kanisa katoliki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    Askofu Stephano Musomba: Hakuna mtu anayeweza kulitisha Kanisa Katoliki

    Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Lameck Musomba, amesema, Waumini wa Kanisa Katoliki wana kila sababu ya kujivunia ukatoliki wao bila kuyumbishwa au kutishwa na mtu yeyote yule. Amesema, Kanisa Katoliki limeendelea kusimama imara kwa sababu ni Kanisa lililojengwa juu ya...
  2. Life2

    Kanisa Katoliki limesema ukweli kwenye tawala katili na dhalimu mnoo Duniani

    Kanisa katoliki limeundwa kwenye misingi ya Haki, Utii, ukweli na kutetea uhai wa binadamu, wanyama na mazingira. Kutokana na misimamo yake Kanisa katoliki limejikuta likiwa na maadui wengi waovu nje na ndani ya kanisa. Hapa ndo tunaweza kutumia ile kauli waliomtesa na kumuua Bwana Yesu...
  3. MALCOM LUMUMBA

    Siasa za kindugu, umwagaji damu na Ukatoliki nchini Ufilipino

    UTANGULIZI Mwaka 2017 Raisi Duterte alianzisha vita kali dhidi ya Madawa ya Kulevya nchini Ufilipino. Aliaua maelfu wa watu aliodai ni watumiaji na wauzaji wa madawa. Alienda hadi mbele ya kadamnasi na kujisifu kwamba wakati ni Meya wa Davao alikuwa anatembea usiku na kupiga watu risasi...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Ludovick Rwezaura: Sheria ya kanisa Katoliki inakataza kuwaita waumini malofa na wapumbavu

    Aliyejitambulisha kama muumini wa kanisa katoliki aliyebatizwa na anayepokea sakrament, Ludovick Joseph, aeleza vifungu vya sheria vinavyowabana viongozi kuwafokea waumini kwa lugha kali.
  5. B

    Ludovick Rwezaura alishambulia Kanisa Katoliki kwa kuikosoa Serikali ya Samia

    Aliyewahi kuwa kada wa CHADEMA na mtu wa karibu wa siku nyingi na Waziri Mkuu mpya (Mwigulu Nchemba) ndugu Ludovick Rwezaura ameibuka leo na kulishambulia vikali Kanisa Katoliki kwa kuikosoa Serikali ya Rais Samia... Amejitambulisha kama muumini wa kanisa katoliki, aliyebatizwa na anayepokea...
  6. upupu255

    KWELI Video hizi kuhusu Askofu Ruwa'ichi kuomba radhi zimetengenezwa kwa Akili Unde

  7. THE BIG SHOW

    Kama waumini kupeleka malalamiko yao Vatican ni ulofa, njaa na upumbavu, kwanini Kanisa Katoliki linahangaika kujisafisha?

    Friends and Our Enemies, Kanisa Katoliki kupitia kiongozi wao Ruwaichi limeingia kwenye vita kali ya maneno na majibizano na waumini wake mara baada ya waumini hao kuandaa maandiko na kuyapeleka VATICAN ambako ni makao makuu ya kanisa hilo kuwashitaki viongozi wa kanisa hilo wa hapa nchini kwa...
  8. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Kanisa katoliki limepoteza uelekeo kabisa haijulikani nani ni nani. Kila askofu ni mkurupukaji tu na hajui nini cha kusema. Mbina pengo aliheshimika sana ikafika hatua akisema kitu serikali inapagawa. Kadri miaka inavyoenda kanisa linakosa critical thinkers kabisa
  9. K

    PostGE2025 Kwa Mujibu wa Fr. Kitima (TEC), Kanisa Katoliki lina idadi kamili ya waliouawa kwenye Maandamano ya OKTOBA 29(VIDEO)

    Leo nimepata wasaa wa kusikiliza kwa makini maojiano na vyombo vya habari aliyoyafanya Dr Kitima na kujiridhisha pasi na shaka Kanisa Takatifu la Mitume Kanisa Katoliki na TEC wana idadi kamili ya waliouliwa kwa mtutu mnamo tarehe 29 October 2025 Katoliki mumenipata hawa masheikh ubwabwa na...
  10. ngara23

    Mtaweza kweli kushindana na kanisa katoliki?

