kamari

Kamari (Greek: Καμάρι) is a coastal village on the southeastern part of the Aegean island of Santorini, Greece, in the Cyclades archipelago with a population of approx. 1800 according to the 2001 census. It is part of the
Municipality of Thira and is situated approximately 8 km away from the island's capital Fira. Kamari was built by residents of the nearby village of Episkopi Gonias, which was almost flattened by a devastating earthquake that hit Santorini in July 1956.
The village got its name from a small arch (Greek: Καμάρα, Kamara) that still rises at the south end of its beach and is what remains from an ancient sanctuary dedicated to Poseidon. Today, it stretches along a beach covered with black pebbles,
which is the longest of the island. The beach extends in a northeast to southwest direction from Monolithos to the feet of the Mesa vouno mountain that rises up to a height of approx. 400m, being Santorini's second highest peak. Once an agricultural and fishing village, modern Kamari boasts a thriving tourist industry, offering a wide choice of accommodation, restaurants, cafes, bars and night clubs, plus several water sport activities.
In 2002, an archaic sanctuary dedicated to Achilles was discovered in Kamari.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Kamari kila kona ya nchi, Wachina wanapata wapi vibali?

    Hili ni tatizo linalomea matawi, na linatapakaa kila kona ya nchi. Janga la Kamari (Betting). Kila kona ya jiji la Dar-es-Salaam, Mwanza na Arusha, Mashine za kamari zimewekwa. Majuzi kati nilikuwa Shinyanga vijijini, watoto waodogo umri wa shule wamejazana ndani ya kachumba kadogo wanacheza...
  2. Amina68

    Mkeka umetoa Tsh Milioni 165, utazame hapa, maisha ni kamari pia

    Mkeka wa MIL 165 UMETOA,utazame hapa, maisha ni kamari pia
  3. B

    Vipindi ya redio kugubikwa na matangazo ya kamari ni sawa?

    Hii nchi sasa tunakoelekea mi naona siko! Takriban radio zote zinachezesha kamari na ukifuatilia muda mwingi wa vipindi, niseme tu asilimia kubwa ya muda wao maudhui ni kamari. Je, tunajenga taifa la namna gani? Je, Serikali imeangalia inakuwaje hizi radio zinaruhusiwa kucheza kamari toka...
  4. mpasta

    Mbona sasa hivi matangazo ya kampuni za BETTING yameshamiri sana?

    Hivi karibuni kila redio unayosikiliza hasa hizi za FM KITAA ukiitoa TBC basi lazima ukutane na matangazo ya kupigia debe kamari mpaka inakera. Kwenye simu nako kila wakati zinatumwa meseji za kuhamasisha watu wajiunge na ubashiri... Hivi kama Taifa tumeshajiandaa na madhara yanayokuja na...
  5. Mzalauliwa

    SoC02 Michezo ya kamari inavyoathiri ukuaji wa uchumi kwa vijana

    Kamari ni mchezo wa kubahatisha unaohusisha pesa au kitu kingine chenye thamani kama tuzo kwa mshindi. Tuzo hilo la kubahatisha ndio lengo kuu la mchezo. Sheria za nchi mbalimbali zinatofautiana kuhusu uhalali wake. Asilimia kubwa ya washiriki hasa katika mchezo huo ni vijana ambao wanakuwa...
  6. kALEnga kidamali

    Utitiri wa michezo ya kamari maredioni isipodhibitiwa mapema itatuletea kizazi cha wavivu huko mbeleni

    Ukiachana na ile michezo ya ku bet kwa wahindi na kampuni nyingine kwa njia za mitandao ambayo kwa sasa jamii kubwa ni kama imeelewa na kuondoa ile hali ya kuwa na matumaini makubwa ya kushinda na hivyo kucheza kwa kiasi na tahadhari kubwa na hii imekuja baada ya wengi kupigwa pesa bila kupata...
  7. Mr George Francis

    Katazo la mtoto kucheza kamari

    Michezo yote ya kubahatisha (kamari) ikiwemo betting, slot machines inaendeshwa kwa mujibu wa sheria ya Michezo ya Kubahatisha namba 4 ya mwaka 2003 sura ya 41 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2019. Lakini, ifahamike kwamba mtoto haruhusiwi kucheza kamari ya aina yoyote. Mtu yeyote atakaye...
  8. Kinoamiguu

    Matangazo ya Kamari kwenye radio zetu: Waziri mwenye dhamana chukua hatua

    Habari za muda wadau. Mimi ni mdau na msikilizaji wa hizi radio za masafa marefu fm radios Nasikiliza baadhi ya vipindi kwani vipindi vyao vingi havina maudhui niyapendayo ya habari. Utafiti wangu nimegundua kwamba katika vipindi hivi vichache ninavyosikiliza matangazo ya KAMARI NI MENGI SANA...
  9. data

    Taifa limekuwa la kamari. Kila kona kila mahali kamari. Watu wanaibiwa pesa zao

    Naanza na swali, Je ! Hivi ni sahihi!? Radioni, TV , Simu, Michezoni, Mpira(kubeti) ni kamari tupuu. Hivi ni sawa!!? Na je hii michezo haramu haina age restriction!? Hivi ni nini kinaendelea nchini. Yani hapa nimewasha Radio huyu mtangazaji anavyohimiza watu wacheze hiyo buku ni hatari, yani...
  10. Analogia Malenga

    Kaunti ya Nairobi yaandaa Muswada wa kufanya michezo ya kamari isichezwe nje ya hoteli za nyota tano na casino

