Community Concern of Orphans and Development Association (COCODA) is a non-governmental organization established in 2000. COCODA’s establishment as its name suggests, resulted from intensifying concern among community members in Njombe over the surging number of orphans, mainly consequently to...
Wadau Kuna HR firm inajiita Job junction, ofisi zao zipo Makumbusho.
Wanakusanya CV za vijana then wanawambia walipe pesa kwa ajili ya registration kwa makubaliano kwamba watasambaza CV zenu kwa ajili ya kuwatafutia kazi.
Kwa wanowafahamu hawa jamaa tutiririke inaweza saidia vijana wengine.
Job Ndugai aliyekuwa spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa hatogombea tena nafasi ya ubunge katika Jimbo la Kongwa Dodoma.
Ndugai ameyasema hayo jana katika Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mpwapwa wakati wa ibada ya kuweka wakfu gari ya Pareshi ya Mtakatifu Michael...
Umri miaka 25 muhitimu wa Diploma ya Procurement nimefanya kazi miaka miwil na nusu stationery, secretary, reception pia sales naweza kufanya kazi yoyote.
Emery gordon
Mbeya is a city in southwest Tanzania. It sits at the base of soaring Loleza Peak, between the Mbeya and Poroto mountain ranges. On the town's outskirts is Lake Ngozi, a huge crater lake surrounded by dense forest rich in birdlife. Kitulo Plateau National Park, southeast of the city, is known...
Stella Maris Mtwara University College (STeMMUCo) – A Constituent College of Saint Augustine University of Tanzania is a private higher learning Institution owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision to become a reputable and vibrant higher learning institution responsive to...
Dah namsikiliza kijana Stamina Sharobwenzi sasa hivi clouds fm akiwa anatambulisha team yake ya ndondo cup iitwayo stamina fc anajinasibu kwamba kakipiga sana against Dickson job katika mashindano ya shule za sekondari sasa napata ukakasi mkubwa sana
Huyu jamaa ana miaka 33 ila Job nafikiri...
Habari,
Mimi ni binti wa miaka 24
Nahitaji kazi za online
Ninaishi Dar es Salaam, Mbezi Mwisho
Secretary, Customer service
Nina Diploma ya Communication
Pia Ninajua kuzungumza English
Pia najua kutumia computer na ku-correct grammar kwenye documents yoyote
CMS (Tanzania) Limited is a highly respected mineral exploration drilling company with operations in Tanzania. An industry leader in safety with ambitious growth strategies, we are seeking applications for a dedicated and professional Supply Chain Manager East Africa who would like to join our...
Mchambuzi wa michezo kutoka Wasafi Fm, George Job amesema klabu ya Simba bado haijajiandaa vema katika mechi za mtoano.
Kikosi cha Simba ilkinaweza kupambana vizuri kwenye mechi za makundi ila linapokuja suala la mechi mbili za mtoano hapo ndipo ulipo mtihani kwa Simba SC.
Kwa kauli hiyo ni...
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (kushoto) leo Aprili 13, 2022 amehudhuria kikao cha kwanza cha Bunge tangu kujiuzulu wadhifa huo Januari 6, 2022. Pichani akiteta jambo na Mbunge wa Ushetu, Emmanuel Cherehani.
Chanzo: TBC online
St patrick hill schools invites qualified applicants for english/lit and biology/chemistry .Working hours 7-5 pm.There are two lessons per week 6-7pm and two 6-7 am .Housing provided single rooms .Food provided.Saturday is a working day and Sunday if on duty. Salary 17,000kes gross per month no...
Uongozi wa Bunge umetaja aliko aliyekuwa Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa Mkoani Dodoma, Job Ndugai.
Ndugai hajaonekana katika shughuli rasmi za chombo hicho tangu taarifa za kujiuzulu kwake wadhifa huo zilipotangazwa Januari 6, 2022 kwamba aliandika barua kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha...
Hello JF
Niende kwenye mada straight, ni wakati muafaka Jobo Ndugai aweke hadharani legacy yake ya uspika na ya kibunge huko kongwa sambamba na oanisho la kumnanga ndugu Lissu kuhusu ubunge wake wa miaka10 huko Singida Mashariki kwamba hakuacha legacy yoyote.
Baada ya kuachia kiti cha uspika...
Mimi ni binti wa miaka 22 natafuta kazi part time job, ambayo nitaifanya baada ya kumaliza vipindi vyangu vya chuo na ambayo nitaifanya weekend, Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam na chuo changu Kiko dar es salaam posta.
Tafadhali wanajamiiforums nisaidieni
Closing Date
2022/03/23
Reference Number
CCB220309-7
Job Title
Maintenance Planner
Job Category
Manufacturing
Company
Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type
Permanent
Location - Country
Tanzania
Location - Province
Not Applicable
Location - Town / City
Dar es Salaam
Job...
About the job
Qatar Charity, headquartered in Doha/Qatar is a non-profit, non-governmental organization active in more than 40 countries in Asia, Europe and Africa. The Qatar society was expressing a deep willingness to contribute to the international solidarity chain and to participate in...
1. JOB INFORMATION
Organization: Division: Wassha Inc. Tanzania Branch Operation
Department: Workstation: Engineering Department Dar es salaam, Mwanza, Mbeya and Dodoma
Job Title: Hardware Engineer
Number of Position: 2 (Two)
Reports to: Direct Reports (Subordinates): Hardware Engineering...
Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.
Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.
Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?
Acha tuone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.