kahama

Kahama is a town in north-western Tanzania. The town serves as the headquarters of Kahama Urban District.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania RC Mboni Mhita: Shinyanga na Kahama zimekusanya TZS 540bn kutoka kwenye madini

    TUWE WA KWELI, HIVI NI NANI ANGEWEZA HAYA? Katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia kuanzia Machi 2021 hadi Aprili 2025, Mikoa ya Shinyanga na Kahama ambayo ni Mikoa ya kimadini imeweza kukusanya jumla ya Shilingi bilioni 540.17. Kwa mwaka wa fedha 2024/2025 hadi kufikia Aprili 2025...
  2. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenge wa uhuru kutembelea miradi yenye thamani ya zaidi bilioni 6.4 manispaa ya Kahama 2025

    Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, inatarajiwa kuupokea Mwenge wa Uhuru kimkoa Agosti 3, 2025 ukitokea mkoani Tabora, na kuanza kukimbizwa siku hiyo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kahama. Mwenge wa Uhuru 2025 utapokelewa katika viwanja vya kituo cha mabasi Kagongwa ukitokea...
  3. E

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais TLS ampigia chapuo Nkuba Ubunge Kahama Mjini

    Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amewaomaba wananchi wa Kahama Mjini kumchagua Sweetbert Nkuba aliyewania kugombea ubunge endapo atapitishwa na chama chake cha CCM. Wakili Mwabukusi ameandika katika ukurasa wake wa Facebook baada ya Nkuba kumtembelea ofisini...
  4. Mdau jf

    JamiiForums Tanzania Yanayosimuliwa Kahama ndivyo yalivyo au wanaupaisha tu huo mji wa Wasukuma!

    Mijadala ya sifa na mapambio imeku mingi sana huku mitandaoni kuhusu Kahama, je yanayo ongelewa Yanauhalisia kweli?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kwa mnaoifahamu kahama hasahasa migodini muongozo unahitajika

    Niko njiani kuanza safari kuelekea Kahama baada ya kukosa muelekeo na mtaji nilionao ni nauli tu.
  6. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Kahama :Vijana wanne wasiojulikana majina yao wala makazi wameuwawa kwa kupigwa na kisha kuchomwa moto

    Vijana wanne wasiojulikana majina yao wala makazi wameuwawa kwa kupigwa na kisha kuchomwa moto na watu wenye hasira kali katika Mtaa na Kata ya Mhongolo Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya uhalifu na kupora watu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, SACP...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Baraza la Wazazi CCM, Kahama: Midoli inadhalilisha Wanawake, inachochea mmonyoko wa maadili katika Jamii

    Baraza la Wazazi la Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limeishauri Serikali kutoa mwongozo wa namna bora ya matangazo ya biashara za nguo za ndani za wanawake kwa kutumia midoli ambayo imetajwa kuchochea mmonyoko wa maadili katika Jamii. Ushauri huo umetolewa na Baadhi...
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Nimeenda mitaa kadhaa hapa kahama ukifika kijiweni wee sema tu CCM HAINA USHAWISHI TENA Kisha Endelea kunywa kahawa Yako.

    Ni dhahiri kabisa ccm watu hawapendi hata kidogo kabisa wiki iliyopita nilikuwa geita basi nilikuwa nikifika kijiweni natupia tu Ccm Haina mashiko/ushawishi kabisa Kwa Sasa halafu natulia kuskilizia....mada ilikuwa inadakwa juujuu na inakuwa ya moto kweli.... Japo kwenye kundi la mamba kenge...
  9. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote ya kufanya nipo wilaya ya kahama mjini

    Mimi ni kijana wa miaka 22 ,natokea wilayani kahama , natafuta kazi yoyote ile ya kufanya kwa anaye hitaji mfanyakazi au connection ya kazi mimi nipo tayari kufanya , namba zangu ni 0715308721
  10. N

    JamiiForums Tanzania Chadema yazidi kung'ara kanda ya ziwa, yahitimisha mikutano yake kwa kishindo kikubwa mjini Kahama

    Chadema kwa sasa ndio habari ya nchi.
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Polisi Kahama wadaiwa kazuia maandalizi ya Mkutano wa CHADEMA, wadai eneo limebadilishwa

