Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,013
Habari za muda wadau.
Mimi ni mdau na msikilizaji wa hizi radio za masafa marefu fm radios
Nasikiliza baadhi ya vipindi kwani vipindi vyao vingi havina maudhui niyapendayo ya habari.
Utafiti wangu nimegundua kwamba katika vipindi hivi vichache ninavyosikiliza matangazo ya KAMARI NI MENGI SANA SANA.
Matangazo yenye sifa kama yale ya tatu mzuka yameongezeka sana.
mfano radio wasafi kile kipindi cha michezo ni kamari tuu mwanzo mwisho
Radio one mpaka saa saba usiku.
kama taifa hali haiwezi kuachwa hivi kwasababu
1. Kamari itawazuia watu kutofanya kazi kwa bidii, wataamini pesa ni lelemama.
2. Kuhamasisha wizi nk
Kwakuwa radio hizi husikilizwa na makundi yote katika jamii, uwekwe utaratibu ili kulinda jamii hasa watoto wasiamini kwamba maisha ni kubeti tu na kuacha kuamini kwenye kazi.
Waziri mwenye dhamana hili lipo ndani yako.
Tulishaliweza huko nyuma na sasa tuweze tena
Asante
Mimi ni mdau na msikilizaji wa hizi radio za masafa marefu fm radios
Nasikiliza baadhi ya vipindi kwani vipindi vyao vingi havina maudhui niyapendayo ya habari.
Utafiti wangu nimegundua kwamba katika vipindi hivi vichache ninavyosikiliza matangazo ya KAMARI NI MENGI SANA SANA.
Matangazo yenye sifa kama yale ya tatu mzuka yameongezeka sana.
mfano radio wasafi kile kipindi cha michezo ni kamari tuu mwanzo mwisho
Radio one mpaka saa saba usiku.
kama taifa hali haiwezi kuachwa hivi kwasababu
1. Kamari itawazuia watu kutofanya kazi kwa bidii, wataamini pesa ni lelemama.
2. Kuhamasisha wizi nk
Kwakuwa radio hizi husikilizwa na makundi yote katika jamii, uwekwe utaratibu ili kulinda jamii hasa watoto wasiamini kwamba maisha ni kubeti tu na kuacha kuamini kwenye kazi.
Waziri mwenye dhamana hili lipo ndani yako.
Tulishaliweza huko nyuma na sasa tuweze tena
Asante