jukwaani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kalpana

    Haya andika jina lako la hapa jukwaani kwa Kijapan

    Tunaanza na mimi MEKATANOKATOKA Haya twende kazi....lazima tukutane na matusi...
  2. Mr Why

    Wanaijeria waanza upya kurusha madongo kwa Burna Boy wakidhihaki muondoko wake tata alipokuwa jukwaani

    Wanaijeria waanza upya kurusha madongo kwa Burna Boy wakidhihaki muondoko wake tata akiwa jukwaani Wanaijeria wamedai kuwa muondoko wake akiwa stejini unafanana na wa G*Y huku wakidai shutuma zake juu ya P Diddy zilikuwa za kweli na wala hawahisi kama walimuonea Wengine wamedai mtu akishakuwa...
  3. A

    Mbowe; Mchezaji mzuri asiyejua muda sahihi wa kuondoka jukwaani?

    UTANGULIZI Katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi mkuu, tumeshuhudia purukushani, vuta nikuvute ya ugombezi wa nafasi mbalimbali za kisiasa katika vyama, hasa vyama vya Upinzani. Zoezi hili, liliambatana na uchaguzi wa Serikali za mitaa, Vitongoji na Vijiji, pamoja na Wajumbe, ambapo CCM...
  4. Waufukweni

    LGE2024 Mbunge Ritta Kabati apiga magoti jukwaani akimwaga sera kwenye Kampeni kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa Iringa

    Wakuu Kumeanza kuchangamka huko kwenye Kampeni
  5. Mngoni asiyepiga gambe

    Upi mtazamo wako kukithiri kwa mada zinazochochea chuki za kidini jukwaani

    Nikiri sina miaka mingi sana humu jukwaani ila nilichogundua ni kukithiri kwa mada zinazochochea chuki za kidin kwa kukejeli imani zingine kwa namna moja au nyingine binafsi ni muumin mzuri wa dini yangu japo nina cycle ya watu wengi ambao si wa imani yangu naishi nao vzr na tuna bond nzuri sana...
  6. KING MIDAS

    JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

    Masanilo a.k.a Rev. Masanilo BAK a.k.a Bubu Ataka Kusema klorokwini kwinini Numbisa Nazjaz mfuga majoka Jemima Mrembo Sumbalawinyo @kidukulilo Bill Lugano a.k.a tajiri litutumbwe Hebu ongeza wengine
  7. D

    BASATA yalaani vitendo alivyofanyiwa msanii Zuchu jukwaani

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelaani vikali kitendo alichofanyiwa Mwimbaji wa Bongo Flava, Zuhura Othman Soud cha Mashabiki kumtupia vitu jukwani katika Tamasha la Wasafi Festival lililofanyika Septemba 28, 2024 Mkoani Mbeya. Katika taarifa yake kwa Umma, BASATA imetoa rai kwa Wadau wa...
  8. D

    Kushushwa jukwaani kwa msanii akiwa anatumbuiza

    Ni vipi wandugu,niende moja kwa Moja kwenye mada.Juzi kati tumeshuhudia msanii akishushwa jukwaani punde tu baada ya kuanza kuiburudisha hadhira yake.Hili linaleta taswira flani yenye sintofahamu .Cha kujiuliza ni kwamba Je msanii aweza akawa amewakwaza hadhira au hadhira wamejawa tu na stress...
  9. Mhafidhina07

    kwa anaejua watanzania wanataka nini naomba munambia hapa jukwaani.

    naona wabongo vichwa vyetu ni sifuri hatujali kuhusu maisha ya baadae na kizazi chetu,what we look for enternment simba yanga,mabishano ya kiimani na kisiasa,vichekesho na kudanganywa sioni watu wakichukulia serious mambo ya siasa na maisha yao.
  10. J

    Nimerudi Jukwaani Ndugu Zangu

    Salaam kwa Wanajukwaa..baada ya pilika pilika na changamoto za hapa na pale nimerejea Jukwaani.Namshukuru Mungu Kwa Uhai..Sasa nitaweza kusoma na Kuchangia hoja
  11. M

    Namuona Damas Ndumbaro jukwaani. Ila sijaona mchezaji mwenye uwezo binafsi kama Sanifu Lazaro Tingisha.