    Baada ya mvutano kati ya Polisi na CHADEMA, hatimaye imekubalika kuwa mkutano wa chama utafanyika katika eneo lililokusudiwa. Awali, Polisi walifika na kuzuia maandalizi yaliyokuwa yakiendelea kwa maelezo kwamba eneo hilo limebadilishwa, licha ya kuwa jukwaa na mfumo wa sauti (PA System)...
  12. J

    JamiiForums Tanzania KERO Taneco Kahama Mtaua Watu

    Habari za mida hii wanajf? Napenda Leo nilete tatizo ambalo limekua kwa kipindi sasa na TANESCO hamna action walioi-take. Mimi no mkazi wa Kahama Municipal, Ukiwa Shunu kuja huku Hongwa Tanesco wamezidisha kero na hatari kwa wakazi wa eneo hili. Toka waweke nguzo na nyaya zipo chini nawakati...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Jerry Spare Kahama Garage – Suluhisho la Magari Yako Hapa Kahama

    Jerry Spare Kahama Garage ni kituo cha kisasa cha matengenezo ya magari na mauzo ya vipuri halisi, kilichoanzishwa kwa lengo la kutoa huduma bora na za kuaminika kwa wamiliki wa magari mkoani Shinyanga, hasa katika mji wa Kahama na maeneo ya jirani. Ikiwa unahitaji kutunza gari lako liwe katika...
  14. IsaacMG

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi wa kuuza Duka la electronics anahitajika Kahama mjini

    Habari wadau. Nahitaji binti mwenye uzoefu na KAZI ya kuuza VIFAA VYA ELECTRONICS. ENEO LA kazi ni Kahama. Sifa Umri kuanzia 18 _ 30 Ajue kusoma na kuandika Awe na mdhamini mwenye Mali isiyohamishika. Awe mwaminifu. Awe mchangamfu na mwenye kauli nzuri Kwa wateja. Mshahara maelewano Mwenye...
  15. IsaacMG

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Duka la vifaa vya electronics linauzwa Kahama mjini

    DUKA LA VIFAA VYA ELECTRONICS LINAUZWA KAHAMA. LINA TV, SOUNDBAR,SABUFA, PRESSURE COOKER, RICE COOKER BLENDER,HITA ZA KUCHEMSHIA MAJI PAMOJA NA PASI. LIKO SEHEMU YENYE MZUNGUKO WA BIASHARA, KODI YA FREMU NI LAKI MOJA. LENGO LA KUUZA NI KUHAMA MKOA KIKAZI. KWA MWENYE NIA NA BIASHARA HII...
  16. No SQL

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale KIWANJA KINAUZWA KAHAMA (1730 SQM) KIPO NYASUBI CHINI YA ROCKEN HILL PRIMARY

    Hope all is well oooh.. Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu... Kiwanja kina; -Hati -Maji - Umeme -Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo PRICE : 80M Kama upo interested nichek inbox nikupe namba ya owner mtaongea. Maboss wa JF karibuni, lakini mnikumbuke kidogo kijana wenu.
  17. No SQL

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale KIWANJA KINAUZWA KAHAMA (1730 SQM) KIPO NYASUBI CHINI YA ROCKEN HILL PRIMARY

    Hope all is well oooh.. Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu... Kiwanja kina; -Hati -Maji - Umeme -Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo PRICE : 80M Kama upo interested nichek inbox nikupe namba ya owner mtaongea. Maboss wa JF karibuni, lakini mnikumbuke kidogo kijana wenu.
  18. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote nipo kahama

    Habari wana jf , mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nipo kahama mjini elimu yangu ni kidato cha nne , natafuta kazi yoyote ile ya kufanya . namba yangu ni 0715308721
  19. mike2k

    JamiiForums Tanzania Kahama sins: dhahabu ya damu

    KAHAMA: ARDHI ILIYOLAANIWA NA DHAMBI Katika jiji lenye utajiri wa madini lakini limejaa giza la vita na usaliti—Kahama—shule ya kifahari inasimama katikati ya machafuko, ikificha ajenda kubwa inayovuka mipaka ya kitaaluma. "Dhambi za Kahama: Ardhi Iliyolaaniwa na Dhambi" ni hadithi ya siri...
  20. LordMasele III

    JamiiForums Tanzania Site ya biashara Kahama

    Khabari wakuu! Nipo Kahama mjini natafuta site iliyochangamka Nataka nifungue duka la viatu. Yeyote mwenyeji wa Kahama anaefahamu site nzuri naomba anisaidie ili niweze kupata. Nawasilisha wakuu
Back
Top Bottom