Kuishi kwingi ni kuona mengi,nimemuona Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani,akiwa na thamani kubwa kwa jamii,nikamuona Lipumba akiwa CUF,tulikuwa tunaambiwa tukiwa wadogo ni kati ya watu kumi duniani waliyosomea mambo ya uchumi,tukaaminishwa ni mshauli wa rais wa Uganda katika masuala ya...
Mazoea yamekuwa desturi, baada ya kuchangia kwa miaka mingi mifuko hiyo hadi kustaafu sasa wastaafu ndio wana kumbana na adha ya kupewa pesa zao utadhani wanaomba kazi upya.
Kwanza wanacheleweshewa wakati mifumo ya kustaafu inaeleweka mwezi mmoja kabla mtu hajastaafu.
Sasa kesha toka kazini na...
Ushabiki usiokua na mantiki Wala faida yeyote ile kijana upo kwenye keyboard unaisifia ISRAEL au IRAN wewe ni fala tu
SIMBA na YANGA zimekua dini za vijana wapumbavu upo tayari kumtukana mwenzio pia hata kufa sababu ya simba au Yanga wewe ni kilaza Leo unamchukia chama kisa yupo Yanga...
🔥Ifanye porno kuwa bure
🔥Wafanye watoto wasahau mababu zao (ancestors)
🔥Mfanye mwanamke ashindane na mwanaume katika ndoa
🔥Mfanye mwanadamu azame katika itikadi alioletewa na kusahau utu na utashi aliozaliwa nao
🔥Kufanya vyakula kuwa na vimelea vingi vya kemikali
🔥Mfanye mwanasiasa awe...
Asalaam alykhum.
Tumsifu Kristu.
Kuna lile tukio lilitokea kule Serengeti (kama sijakosea) la simba dume kutongozana na kuanza kufanya ufuksa.
Basi leo siyo Serengeti ni mjini kabisa hapa Zanzibar, nikiwa napelekwa kupumzika kule Pwani mchangani kufika eneo moja la jeshi karibu na chuo cha...
Tangu karne za zamani civilisations nyingi zimekuwa zinajenga majengo ya kustaajabisha sana kasoro ya Waafrika weusi tu. Mpaka sasa hivi bado hali ni hiyo hiyo tu. Shida ni nini?
Hembu linganisha hii mifano ya jamii nyingine na Waafrika.
ASANTE SANA WANA JAMII FORUMS! 🙏
Ningependa kuchukua nafasi hii kuwashukuru kwa dhati Wanajamii Forums kwa sapoti kubwa mliyonipa mwezi huu. Kwa neema ya Mungu na msaada wenu, nimeweza kufanya kazi na wateja wengi waliotoka moja kwa moja kupitia hii forum. 💼🏗️
Naahidi kuendelea kutoa huduma...
Na: Mjumbe wa Nafsi za Watu
Je, binadamu ana uhusiano wowote wa kweli na nyota? Je, tunaongozwa nao? Tumetokana nao? Au nyota ni mapambo tu ya anga, kama taa zisizo na maana zaidi ya kutufurahisha macho?
Maswali haya si mapya. Yamechochea fikra za watawala, wanafalsafa, wachawi, manabii na...
Wakati nipo zanzibar nilipoteza simu mara tatu ila nikaipata , jamii ya wazanzibar ipo Civilized kwa viwango fulani .
Mwaka 2018 , nilikuwa Zanzibar , nilipoteza simu zaidi ya Mara tatu katika maeneo tofauti Ila niliipata .
Hii issue ilinifanya kuwakubali hawa jamaa. Maana wizi unaboa Sana...
Hilo ni swali linaloenda kwa wanazuoni wa dini yaani maaskofu ,mashekhe,wachungaji na wote tuliotarajia watufundishe aya na maandiko ya dini.
Leo hii kinachopostiwa mitandaoni kutoka mimbari za dini sio rejea za maandiko ya Vitabu vitakatifu bali mawazo ya kibinadamu kutoka wavaa kanzu .
Hii...
Wasaalam wote humu.
YAH; MREJESHO NA SHUKRANI KWA WANANCHI.
6 Julai, 2025
UTANGULIZI; mapema tarehe 06 Julai, 2025 majira ya saa 2 asubuhi hivi, niliomba ushirikiano wa jamii kwenye kufuatilia na kupata location kamili kuhusu, madai ya uwepo wa ukatili sugu kwa mtoto huko Mtaa wa Kidemi...
Kwa nini hizi jamii za Asia zinaonekana kufanya vyema kwenye AI kwa sasa duniani ? Hasa jamii ya kichina iwe ndani ya nchi zao za kuzaliwa au hata nje ya nchi zao
Nini siri ya mafanikio yao au upande gani una mafanikio kwao katika maeneo haya ?
Mwasisi wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Edda Sanga amesema udhalilishaji unaofanywa kwenye mitandao ya Kijamii dhidi ya Wanawake Wanasiasa, unajenga taswira kuwa Mwanamke hafai katika ngazi ya uongozi.
Amesema “Kama udhalilishaji huu unakwenda hivyo unavyokwenda, bado...
Faida za Kutumia Majina ya Asili Kama Utambulisho wa Jamii Yetu
Katika kipindi cha sasa ambapo utandawazi umeenea kwa kasi, jamii nyingi barani Afrika zimeanza kupendelea kutumia majina ya kigeni hasa ya Kiarabu na ya Kiingereza, huku zikiyapuuza majina yao ya asili. Wapo wanaoona kuwa kutumia...
🕯️ CHANZO NA ASILI YA JAMII YA ILLUMINATI
Sehemu ya kwanza
(Na AMUN The Grand Master Of The Third Eye Enlighten Society)
⚖️ Mwanzo Rasmi – Bavarian Illuminati (1776)
Ilianzishwa na: Adam Weishaupt, profesa wa sheria ya kanisa (canon law) katika chuo kikuu cha Ingolstadt, Ujerumani...
Hapa kuna muhtasari wa nchi za Afrika zinazotumia lugha zao za Kibantu kama lugha ya kufundishia na pia katika shughuli za kiserikali, kwa Kiswahili:
🇹🇿
Tanzania
Lugha inayotumika: Kiswahili (lugha ya Kibantu)
Elimu:
Shule za msingi: Kiswahili ndicho kinatumika kama lugha kuu ya kufundishia...
Nimekuwa nikitafakari kwa kina juu ya neno “Tomboy.” Kwa kawaida, linamaanisha msichana ambaye ana tabia, mavazi, au mienendo inayohusishwa na wavulana.
Lakini kila nikilitafakari, linazidi kunichanganya. Kwanini msichana aitwe Tomboy jina lenye maneno mawili ya kiume: Tom (jina la kijana wa...
Wasukuma wana mioyo ya plastic
Wao kila kitu ni " no taabu"
CCM Jana wameenda wakawajaza kwenye malori kama mifugo kwenda kwenye mkutano wa Hangaya
Kwenye malori wamepakia hadi watoto wa shule, watu wamepata ajali na kufa
Hivi hii jamii inashindwa kuhoji binadamu anapanda vip lile Lori...
Habari wanaJF, ninaomba kwenye uzi huu mtume link za nyuzi zote za stori za kweli zilizowahi kubamba hapa JamiiForums
Mfano ile stori ya khumbu ya konda msafi, stori ya dereva Uber na mwanamke aliyebadilisha maisha yake n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.