kahama

Kahama is a town in north-western Tanzania. The town serves as the headquarters of Kahama Urban District.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Chadema yazidi kung'ara kanda ya ziwa, yahitimisha mikutano yake kwa kishindo kikubwa mjini Kahama

    Chadema kwa sasa ndio habari ya nchi.
  2. Waufukweni

    PreGE2025 Polisi Kahama wadaiwa kazuia maandalizi ya Mkutano wa CHADEMA, wadai eneo limebadilishwa

    Baada ya mvutano kati ya Polisi na CHADEMA, hatimaye imekubalika kuwa mkutano wa chama utafanyika katika eneo lililokusudiwa. Awali, Polisi walifika na kuzuia maandalizi yaliyokuwa yakiendelea kwa maelezo kwamba eneo hilo limebadilishwa, licha ya kuwa jukwaa na mfumo wa sauti (PA System)...
  3. J

    KERO Taneco Kahama Mtaua Watu

    Habari za mida hii wanajf? Napenda Leo nilete tatizo ambalo limekua kwa kipindi sasa na TANESCO hamna action walioi-take. Mimi no mkazi wa Kahama Municipal, Ukiwa Shunu kuja huku Hongwa Tanesco wamezidisha kero na hatari kwa wakazi wa eneo hili. Toka waweke nguzo na nyaya zipo chini nawakati...
  4. M

    Jerry Spare Kahama Garage – Suluhisho la Magari Yako Hapa Kahama

    Jerry Spare Kahama Garage ni kituo cha kisasa cha matengenezo ya magari na mauzo ya vipuri halisi, kilichoanzishwa kwa lengo la kutoa huduma bora na za kuaminika kwa wamiliki wa magari mkoani Shinyanga, hasa katika mji wa Kahama na maeneo ya jirani. Ikiwa unahitaji kutunza gari lako liwe katika...
  5. IsaacMG

    Mfanyakazi wa kuuza Duka la electronics anahitajika Kahama mjini

    Habari wadau. Nahitaji binti mwenye uzoefu na KAZI ya kuuza VIFAA VYA ELECTRONICS. ENEO LA kazi ni Kahama. Sifa Umri kuanzia 18 _ 30 Ajue kusoma na kuandika Awe na mdhamini mwenye Mali isiyohamishika. Awe mwaminifu. Awe mchangamfu na mwenye kauli nzuri Kwa wateja. Mshahara maelewano Mwenye...
  6. IsaacMG

    INAUZWA Duka la vifaa vya electronics linauzwa Kahama mjini

    DUKA LA VIFAA VYA ELECTRONICS LINAUZWA KAHAMA. LINA TV, SOUNDBAR,SABUFA, PRESSURE COOKER, RICE COOKER BLENDER,HITA ZA KUCHEMSHIA MAJI PAMOJA NA PASI. LIKO SEHEMU YENYE MZUNGUKO WA BIASHARA, KODI YA FREMU NI LAKI MOJA. LENGO LA KUUZA NI KUHAMA MKOA KIKAZI. KWA MWENYE NIA NA BIASHARA HII...
  7. No SQL

    Plot4Sale KIWANJA KINAUZWA KAHAMA (1730 SQM) KIPO NYASUBI CHINI YA ROCKEN HILL PRIMARY

    Hope all is well oooh.. Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu... Kiwanja kina; -Hati -Maji - Umeme -Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo PRICE : 80M Kama upo interested nichek inbox nikupe namba ya owner mtaongea. Maboss wa JF karibuni, lakini mnikumbuke kidogo kijana wenu.
  8. No SQL

    Plot4Sale KIWANJA KINAUZWA KAHAMA (1730 SQM) KIPO NYASUBI CHINI YA ROCKEN HILL PRIMARY

    Hope all is well oooh.. Tafadhali, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu... Kiwanja kina; -Hati -Maji - Umeme -Nyumba (ya zaman ) anaish anaelinda eneo PRICE : 80M Kama upo interested nichek inbox nikupe namba ya owner mtaongea. Maboss wa JF karibuni, lakini mnikumbuke kidogo kijana wenu.
  9. jamaikatz

    Natafuta kazi yoyote nipo kahama

    Habari wana jf , mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nipo kahama mjini elimu yangu ni kidato cha nne , natafuta kazi yoyote ile ya kufanya . namba yangu ni 0715308721
  10. mike2k

    Kahama sins: dhahabu ya damu

    KAHAMA: ARDHI ILIYOLAANIWA NA DHAMBI Katika jiji lenye utajiri wa madini lakini limejaa giza la vita na usaliti—Kahama—shule ya kifahari inasimama katikati ya machafuko, ikificha ajenda kubwa inayovuka mipaka ya kitaaluma. "Dhambi za Kahama: Ardhi Iliyolaaniwa na Dhambi" ni hadithi ya siri...
  11. LordMasele III

