweni wavumilivu muombeni sana Mungu, mjue kuwa mnavyojihudhuru mnalitia hasara Taifa na sisi Watanzania. Kuweni wavumilivu mwishoni mtavikwa taji la USHINDI
Taifa linaanza kuwapa stahiki ili hali hawajalitumikia Taifa ipasavyo.
Tunaomba katiba ibadilishwe katika kipengere hicho...
Hatimaye, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, amejiuzulu wadhifa wake baada ya miezi ya tetesi, mijadala ya kisiasa na mashambulizi yaliyokuwa yakimlenga ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Taarifa ya kujiuzulu kwake imetumwa kwenye akaunti zake za X...
WE WANT A CLEAN BREAK WITH THE PAST
Haya sasa, tumekwama naye maisha. Kwa aliyofanya jana huwezi kusema ignore the traitor. Huwezi kumu ignore. Ni kiongozi wa kudumu ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.
Na kwa sababu tumempa hadhi kubwa ya kiongozi wa maisha, kila atakalosema na kulifanya...
Misingi ya Katiba yenye mgawanyo madhubuti wa madaraka
1. Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wasiteuliwe moja kwa moja na Rais. Wawe na utaratibu wa wazi wa kikatiba/kisheria wa uteuzi au uchaguzi unaowapa uhuru wa kiutendaji. Pia wasiruhusiwe kuwa wajumbe wa Kamati za Siasa za CCM katika mikoa...
Chini ya sheria na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais aliyeko madarakani hawezi kulazimishwa au kuitwa mahakamani kutoa ushahidi au kushtakiwa kwa sababu anapewa kinga kamili ya kikatiba kulinda hadhi na utendaji wa kiti cha urais.
Kinga ya KikatibaKifungu cha Sheria:
Ibara ya...
Baraza la Michezo la Taifa, BMT, limetoa ufafanuzi kwa umma, wanachama na wadau wa Klabu ya Simba kuhusu utekelezaji wa Katiba iliyorekebishwa ya klabu hiyo iliyoidhinishwa tarehe 18 Februari, 2026, hatua inayokuja baada ya mashabiki na wanachama wa klabu ya hiyo kulalamima kuhusu utekelezaji wa...
Ndugu zangu Watanzania KAMATI YA KUSUKUMA MARIDHIANO YA KITAIFA(KKMK) tunahimiza Wanasiasa kuwa na Utulivu wa AKILI,MIKAKATI NA MBINU za kupigania MAGEUZI YA KATIBA na MAZUNGUMZO yatakayozaaMARIDHIANO
NA MUAFAKA WA KITAWA KITAFA.Bado tuna imani kwamba pamoja na matatizo yaliyotokea bado Rais...
Ndugu zangu Watanzania KAMATI YA KUSUKUMA MARIDHIANO YA KITAIFA(KKMK) tunahimiza Wanasiasa kuwa na Utulivu wa AKILI,MIKAKATI NA MBINU za kupigania MAGEUZI YA KATIBA na MAZUNGUMZO yatakayozaaMARIDHIANO
NA MUAFAKA WA KITAWA KITAFA.Bado tuna imani kwamba pamoja na matatizo yaliyotokea bado Rais...
Leo nimemsikia Ally hapi akisema hatarajii katiba mpya iwe tayari kabla ya 2030.
Ikiwa hawa ndio viongozi wa jumuiya za ccm na ndo wafanya maamuzi ndani ya chama kumbe nchimbi alimaanisha hawa
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limeeleza kuwa wajibu wa kutekeleza Katiba ya Klabu ya Simba iliyorekebishwa na kuidhinishwa Februari 18, 2026, sasa uko mikononi mwa klabu hiyo baada ya Serikali kukamilisha hatua ya kuidhinisha na kuikabidhi rasmi.
Katiba hiyo ilipitishwa na Mkutano Mkuu wa...
Wakuu, kwa katiba hii ya sasa hakuna mtawala asiye itaka, yaani mtawala anakuwa juu ya mihikili yote ya nchi. Nani asiyeitaka?
Chama tawala hakitakaa kitupe katiba tuitakayo raia aba dani. Itawabana, jeshi linaheshimu katiba ya nchi, mkibadilisha mtawala akifanya ndivyo sivyo jeshi litamwambia...
Tanzania imekuwa na mjadala wa muda mrefu kuhusu umuhimu wa kuwa na Katiba mpya.
Wapo wanaoamini kuwa baadhi ya changamoto za kisiasa, uwajibikaji na mgawanyo wa madaraka zinatokana na mapungufu yaliyopo kwenye Katiba ya sasa.
Lakini wengine wana hoja kwamba hata Katiba nzuri zaidi inaweza...
Aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ameanza rasmi safari yake ya kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu uliodumisha kuondolewa kwake madarakani kupitia mchakato wa impeachment. Katika rufaa hiyo, Gachagua anapinga hoja kwamba uamuzi wa Seneti hauwezi kuchunguzwa au kubatilishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.