kanisa katoliki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    Sala Maalumu ya kuombea Haki na Amani ya nchini Tanzania kama ilivyotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)

    SALA YA KUOMBEA HAKI NA AMANI Ee Mungu tunakusifu, tunakuheshimu, tunakutukuza, tunakuabudu na kukushukuru sisi Watanzania kwa kutujalia Nchi nzuri. Tunakushukuru pia kwa zawadi ya Mwaka Mtakatifu wa Jubilei 2025. Tukiwa Mahujaji katika Matumaini, tunakuomba utuepushe na changamoto zinazoweza...
  2. Just Pray

    GE2025 Askofu Ruwa'ichi: Kanisa katoliki halilumbani wala kushindana na serikali

    Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es salaam Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap. amekanusha na kutolea ufafanuzi taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikionyesha kuwa warsha ya waamini jimboni humo itafanyika Oktoba 29, siku ambayo ni ya uchaguzi mkuu wa Tanzania, kuwa taarifa...
  3. B

    Haki nchini kuelekea uchaguzi mkuu, haki za wapalestina Gaza: Kanisa katoliki ni la kupigiwa mfano dhidi ya madhehebu za kilokole, waisilamu nk!

    Msimamo wa kanisa katoliki kuhusiana na uchaguzi mkuu 2019/20, 2024 na huu unaotarajiwa 2025 uko wazi: Msimamo wa kanisa katoliki kuhusiana na wapalestina Gaza huko, unajulikana: Papa Francis: Awacharukia "war mongers" wa mashariki ya kati wasiotaka amani Tofauti ya wazi kabisa baina yao...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Padre Mwabena: Kanisa Katoliki linawahamasisha wananchi kupiga kura siku ikifika

    Paroko Msaidizi wa Parokia ya Peramiho, Padre Frederick Mwabena amesema ni wajibu wa Kanisa Katoliki kutunza amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Padre Mwabena amesisitiza kuwa Kanisa Katoliki linawahamasisha wananchi kupiga kura siku ikifika, kwani ni haki yao ya msingi. Pia...
  5. M

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya watu wa LGBTQ imejumuishwa rasmi katika ratiba ya Mwaka wa Jubilei wa Kanisa

    Vatican makao makuu ya kanisa katoliki duniani yapokea hija takatifu ya kwanza rasmi ya watu wanaoingiliana kinyume na maumbile. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya watu wa LGBTQ imejumuishwa rasmi katika ratiba ya Mwaka wa Jubilei wa Kanisa. Takriban watu 1,400...
  6. Heparin

    Kanisa Katoliki Kirumba lazingirwa na Polisi kisa Mkutano wa CHADEMA, baadhi ya watu wamekamatwa

    Jeshi la Polisi limezingira Kanisa Katoliki Kirumba, Mwanza, ambapo CHADEMA Kanda ya Victoria walikusudia kuadhimisha Chadema Mashujaa Day katika ukumbi wa Kanisa hilo. Mpaka sasa watu kadhaa wamekamatwa, akiwemo Katibu wa Kanda hiyo, Zacharia Obad.
  7. Li ngunda ngali

    Tetesi: Kanisa Katoliki kusitisha huduma za kijamii endapo uminywaji wa haki utaendelea kutukia Nchini

    Duru ndani ya viunga vya Baraza la Maaskofu zinatabanaisha kwamba, Kanisa linakusudia kusitisha kutoa huduma za Kijamii hadi pale uminywaji wa haki za ki msingi zitakapo komeshwa. "....baba Maaskofu wanakribia mno kuungana na watoe tamko kali litalo waacha watu wengi midomo wazi." "....juzi...
  8. D

    Napenda kumwandika papa Leo alifute kanisa katoliki Tanzania mana limekuwa la kisiasa zaizi limepteza focus.

    Hivi maslahi yenu yameguswa? Mbona hamuwi wawazi tukawarudishia wizi wenu. Mtu mzima tena skofu unahubiri siasa eti jk asimshauri rais ni akili kweli hiyo? Rais ni asset ya serikali ndo mana analipwa till death ili atumike kisawasawa. Mboa Pengo alistaafu lakini bado yuko mimbalini na...
  9. Ngongo

    Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

    Heshima sana wanajamvi, Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025. Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja...
  10. K

    GE2025 Kanisa Katoliki toeni tamko ya kugomea chaguzi za kitapeli

    Tumesali novena sawa lakini ni unafiki kwenda kwenye chaguzi ambazo kwa kila namna hazina maana na tayari tume imeweka mfumo wa kura fake. ! Sasa wakatoliki twende kupiga kura fake! Toeni tamko tuache uoga na unafiki
  11. musicarlito

    Hatuwezi kulitenganisha Kanisa Katoliki na nchii...Hongera Roman Catholic Mungu atajibu maombi

    Kanisa katoliki kila siku ku a sala ya kuwaombea viongozi na kwa namna ya pekee Mhe. Raisi Kanisa Katoliki bado linashirikiana na selikari katika mambo mengi ikiwemo ustawi wa amani kwa mafundisho na utoaji wa huduma mbali mbali za kijamii kama afya na elimu bila kuchoka hata pale inapotokea...
  12. Pascal Mayalla

    GE2025 Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!