    Site ya biashara Kahama

    Khabari wakuu! Nipo Kahama mjini natafuta site iliyochangamka Nataka nifungue duka la viatu. Yeyote mwenyeji wa Kahama anaefahamu site nzuri naomba anisaidie ili niweze kupata. Nawasilisha wakuu
  12. N

    Naombeni kazi Elimu yangu ni degree ya project planning

    Nipo kahama ni binti wa miaka 27 ,Elimu yangu ni degree ya project planning lakini nikipata kazi yoyote halali nitaweza kufanya nashukuru.
  13. Determinantor

    Stand za Mabasi Kahama Mjini ni AIBU ya Taifa kwa niaba ya CCM

    Nina week nzima hapa Kahama, nimezunguka maeneo kadhaaa, ni AIBU kwa eneo kama hili lenye mapato makubwa kushindwa kabisa kujenga stand hata moja yenye hadhi. Inayoitwa stand kuu ni kama zizi la kitimoto, Yaani Mvua kidogo pamejaa tope, Wana Choo ni kichafu na Huduma suni, Yaani unakutana na...
  14. Roving Journalist

    PreGE2025 Leseni 1356 za madini zatolewa Kahama, Wachimbaji wahamasika kuachana na Zebaki

    JUMLA ya leseni 1356 zimetolewa katika halmashauri tatu za Mkoa wa Kimadini Kahama ambazo ni Ushetu, Msalala na Kahama huku wazawa na wawekezaji kutoka nje wakitakiwa kuchangamkia fursa zilizopo mkoani humo. Akizungumza Afisa Madini Mkazi wa Kahama Leons Welengeile amesema, leseni za utafutaji...
  15. Fbn

    DOKEZO Kahama ni inasifika kimapato ila maendeleo ya mapato ni kama yapo shinyanga

    wilaya ya kahama kuwa na vyanzo vya mapato na madini lakini kama naona makao makuu ya mkoa yana lazimisha shinyanga kuwa yenye kila kitu kizuri kuanzia barabara za ndani mataa ya barabara wakati kumejaa baiskeli nyingi. Kwa nini kahama ilikataliwa kuwa mkoa au kupewa hadhi ambayo bila magufuri...
  16. Just Pray

    DAS Kahama: Wanawake acheni mikopo ya kausha damu chukueni mikopo ya Samia

    Wanawake wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga wametakiwa kuchangamkia fursa mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na halmashauri bila riba na kuachana na mikopo umiza. Rai hiyo nimetolewa na Katibu tawala wa Wilaya hiyo Glory Absalum ambaye alikuwa mgeni rasmi kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mboni...
  17. Blasio Kachuchu

    Dkt. Doto Biteko awapongeza Benki ya Exim Kuzindua Tawi Wilayani Kahama

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko (wa tatu kutoka kulia), akiwa katika uzinduzi Rasmi wa tawi la benki ya Exim Tanzania wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kulia kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Exim Bank, Bw. Jaffari Matundu wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi...
  18. Torra Siabba

    KERO Serikali iziangalie Barabara za Kahama, mashimo-mashimo ni mengi na inakera kutumia

    Sisi Wakazi wa Kahama kiukweli tunayo kero ya barabara kutokuwa na ubora mzuri hali ambayo imekuwa ikitupa shida kwenye kutekeleza majukumu yetu. Barabara za mjini takribani kote ni changamoto, mashimo mashimo kila kona jambo ambalo linahatarisha usalama wa vyombo vyetu kuharibika mara kwa...
  19. kadeti

    Mbona Mji wa Kahama una guest house nyingi hivi ..?

    Jamani mji wa kahama una lodge na Guests house nyingi Sana...kulikoni .. Ndo kusema ni mji wa kibiashara Sana kuliko mji wowote Kanda ya Ziwa... Na madada powa nao hawako nyuma ni wengi wa kutosha ukicheza vibaya umeondoka nao...na hivi Trump anaenda kukomesha mchakato wa Msaada wa ARV kupitia...
  20. kadeti

    Barabara za Kahama mjini haziendani na Kasi ya ukuaji wa mji

    Nimetembelea kahama Leo takribani siku ya Tano mfululizo mita Kwa mitaa naona jinsi biashara zilivyoshamiri, Kahama Kuna pool kubwa Sana ya walipa Kodi kiasi kwamba naona TRA kana kwamba hawawezi kuwafikia wote. Kwa ujumla mji wa Kahama umechangamka Sana kibiashara kila angle zote za mji, Kati...
Back
Top Bottom