Magayor Mongolian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2024
- 1,205
- 2,998
Mzuka wana jamvi ??
Nashangaa sana chuki zimekuwa nyingi kwa Kamanda Rais wa Burkinafaso Captain Ibrahim Traore kutoka kwa Pro_West maarufu humu jukwaani tena chuki za kipuuzi sana.
Tukianza na Hawa ;
Yoda ; huyu ni chawa mkubwa wa Marekani na matendo yake ameshika usukani kwa vinyuzi yake uchwara vingi kumsema Kamanda wetu.
MK254 ; huyu anampiga vita sana humu Mwamba Putin , operation ya Russia Ukraine pamoja na kusapoti Marekani nae amefuata mkumbo katika kumsema Kamanda wetu.
Nyani Ngabu ; huyu ni Mmatumbi mwenzetu lakini anajikuta Mmarekani na kuwa DieHard chawa wa USA na yeye anaendeleza kampeni chafu dhidi yake
Exception
Maghayo The Mongolian Savage ; hili ni chawa la kutupwa la Netanyahu na USA lakini kwa hili la Ibrahim Traore nampongeza kusimama kidete kutetereka Umatumbi na kumsapoti Kamanda wetu mzalendo.
My Take
Captain Ibrahim Traore hajalipa mtu am promote wala awe chawa wake bali kazi na misimamo yake inajiuza ndio maana amekuwa trending Duniani haswa Afrika na kupendwa na vijana wengi , sasa Pro_West kama mmekosa mada achaneni na propaganda dhidi ya Kamanda wetu kazi zipo nyingi hata Magimbi mnaweza mkalima na kuwa mmefanya la maana
#Nyau de adriz
Nashangaa sana chuki zimekuwa nyingi kwa Kamanda Rais wa Burkinafaso Captain Ibrahim Traore kutoka kwa Pro_West maarufu humu jukwaani tena chuki za kipuuzi sana.
Tukianza na Hawa ;
Yoda ; huyu ni chawa mkubwa wa Marekani na matendo yake ameshika usukani kwa vinyuzi yake uchwara vingi kumsema Kamanda wetu.
MK254 ; huyu anampiga vita sana humu Mwamba Putin , operation ya Russia Ukraine pamoja na kusapoti Marekani nae amefuata mkumbo katika kumsema Kamanda wetu.
Nyani Ngabu ; huyu ni Mmatumbi mwenzetu lakini anajikuta Mmarekani na kuwa DieHard chawa wa USA na yeye anaendeleza kampeni chafu dhidi yake
Exception
Maghayo The Mongolian Savage ; hili ni chawa la kutupwa la Netanyahu na USA lakini kwa hili la Ibrahim Traore nampongeza kusimama kidete kutetereka Umatumbi na kumsapoti Kamanda wetu mzalendo.
My Take
Captain Ibrahim Traore hajalipa mtu am promote wala awe chawa wake bali kazi na misimamo yake inajiuza ndio maana amekuwa trending Duniani haswa Afrika na kupendwa na vijana wengi , sasa Pro_West kama mmekosa mada achaneni na propaganda dhidi ya Kamanda wetu kazi zipo nyingi hata Magimbi mnaweza mkalima na kuwa mmefanya la maana
#Nyau de adriz