job

  1. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Imethibitika Uwezo wa Kiuongozi wa Job Ndugai ni Mdogo Sana; Je Alipatikanaje?

    Tazama haya machache; 1. Kumpiga Chilongani mgonbea mwenzie kwenye kura za maoni CCM Kongwa 2015 2. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19 3. Kumrudisha Cecil Mwambe wa CHADEMA ambaye alikuwa amejivua uwanachama mwaka 2020 4. Kuwakumbatia...
  2. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Kwa hali hii; Je, Job anaweza kumuwahi boss wake kwa ile kura ya veto?

    Hali si shwari kwa wanaofuatilia siasa za nchi hii toka camarada Legendary Pombe alipotoweka dunia. Pamoja na kuwa katika wakati mgumu kufuatia kushusha siraha nchini na kuonyesha udhaifu kwenye mhimili mwingine. Kwa nafasi aliyonayo dhidi ya ule muhimili anaousimamia japo tayari yupo under...
  3. Ileje

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

    Kwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kassim Majaliwa: Tuache tabia ya kuwatengenezea viongozi migogoro, unaweza kupambana sana ukitaka ukae ukakuta anakaa mwingine

    Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais, =========== Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani...
  5. MAHANJU

    JamiiForums Tanzania Niwaulize wanaccm wenzangu, kwani Spika Job Ndungai amekosea nini?

    Mimi nashindwa kuelewa sijui hua ni ibilisi gani anatua kwenye chama chetu? Niwaulize tena wanaCCM wenzangu,Spika Job Ndungai amekosea nini kiasi cha kumtolea maneno makali katika kila angle ya nchi? Binafsi sijawahi kumpenda bayana Ndungai kutokana kejeli zake bungeni, sikuwahi kumpenda kwa...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kuna anayefahamu uhalali wa Job Junction?

    Habari wana JamiiForums, Kuna mtu anifahamu hio kampuni "JOB JUNCTION"? Niliona wametuma kazi nikaaply, kufika wananiambia wao ni recruitment agency kazi yao ni kuwaunganisha wanaotafuta kazi na waajiri then ukipata kazi unawapa 30% ya mshahara wa kwanza. Cha kushangaza et wanasema kuna...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania JOB OPPORTUNITIES: The Centre of Excellence in Health Monitoring and Evaluation (COEHME)

    A: Background The Centre of Excellence in Health Monitoring and Evaluation (COEHME) housed in the School of Public Administration and Management (SOPAM at Mzumbe University was established in 2015. The aim of COEHME is to coordinate and implement health monitoring and evaluation activities...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at SFI Tanzania Ltd

    1. Excavator Operator Position: Excavator Operator SFI Tanzania Ltd, an agriculture and forestry investment company based in Korogwe and Handeni districts, Tanga has a vacancy available for a qualified, professional and dynamic Excavator Operator. Job Location: Kwamdulu & Kwaraguru Estate...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Spika Job Ndugai ang'ara Inter -Parliamentary Union (IPU)

    TANZANIA YANG'ARA KIMATAIFA, YAUNGWA MKONO NA NCHI 179 IPU Bunge la Tanzania laing'arisha Afrika kwenye mkutano wa Bunge la Dunia kwa kuwasilisha hoja ya dharura (Emergency Item) Kuhusu usawa (equity) wa upatikanaji wa Chanjo ya Corona kwa Nchi za Afrika iliyoungwa Mkono na Bunge hilo na...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Intern – Legal Affairs, I (Temporary Job Opening) at United Nations/IRMCT

    Org. Setting and Reporting The Office of the Prosecutor of the United Nations International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (“Mechanism”) invites applications for legal internships starting 01 December 2021 in Arusha, Tanzania. The above job opening will be valid for one year and...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu amewahi pata kazi kupitia job junction?

    Hivi kuna mtu amewahi pata kazi kupitia job junction?
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at Tanzania Railways Corporation (TRC)

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.JA.9/259/01/98 15th November, 2021 On behalf of Tanzania Railways Corporation (TRC), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 353 vacant posts as mentioned...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job opportunities at Mlele district council

    MI-ELE DISTRICT COUNCIL Phone :025-2820068District Executive Director Fax.•025-2820068P.O Box 686 Email :ded@mlele.go.tzMpanda -Katavi Website www.mleledc.go.tz In reply please quote; REF: KTV/MLDC/C80/8/98TH Nov 2021 To all citizen Tanzania RE: ADVERTISEMENT OF EMPLOYMENT OPPORTUNITIES...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Wana Simba SC wenzangu tafadhali tumkope Akili Beki Dickson Job na tumpe Mshambuliaji wetu John Boko ili zimsaidie Kiufanisi Uwanjani

    Kama leo ningepewa Furushi la Fimbo za Mianzi au Mipera na kuambiwa nimchague mchezaji wa Taifa Stars aliyenikera ilipocheza na Madagascar na nimchape nazo nina uhakika Mshambuliaji wangu wa Simba SC angezikoga kama siyo Kuzichezea sana. Haiwezekani Beki wa Yanga SC ninayemuhusudu (...
  15. kidadaa

    JamiiForums Tanzania JOB VACANCY

    POST DETAILS. EMPLOYER: CORIS COMPANY LIMITED POST: CASHIER QUALIFICATIONS; Diploma in Accounts or any related field Send your CV and Application letter to; salescoris@gmail.com. Or bring it to our Office Mabibo Hostel near Lake Oil petrol Station.
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Deputy ERM at Plan International

    Deputy ERM Posted Date: 27-Oct-2021 Location: Kibondo, Tanzania Company: Plan International The Organisation Plan International is an independent development and humanitarian organisation that advances children’s rights and equality for girls. We believe in the power and potential of...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at NMB Plc

    1. Senior Software Developer (2 Position(s) Job Purpose: To collaborate with a team of software developers in studying bank operations; designing, build, test and install software solutions or modify/upgrade existing applications; support and develop software to meet key business goals. The...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at CF Builders Limited

    The management of C F BUILDERS LTD Of Mwanza Tanzania, in partnership with TOTAL EAST AFRICA MIDSTREAM B.V. are about to commence the Construction of replacement houses for people affected by the pipeline Project in SINGIDA, KAHAMA, TABORA, GEITA AND KAGERA areas. C F BUILDERS LTD inviting...
  19. Abdalah Abdulrahman

    JamiiForums Tanzania EALA Clerk Job: Uganda greediness, wants to dominate position 30 years

    Until such time, Tanzania and Kenya’s candidates should be endorsed and appointed by this Council for the position.
  20. M

    JamiiForums Tanzania Kwako Beki Dickson Job japo Mimi ni mwana Simba SC, ila kuendelea Kucheza Kwako NBC Tanzania Premier League ni sawa na Kututukana Watanzania

    Tanzania miaka hii ya karibuni tumemtoa Mshambuliaji Hatari kabisa Mbwana Ali Samatta na kiukweli ametutangaza Watanzania ma Kaitangaza vyema Tanzania yetu. Na leo Mightier natabiri hapa hapa kuwa kwa huu Uchezaji mzuri na wa Kiwango cha Juu na cha Kimataifa anachokicheza sasa akiwa Yanga SC na...
Back
Top Bottom