    Naona mnaingia kina kirefu cha maji ya mtoni Kanisa katoliki sio taasisi za kutikisa kwa propaganda Kanisa katoliki Lina weledi Hebu jibuni hoja zao, sio kuibua makundi ya wahuni kuwapinga na kuwatishia Jibu hoja zao Nani aliuwa ? Nani aliiba kura? Nani wanateka na kuuwa watu? Nani...
  11. Yoda

    Kanisa Katoliki lisiwe na ndimi mbili katika kuzungumzia haki, katika msiba wa Jenista Mhagama kanisa liliyumba

    Kanisa katoliki kupitia TEC, maaskofu na mapadri wake wamekuwa wakionekana katika mstari wa mbele kupambania haki na ustawi wa raia Katika mambo yanayonishangaza ni katika msiba ya waumini ambao ni waumini wa katoliki mfano huu wa Jenista Mhagama ambapo padri alimsfia sana kwamba alikuwa muumini...
  12. Waufukweni

    PostGE2025 Kanisa Katoliki Baltimore, Marekani wawaombea waliouawa Oktoba 29 katika ibada ya Jumapili Desemba 14, 2025

    Kanisa Katoliki la Baltimore, Maryland, Marekani (eneo la DMV) siku ya Jumapili, Desemba 14, 2025, limefanya ibada maalum ya kuwaombea mashujaa waliouawa wakati na baada ya uchaguzi Oktoba 29 wakipigania haki, ambapo waumini walikusanyika kuwakumbuka na kuwaombea marehemu hao. Katika ibada...
  13. ngara23

    Maajabu ya Kanisa Katoliki

    1. Kanisa katoliki halijawahi kuongelea dini yoyote, hata kama ni washindani wao 2. Kanisa katoliki halijitangazi 3. Kanisa katoliki muda wa ibada ni saa 1 hadi 2. 4. Ukiondoka hupigiwa simu hata uasi miaka 10 na ukirudi huulizwi ulikuwa wapi? 5. Hakuna muda wa kutabiri, sijui uponya, fukuza...
  14. Q

    PostGE2025 Mwambieni Samia, Kanisa Katoliki sio Kanisa la Gwajima. Hana ubavu wa kulifungia

    Kanisa la Roman Catholic linajitosheleza kwa kila idara lina kitengo cha ujasusi The Jesuit lina benki yake Bank of Vatican, lina miradi mikubwa dunia nzima, uchumi wake Tanzania ikasome. Inakadiriwa Kanisa Katoliki linamiliki kati ya hekta milioni 71 na 81. Takwimu hii inajumuisha mali kama...
  15. ChekoFagia

    Ni kweli utajiri wa Kanisa Katoliki unatokana na Serikali?

    Wakuu, Naomba kufahamu kuhusu suala la utajiri wa Kanisa Katoliki. Je, kweli utajiri wake unatokana na mgao kutoka serikalini? Baadhi ya Mashekhe wamekuwa wakidai kuwa Kanisa Katoliki hupokea fedha au mgao maalum kutoka serikalini, lakini sijui kama hizi ni tuhuma tu kama nyingine zinazotolewa...
  16. Melvine

    Katoliki Kanisa Imara sijapata kuona

    I admire Catholic's level of being unbothered. You'll criticize their religion, they will listen for u to finish. They go to church...they eat their sacrament, they pass by their locals, catch a bottle of their favourite beer and go home. They don't even waste their energy defending their...
  17. THE BIG SHOW

    Nyerere: Wakati tunapigania uhuru wa nchi hii kanisa katoliki lilinitenga

    Friends and Our Enemies, Katika hotuba yake mashuhuri ya mwaka 1985 ambayo hivi sasa imeachwa kuwekwa katika mfululizo wa hotuba za Mwalim Nyerere amekuwa anakiri kwa kinywa chake namna gani ambavyo kanisa katoliki lilimtenga kiasi cha kufikia kuacha au kuachishwa kazi ya ualimu pugu sekondari...
  18. The Dictator

    Tukisikia kanisa katoliki limehujumiwa kwa namna yoyote ile au viongozi wao kudhuriwa; tunajua tatizo liko wapi

    Data zimetunzwa!
  19. M

    PostGE2025 Wahadhiri wa Kiislam: Rais Samia kateua Mawaziri, waislam wangapi? Wamejaa wakatoliki, ndio wanataka vile

    Ustadhi huyu anasema wakatoliki wao wanataka vyeo vikubwa viwe vya wakatoliki, hata Baraza la Mawaziri lililoteuliwa na Rais Samia, waislam ni wachache kama robo, baraza limejaa wakristo ambao wengi ni Wakatoliki ndio wanataka iwe hivyo.
  20. F

    Kanisa Katoliki lilikuwa na lengo la kuleta machafuko nchini DRC

    Katika Historia inaonyesha Kanisa Katoliki ni jadi yao kuchokonoa akiwepo Rais wasiyemtaka au akishinda wasoyemtaka. Hii sio Tanzania au DRC tu. Hata Rwanda mauaji ya 1994 vivyo hivyo. Kanisa Katoliki lilikua na lengo la kuleta machafuko nchini DRC kwa kutaka kumtangaza muumini wao.
Back
Top Bottom