job

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Temporary data clerk at COCODA

    Community Concern of Orphans and Development Association (COCODA) is a non-governmental organization established in 2000. COCODA’s establishment as its name suggests, resulted from intensifying concern among community members in Njombe over the surging number of orphans, mainly consequently to...
  2. Dit000

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi Equity Bank

  3. Trubarg

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu HR Firm ya Job Junction na ukusanyaji wake wa CV za watu

    Wadau Kuna HR firm inajiita Job junction, ofisi zao zipo Makumbusho. Wanakusanya CV za vijana then wanawambia walipe pesa kwa ajili ya registration kwa makubaliano kwamba watasambaza CV zenu kwa ajili ya kuwatafutia kazi. Kwa wanowafahamu hawa jamaa tutiririke inaweza saidia vijana wengine.
  4. babu M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Job Ndugai: Sitagombea tena ubunge 2025!

    Job Ndugai aliyekuwa spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa hatogombea tena nafasi ya ubunge katika Jimbo la Kongwa Dodoma. Ndugai ameyasema hayo jana katika Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mpwapwa wakati wa ibada ya kuweka wakfu gari ya Pareshi ya Mtakatifu Michael...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Nina Diploma ya Procurement, natafuta kazi

    Umri miaka 25 muhitimu wa Diploma ya Procurement nimefanya kazi miaka miwil na nusu stationery, secretary, reception pia sales naweza kufanya kazi yoyote. Emery gordon
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania 5 Job Opportunities at Modern Mbeya Highlands Hotel

    Mbeya is a city in southwest Tanzania. It sits at the base of soaring Loleza Peak, between the Mbeya and Poroto mountain ranges. On the town's outskirts is Lake Ngozi, a huge crater lake surrounded by dense forest rich in birdlife. Kitulo Plateau National Park, southeast of the city, is known...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania 11 Job Vacancy at Stella Maris Mtwara University College (STeMMUCo)

    Stella Maris Mtwara University College (STeMMUCo) – A Constituent College of Saint Augustine University of Tanzania is a private higher learning Institution owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision to become a reputable and vibrant higher learning institution responsive to...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Rapper Stamina kazaliwa 1989 ila kacheza soka secondary na Dickson Job

    Dah namsikiliza kijana Stamina Sharobwenzi sasa hivi clouds fm akiwa anatambulisha team yake ya ndondo cup iitwayo stamina fc anajinasibu kwamba kakipiga sana against Dickson job katika mashindano ya shule za sekondari sasa napata ukakasi mkubwa sana Huyu jamaa ana miaka 33 ila Job nafikiri...
  9. Vaselictor

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi/ajira nina Diploma ya Communication

    Habari, Mimi ni binti wa miaka 24 Nahitaji kazi za online Ninaishi Dar es Salaam, Mbezi Mwisho Secretary, Customer service Nina Diploma ya Communication Pia Ninajua kuzungumza English Pia najua kutumia computer na ku-correct grammar kwenye documents yoyote
  10. Ally Msangi

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at CMS Tanzania Limited, April 2022

    CMS (Tanzania) Limited is a highly respected mineral exploration drilling company with operations in Tanzania. An industry leader in safety with ambitious growth strategies, we are seeking applications for a dedicated and professional Supply Chain Manager East Africa who would like to join our...
  11. Area 56

    JamiiForums Tanzania George Job: Simba haiwezi mechi za mtoano

    Mchambuzi wa michezo kutoka Wasafi Fm, George Job amesema klabu ya Simba bado haijajiandaa vema katika mechi za mtoano. Kikosi cha Simba ilkinaweza kupambana vizuri kwenye mechi za makundi ila linapokuja suala la mechi mbili za mtoano hapo ndipo ulipo mtihani kwa Simba SC. Kwa kauli hiyo ni...
  12. BigTall

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Job Ndugai arejea Bungeni leo Aprili 13, 2022

    Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (kushoto) leo Aprili 13, 2022 amehudhuria kikao cha kwanza cha Bunge tangu kujiuzulu wadhifa huo Januari 6, 2022. Pichani akiteta jambo na Mbunge wa Ushetu, Emmanuel Cherehani. Chanzo: TBC online
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Job vacancy in Kenya

    St patrick hill schools invites qualified applicants for english/lit and biology/chemistry .Working hours 7-5 pm.There are two lessons per week 6-7pm and two 6-7 am .Housing provided single rooms .Food provided.Saturday is a working day and Sunday if on duty. Salary 17,000kes gross per month no...
  14. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Bunge laulizwa alipo Job Ndugai, lasema halina taarifa alipo, inawezekana yupo jimboni kwake

    Uongozi wa Bunge umetaja aliko aliyekuwa Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa Mkoani Dodoma, Job Ndugai. Ndugai hajaonekana katika shughuli rasmi za chombo hicho tangu taarifa za kujiuzulu kwake wadhifa huo zilipotangazwa Januari 6, 2022 kwamba aliandika barua kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha...
  15. Kichwamoto

    JamiiForums Tanzania Job Ndugai ulimnanga Lissu; sasa jitokeze utuambie legacy yako ni ipi

    Hello JF Niende kwenye mada straight, ni wakati muafaka Jobo Ndugai aweke hadharani legacy yake ya uspika na ya kibunge huko kongwa sambamba na oanisho la kumnanga ndugu Lissu kuhusu ubunge wake wa miaka10 huko Singida Mashariki kwamba hakuacha legacy yoyote. Baada ya kuachia kiti cha uspika...
  16. Maria Mahega

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi (part time job)

    Mimi ni binti wa miaka 22 natafuta kazi part time job, ambayo nitaifanya baada ya kumaliza vipindi vyangu vya chuo na ambayo nitaifanya weekend, Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam na chuo changu Kiko dar es salaam posta. Tafadhali wanajamiiforums nisaidieni
  17. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Job vacancy: Maintenance Planner at Coca-Cola Kwanza

    Closing Date 2022/03/23 Reference Number CCB220309-7 Job Title Maintenance Planner Job Category Manufacturing Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type Permanent Location - Country Tanzania Location - Province Not Applicable Location - Town / City Dar es Salaam Job...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at Qatar Charity

    About the job Qatar Charity, headquartered in Doha/Qatar is a non-profit, non-governmental organization active in more than 40 countries in Asia, Europe and Africa. The Qatar society was expressing a deep willingness to contribute to the international solidarity chain and to participate in...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job Position(2)- Hardware Engineer at Wassha Inc

    1. JOB INFORMATION Organization: Division: Wassha Inc. Tanzania Branch Operation Department: Workstation: Engineering Department Dar es salaam, Mwanza, Mbeya and Dodoma Job Title: Hardware Engineer Number of Position: 2 (Two) Reports to: Direct Reports (Subordinates): Hardware Engineering...
  20. E

    JamiiForums Tanzania Je, Ndugai ataenda Msibani kwa Malecela?

    Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela. Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana. Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma? Acha tuone.
Back
Top Bottom