jack ma

  1. JanguKamaJangu

    Nusu ya utajiri wa Jack Ma washuka baada ya kuzikosoa Mamlaka za China

    Takwimu zinaonesha kiwango hicho kimeshuka ndani ya kipindi cha miaka mitatu tangu alipotoa kauli za kukosoa na kupuuza mamlaka za fedha za China pamoja na Benki. Ripoti ya Mabilionea ya Bloomberg imesema Utajiri wa Ma ni Dola Bilioni 30, wakati Mwaka 2020 ulikuwa ni Dola Bilioni 61.2 kabla ya...
  2. Gordian Anduru

    Mnaosema CCM na ANDAZI mnachagua andazi mmemsikia JACK MA?

    "If you put bananas and money in front of monkeys, monkeys will choose bananas because monkeys do not know that money can buy a lot of bananas. In reality, if you offer a job and business to people, they would choose job because most people do not know that business can bring more money than...
  3. comte

    Mwanzilishi wa Alibaba Jack Ma arudi darasani kufundisha

    Jack Ma ameonyesha uwezekano wa kuwa msomi na tajiri pia kinyume cha tunavyoamini hapa kwa wasomi hawezi kuwa matajiri --- Jack Ma, the billionaire co-founder of Alibaba who disappeared from public life in 2020, has taken up a teaching role in Japan Alibaba co-founder Jack Ma has joined Tokyo...
  4. K

    Bilionea wa China, Jack Ma adaiwa kutojulikani alipo kwa zaidi ya miezi miwili tangu alipoikosoa Serikali na Chama Tawala

    Uvumi umezagaa kuhusu wapi alipo bilionea wa China, Jack Ma kutokana na kutojitokeza kwake hadharani kwa muda wa miezi miwili. Jack Ma ambaye ni mwanzilishi wa kampuni ya Alibaba hajaonekana katika sehemu ya mwisho ya kipindi chake alichokianzisha cha ‘Africa’s Business Heroes,’ kinachowapa...
  5. K

    Billionea Jack Ma atoweka duniani

    Uvumi umezagaa kuhusu wapi alipo bilionea wa China, Jack Ma kutokana na kutojitokeza kwake hadharani kwa muda wa miezi miwili. Jack Ma ambaye ni mwanzilishi wa kampuni ya Alibaba hajaonekana katika sehemu ya mwisho ya kipindi chake alichokianzisha cha ‘Africa’s Business Heroes,’ kinachowapa...
  6. MK254

    Akili kubwa - Kenyan Woman Scoops Ksh33M From Jack Ma

    Chebet Lesanu, the founder and CEO of Bright Green Renewable Energy (COURTESY) A Kenyan woman has emerged the winner of the second edition of Jack Ma Foundation in the Africa Business Heroes 2020 where she will be pocketing a grant of Ksh33 million. Chebet Lesanu, who is the founder and CEO of...
  7. MK254

    3 Kenyan startups get share of Sh.160m from Jack Ma charity

    Three Kenyan entrepreneurs have been shortlisted in line for a slice of the Sh161.6 million ($1.5 million) funding from the Jack Ma Foundation. Jack Ma Foundation’s Africa Netpreneur Prize Initiative selected 50 candidates who will go through two more rounds of interviews and pitches for a...
  8. Zero Hours

    Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

    Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma. Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada. Wiki...
  9. babu M

    Jack Ma Sees Virgin Land in Africa for E-Commerce Entrepreneurs

    First deals under continental free-trade pact planned for July Ma wants Africa entrepreneurs to be celebrated as ‘heroes’ Jack Ma, the co-founder of Alibaba Group Holding Ltd., said African entrepreneurs will find countless opportunities in e-commerce, logistics and e-payments as the continent...
  10. Godfather of Harlem

    Jack Ma anasema kuwa na PhD sio kujua kila kitu

    Kuwa na degree au kuwa na PhD haimaanishi kuwa unaweza au unafahamu kila kitu. Kila siku kuwa mtu wa kujifunza kutoka kwa watu wanaokuzunguka kila siku. Katika maisha yako ya kila siku hasa kwa jamii inayokuzunguka kuna elimu zaidi ya iyo degree yako au PhD yako. Usipende kujiona kama muweza wa...
  11. IamJackReacher

    Bilionea wa China Jack Ma kupambana kimasumbwi na bondia Floyd Mayweather Jr

    Naona mzee Jack Ma, baada ya kustaafu na kuachia ngazi kwenye kampuni yake ya Alibaba, na kupewa masomo ya "boxing" na Bw. Manny Pacquiao yupo tayari kuingia kwenye ringi na "legend" Floyd Mayweather Jr.! Naombea hii "bout" iwe ya ukweli na vile vile pesa zitakazo patikana ziende kwenye...
  12. Kaka Pekee

    Mfanyabiashara Bilionea wa China Jacky Ma yupo nchini Tanzania

    Wiki Iliyopita nilipokuwa Nasafiri kwenda Serengeti na familia kupitia Mwanza, baada ya kutua na AirTanzania uwanja wa Ndege Mwanza majira ya Saa mbili kasoro Asubuhi...nilivutiwa na ndege moja Private Jet (Pichani)iliyokuwa imepaki pembezoni mwa kiwanja kwa ninavyozifahamu ndege (As Rubani wa...
Back
Top Bottom