    Wanabodi Mimi mwanabodi mwenzenu,pamoja na mambo mengine yote,mimi pia ni Mkristo Mkatoliki, ila Ukatoliki wangu, ni wale Wakatoliki tulioendelea endelea, kwa Lugha ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere. Kwa maelekezo ya Baraza la Maaskofu Katoliki la Tanzania, TEC, Kanisa Katoliki Tanzania,na...
  13. M

    Kanisa katoliki linakuzwa sana, Sioni wanachofanya zaidi ya kupiga kelele, Wenye nguvu wanafanya watakalo bila breki

    Kwanza kabisa nitoe shukrani kwa kanisa katoliki, limekuwa mstari wa mbele kupaza sauti lakini kwa bahati mbaya sauti hiyo masikioni mwa walengwa ni kama kelele tu, wanaendelea kufanya wanachotaka bila breki Kama ni DP World ilishapita, Kama ni uchaguzi utafanyika na CCM kwa mazingira...
  14. John Manoni

    Siasa za tanzania, kanisa katoliki lipo kwenye maombi ya kufunga kumwomba mungu haki na amani

    Sala na Kazi Ujasiri wa wananchi wanaonyonywa Kinyume na wanamtandao wanyonyaji. Mshikamano kukabiliana na uhuni kwenye uchaguzi dhidi ya waliojipanga kutumia mahakama kuua fikira. Ni kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Nani panya atamfunga paka kengele? Tumrudie Mungu Mwenyezi, Mungu wa Paulo...
  15. John Manoni

    Siasa za Tanzania, Kanisa Katoliki lipo kwenye Maombi ya Kufunga

    Sala na Kazi Ujasiri wa wananchi wanaonyonywa Kinyume na wanamtandao wanyonyaji. Mshikamano kukabiliana na uhuni kwenye uchaguzi dhidi ya waliojipanga kutumia mahakama kuua fikira. Ni kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Nani panya atamfunga paka kengele? Tumrudie Mungu Mwenyezi, Mungu wa Paulo na...
  16. Parabolic

    GE2025 Kanisa Katoliki kuliombea Taifa kwa siku tisa

    Askofu Mkuu wa Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Thadeus Ruai'chi ameagiza katika Parokia zote na Asasi zote katika Jimbo Kuu la Dar es Salaam ifanyike Novena ya siku tisa (9) kuomba Haki na Amani kuanzia Agosti 15 -23, 2025. Askofu Mkuu ameelekeza kwamba Novena hiyo iambatane na kuabudu Ekaristi...
  17. Mto wa mbu

    Kulikoni? Mbona Polisi hawajaenda na mitutu kuwavamia waumini wa Askofu Gwajima, kwenye ukumbi wa Kanisa Katoliki?

    Sote tunajua, tuliambiwa kuwa waumini wa Askofu Gwajima wanaleta taharuki, kila jumapili walipokusanyika waliishia kupingwa virungu na mabomu ya machozi. Mungu si Abdul Wala Mchengerwa, kanisa katoliki likawapa ukumbi wa kanisa lake, Cha kushangaza Leo hakuna askari yeyeto aliyepeleka pua pale...
  18. F

    Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima karibuni sana Kanisa Katoliki kusali tunawapenda sana hapa ndio nyumbani kwenu hasa, msiogope sanamu mnazoziona

    Sanamu zilizopo makanisani kwetu ni picha tu, ni kama zile zilizopo maofisini za Nyerere, Samia, n.k. kwani mnaziabudu? Hapana ni vielelezo tu na sisi hatuwezi kuwa wajinga kiasi hicho cha kuabudu sanamu! Tunajua kuwa Mungu ni Roho na anabudiwa katika Roho na Kweli. Sisi Wakatoliki kama Kanisa...
  19. English Learner

    Pongezi kwa Kanisa Katoliki kwa Kusimamia Kidete Msimamo wa TEC

    Katika picha mjongeo inayoonekana hapo chini, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mbalali ambaye sasa ni Mgombea ubunge ndani ya CCM, Jimbo la Kyerwa, Karagwe anaonekana akizuiwa kutumia jukwaa la Ibada ya mazishi ya Padre Vitalis huko Karagwe kupiga siasa. Nalipongeza kanisa Katoliki kwa kwa kuwa firm...
  20. BarakaMkekusi

    Vita kati ya freemason na kanisa katoliki

    June 24 mwaka wa 1717 kundi la freemason walifanya kikao sehemu iitwayo Gridion ambayo ilikuwa katikankiwanja cha mtakatifu paulo huko wingereza.. Kwenye kikao hicho moja ya ajenda kubwa ilikuwa ni kuunganisha kundi la freemason liwe moja, kwa maana kipindi hicho walikuwa wamegawanyika bila ya...
Back
Top Bottom