Tatizo lilianza siku alipoidharau Katiba ya nchi kwa kuiita kwa maneno yake mwenyewe kuwa 'kijitabu'.
Na kuna siku atashitakiwa kwa kuikashifu Katiba ya nchi.
Namna pekee ya kupona ni kwa yeye kutoka hadharani na kuhutubia kama alivyofanya juzi lakini badala ya kuongea mipasho aombe radhi kwa...
Vyombo kazi yao na kiapo Chao ni kulinda katiba, Maslahi ya Umma, Tunu za Taifa.
Mpaka Sasa amevunja yote huenda vyombo vinashughulika nae bila yeye kujua.
1. Mamlaka ya nchi inatoka kwa wananchi. Kajipachika. Kavunja katiba.
2. Wameuawa maelfu, internet imezimwa, vikwazo vya kiuchumi n.k...
Hamjambo!
1. Mwezi huu uwe mwezi wenye Baraka na Neema ya Mungu naam yule MUNGU Mwenye Nguvu nyingi aliyetuumba wote.
2. Mwezi huu Mungu atuepushe na Mabaya na kushindwa na adui zetu.
3. Wokovu wa Mungu uwe upande wetu. Naye atatupa Wokovu mkuu na ushindi kwa namna isiyoelezeka.
4. Adui zetu...
Nipo mkoani Arusha aliko Mh MWIGURU mchemba waziri mkuu kutoka chama Cha ccm.
Leo akiwa mkoani Arusha ameendeleza kauli zake ambazo ZINAZIDI kulitia taifa letu MATATIZO na ENDAPO hatojisafisha kwa kauli zake atalitia taifa katika mkanganyiko mkubwa.
Leo amekuja na kauli tata sana yakuwa wanao...
Li KATIBA libovu la ccm ndio imetusababishia majanga tulionayo tangu 1992. Tunao maviongozi mengi t kwenye kila idara low IQ failures tablalasa nothing in their heads
Siku tutakayopata fursa ya kuandika katiba mpya ya nchi tukumbuke.
1. Kufuta nafasi ya waziri mkuu.
Hakuna tija kuwa na waziri mkuu na makamu wa rais pamoja.
2. Kufuta nafasi za manaibu mawaziri.
Mawaziri wanatosha kumshauri rais na kufanya maamuzi ya kisera na kisiasa katika wizara zao, kazi...
Haya ndio matatizo ambayo Katiba iliyofanya yaani Rais kama kamaliza muda wake kutojihusisha na serikali.
Leo hii tumejionea kwa Jakaya Kikwete yaani unaweza kusema bado yupo Serikalini na anafanya kazi kama Rais.
Upande wa chama chao unaona kabisa kama ni mwenyekiti wa maamuzi...
Watuhumiwa 93 wa kesi ya kudai uchaguzi huru na wa haki, na mabadiliko ya katiba wamefikishwa mahakamani wakiwa wanalia, je wanateswa vizuizini ?
Vyombo vya habari vya ndani vimechapisha vijana hao wasio na hatia walionekana kwenye vilio, ikumbukwe vyombo vya usalama vimeshtumiwa zaidi ya mara...
Ya Mzee Kibao ilisemaje?
Huyu Jaji Othman ashaandika ripoti ngapi kwa mfano? Ziko wapi?
Au huyo Balozi Ombeni Sefue, mshamsikia kwenye matume mangapi ? Ziko wapi ripoti alizoshiriki?
Kwa nn huwa hawadai ripoti zao zifanyiwe kazi kama ambavyo Jaji Warioba anaishi akihubiri rasimu ya Katiba...
Kila siku tunasema hapa sisi waislamu hatuna chombo cha kutusimamia,inakuwaje Mufti wa Zanzibar ateuliwe na Raisi?
Tena serikali inamlipa mshahara na kuihudumia ofisini yake..
Mbona wakatoliki,wasabato, KKKT na Waanglikana viongozi wao hawateuliwi na Raisi?
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari ameyaweka wazi majukumu makubwa ya Waziri Mkuu wa Tanzania kama yanavyoelezwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Majukumu hayo na mengine ndiyo yanayotarajiwa kutekelezwa na Dkt. Mwigulu Nchemba aliyeteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan...
Watu wapo ikulu na bungeni wakijifanya viongozi kwasababu majengo yapo wazi wananchi mnapaswa kuyathibiti tuunde serikali yetu kwa muujibu wa katiba
Utawaona wakijaribu kuunda serikali yao isiyo ya kiraia ya kujiteuwa wenyewe kwasababu majengo yapo wazi tutakapo yathibiti tutaunda serikali yetu...
Nyerere alikuwa Rais. akiwa na Miaka 39 tu
Mwangalie Obama Rais Bora kuwai kutokea duniani.
Mohamad Gadafi alikuwa kijana na mapinduzi makubwa libya
Mwangalie Traore
Yaani Ni Marais ambao wanafanya au walifanya mapinduzi makubwa wakiwa vijana.
Ukizeeka thinking capacity yako inakufa
Ndio...
TAARIFA KWA UMMA
JUKATA kwa majonzi makubwa inatoa pole za dhati kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wote ambao wapendwa wao wameuawa, kujeruhiwa au kutoweka wakati wa maandamano yaliyozuka siku ya uchaguzi tarehe 29/10/2025. Tunalaani vikali vitendo vya kikatili vya kuwapiga risasi wananchi...
"Ndugu mgombea mheshimiwa Zungu ningependa kufahamu katika bunge utakaloliongoza iwapo utachaguliwa kuwa spika litakuwa na mchango gani katika kuboresha demokrasia nchini Tanzania hasa katika muktadha wakujenga mwafaka wa kitaifa na kuhakikisha Tanzania inapata katiba mpya?".
Mbunge mteule wa...
Nimeona makamu wa Rais nchimbi akiongelea kuhusu swala la maridhiano
Kama kweli tuna nia ya kuwa na maridhiano ya kweli tunatakiwa kuwa na katiba mpya mpya na sio katiba mpya mbovu
Kwanini nasema hivyo kunaweza fanyika jitihada za kuunda katiba mpya ila ikawa mbovu kuliko hii ya sasa ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.