Habari yenu jamii, mko salama jamani,
inaniuma namimi, twapotea hasirani,
twakosa tiba kwanini, nchi ni yako namimi,
leo nahitaji nipate, afya ya uchumi.
watu wanahangaika, ajira zionekani,
serikali kutoweka, fursa kazi hadharani,
watu kazi wanataka, huishia wizi mtaani,
kwanini ajira hazipo...