    Kenya inaandaa muswada wa Sheria wa kufanya michezo ya kubeti na kamari ziwe zinachezwa kwenye hoteli zenye hadhi ya nyota tano na casino tu. Muda wa kucheza michezo hiyo ikiwa nis aa mbili usiku hadi saa 12 alfajiri Muswada umependekeza Kampuni za Mawasiliano kuondoa USSD codes ambazo...
  11. T

    Jinsi kamari (betting) ilivyonipotezea shilingi laki 6 ndani ya siku 60 tu

    Ahlan wa sahlan. Leo naomba niongelee experience yangu fupi katika betting (Kamari). Binafsi, mimi ni mmoja wa watu waliokuwa wanaipinga sana michezo ya Kamari, maarufu kama betting. Ila kutokana na upweke (boredom) pamoja na udadisi (curiosity) wa kutaka kujua nini kipo nyuma ya michezo hii...
  12. T

    Tume ya Taifa ya michezo ya kubahatisha inashindwa kudhibiti wizi wa makampuni ya kamari .

    Ahlan wa sahlan Kama uzi unavyojieleza ,moja kwa moja nailenga tume ya taifa ya michezo ya bahati nasibu.Tunafahamu kuwa makampuni ya kamari yanalipa kodi kubwa kwa serikali ndio maana yanapewa vibali kuendesha shughuli zao za kinyonyaji. Mada yangu inalenga zaidi katika online casino games...
  13. T

    Uchezaji wa kamari chanzo kikubwa cha shinikizo na mashambulizi ya moyo

    Ahlan wa sahlan Nikiwa kama Ex-mkamaria kuanzia sasa, ninelifanyia uchunguzi suala hili na kugundua kuwa Kamari ni jambo linaloweza kumpelekea mchezaji kupata shambulizi la moyo la ghafla. Kwa mchezaji kamari yoyote naomba ajiangalie hali yake ya mapigo ya moyo pindi anapobeti mpaka pale...
  14. T

    Jinsi gani tatizo la Uraibu wa Kamari limeharibu maisha yako upande wa kijamii, kiimani na kiuchumi?

    Tatizo la uraibu (addiction) wa kamari linaendelea kukua siku baada ya siku kwa vijana wengi wa Kiafrika hususani Tanzania. Makampuni ya kamari yanakimbilia sana katika mataifa ya kiafrika ambako umaskini umetamalaki kuja kuwekeza huku wakilenda soko lao kubwa kuwa ni vijana.Vijana ambao wana...
  15. M

    Serikali ifanye operesheni ya mashine bubu za kamari mitaani, Wachina wanahujumu uchumi

    Jana nilipita maeneo ya Kigamboni, nikaingia uchochoroni sehemu moja karibu na msikiti wa Feri upande wa Kigamboni nikaona mashine moja ya Kamari uchochoroni kabisa, katika kibanda kisicho na hadhi hata kidogo, kimefichwa ndanindani. Mchina mmoja akaifungua, akatoa machenji kibao ya shilingi...
  16. blogger

    Vodacom wameingia kwenye kamari ya wizi na soka letu. Achení wizi

    Nimejitoa mara nyingi kwenye huduma yenu hii ya soka letu. Na wala sikumbuki kuwahi kujiunga k ***** zenu. Kila nkijitoa mnanirudisha . Nikiweka pesa automatically inakatwa. Acheni upumbavu huu wapumbavu nyinyi. Nimechoka. Hakuna swali lolote nlijibu m k ndu nyie. Nrudishieni pesa yangu.
  17. Malaika Gabrieli

    Sitosahau siku niliyotishiwa bunduki na baba!

    Ilikuwa hivi. Muda mrefu sana yapata miaka 10 na ushee. Hiyo siku nilikuwa nacheza pool table mtaani, huo mchezo unaitwa "shamkware." Ni kamari na una majina mengi sana huo mchezo, pia mnaweza cheza watu wawili na zaidi. Katika kucheza na kupiga mahesabu makali mwisho wa game mshindi nlikuwa...
  18. L

    Hii imekaaje? Clouds Radio na EFM kuendesha kamari katika vipindi vyao?

    Kumekuwa na tabia watangazaji wa vipindi vya redio Clouds na E.fm kuchezesha kamari katika kila vipindi. Kwa nyakati tofauti watangazaji hao wamekuwa wanawashawishi wasikilizaji wao wawe mamilionea kwa kuwaambia watume pesa kwa namba wanazozitaja huku wakitaja dau. Mwisho wa vipindi huwapigia...
  19. Samia atosha tukutane2030

    Kwenye madini na kamari(casino) ukienda na malengo hufanikiwi

    Habari, Hivi unajua kuwa ukienda Machimbo madogo ya dhahabu au madini ya vito unatakiwa kuweka uchu wa mafanikio mbali? Malengo yoyote hupaswi kuweka. Nenda machimbo fanya kazi kama kazi wala kichwani usijijazie mimali. Hii kanuni pia iko kwenye macasino. Ukicheza casino huku unapigia hesabu...
  20. Kibosho1

    Uraibu wa Kamari: Soma kisa hiki alafu jiweke nafasi mzazi wa huyo binti. Ungefanya nini?

    Kama mwanao kaganya hivyo ungechukua hatua gani? Ungeuza nyumba ili umlipie madeni yake? Au ungeacha ajiue tu kama alishapanga? Uhai haununuliki lakini binafsi ni mtihani usio na majibu Nimekiona BBC Swahili Full story 👇👇 --- Uraibu wa Kamari: Namna gani unaweza kupambana na uraibu wa kamari...
Back
Top Bottom