    Kimbiza , finya, mwaga jalo. Kwa ufupi hatuna timu na wachezaji kama miala ya ile.
  12. Mr-Njombe

    Hodi humu jukwaani

    Natumai Amani na utulivu vimetawala katika familia hii. Katika ugeni wangu, naomba kujiunga nanyi, nami niwe sehemu katika platfom hii muhimu. Asante. Naomba kuwasilisha.
  13. T

    Jina lako hapa Jukwaani lina maana gani?

    Wakuu habari zenu?... Moja kwa moja kwenye mada. Hebu tufunguke hapa majina yetu yakificho hapa jukwaani Yana maana gani. Mimi jina langu TANO BORA nikwasababu siku najisajili Jamiiforum ndo siku ambayo chama cha mapinduzi,CCM kilitoa majina ya mchujo kupata TANO Bora ya mgombea uraisi mwaka...
  14. C

    Tatiana ananichanganya sana, hivi yuko wapi? Jukwaani haonekani

    Wakuu, Hivi huyu member wakuitwa Tatiana yuko wapi? Niwahi kua napenda michango yake na alikua decent kupita maelezo. Hapatikani na najaribu kuangalia ni kama hayuko active. Wanaomfahamu wampelekee taarifa zangu kua namtafuta sana. Nahitaji kuongea naye na kumtakia heri kwenye harakati zake.
  15. JoJiPoJi

    TANZIA Malu Stonch (Nuhu) afariki Dunia. Alikuwa akitumbuiza jukwaani

    Mwimbaji nyota wa FM Academia, Malu Stonch amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla jukwaani. Hali hiyo imetokea katika ukumbi wa Target Mbezi, Beach, Jumamosi usiku wakati mwimbaji huyo akiwa jukwaani anaimba wimbo wa "Hadija". Inaelezwa kuwa wakati anaimba wimbo huyo, Malu Stonch...
  16. E

    Nini sababu/chanzo/lengo la kutumia ID/ avatar unayotumia hapa jukwaani?

    Itifaki imezingatiwa, Wakuu, binafsi chanzo cha kutumia id-enter passcode ni shemeji/wifi/mtoto/mjukuu wenu, simu niliijaza pass words mpaka akitaka kufungua app yoyote inamdai aingize codes, Baada ya kukuta na camera ya simu inamuhitaji code, alishindwa kujifotoa na kunipa jina zuri kama hili...
  17. R

    Rais akikusifia jukwaani kama mteule wake jitafakari

    Kwa namna Mhe. Rais anavyowatumbua wale aliowasifia siku chache tu baada ya kuwasifia natoa rai wa wateule wa Mhe. Rais kijitafakari. Tarehe 4/4/2024 wakati anaapisha viongozi wapya atamsifia mmoja baada ya mwingine; niwaombe mzitafakari hizo sifa. Atasema amewapeleka kimkakati ila jitafakarini...
  18. P

    Ni ushahidi wa wazi juu ya kuwepo kwa wizi na ubadhirifu mkubwa unaoendelea katika Taifa letu

    Shalom in advance wakuu. Ni ushahidi wa wazi juu ya kuwepo kwa wizi na ubadhirifu mkubwa unao endelea katika taifa letu, pesa za walipa Kodi maskini zina nufaisha watu wachache na familia zao. Kila taasisi hivi sasa inanuka wizi, Kisha tunabaki kulaumiana. Licha ya serikali kuweka Sheria...
  19. GENTAMYCINE

    Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

    Mlichotufanyia kwa Rafiki zenu wa Unafiki wale wa Mbagala hasa Kiushirikina) na Kimafia (Mchezo Mchafu) ndiyo nasi leo tumekifanya / tumelipiza hivyo hivyo. Hamtoamini kwa Kitakachowatokea.
  20. JamiiForums

    Ungependa kiongozi gani aje Jukwaani kutoa majibu na ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayoendelea nchini?

    Habari wadau, Jamiiforums imekuwa sehemu ya wanachama kushiriki kutoa maoni yao, kuelezea kero zao na kupata ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali nchini, nafasi inayowawezesha kufanya maamuzi mkiwa na taarifa sahihi na zenye ubora. Wapo viongozi wachache kama Dkt. Gwajima D ambao wamekuwa...
Back
Top Bottom