Nusu ya utajiri wa Jack Ma washuka baada ya kuzikosoa Mamlaka za China

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Takwimu zinaonesha kiwango hicho kimeshuka ndani ya kipindi cha miaka mitatu tangu alipotoa kauli za kukosoa na kupuuza mamlaka za fedha za China pamoja na Benki.

Ripoti ya Mabilionea ya Bloomberg imesema Utajiri wa Ma ni Dola Bilioni 30, wakati Mwaka 2020 ulikuwa ni Dola Bilioni 61.2 kabla ya kuingia matatizoni na mamlaka za Nchi

Ukosoaji wa Ma ulisababisha mamlaka kuingilia biashara binafsi zote za China na kuongeza udhibiti wa kampuni zingine za teknolojia kote.

Tangu wakati huo, Ma amekuwa hasikiki mara kwa mara na inadaiwa anatumia muda mwingi akiwa Japan, nyumbani kwa rafiki yake na mwekezaji wa Alibaba, Masa Son.
---

Jack Ma Loses More Than Half Of His Wealth After Criticizing Chinese Regulators

Jack Ma’s fortune is estimated to be worth less than half of what it was just three years ago, when he made a pivotal speech that derailed what was supposed to be the world’s biggest share sale at the time.
The Bloomberg Billionaires Index projected Wednesday that the business mogul’s wealth had fallen by $4.1 billion (around Ksh.578.9 billion) over the past year, due to a massive fall in the valuation of Ant Group, the fintech giant that he co-founded but no longer controls.

Ma, who also co-founded e-commerce firm Alibaba, has a 9.9% stake in Ant, according to Bloomberg.

The entrepreneur, once Asia’s richest person, now has a net worth of approximately $30 billion (around Ksh.4.2 trillion), less than half of the $61.2 billion (Ksh.8.6 trillion) peak recorded in 2020 before he ran into trouble that year, according to the index.

Ant, best known for running the Alipay digital payments system that is ubiquitous in mainland China, is conducting a share buyback that values it at $78.5 billion (Ksh.11 trillion), down 75% or $230 billion from its valuation in 2020.

The combined loss of market capitalization for Ant and Alibaba totals some $877 billion (Ksh.123 trillion), according to a CNN calculation based on peak share prices recorded in late October 2020, around the time the entrepreneur blasted Chinese financial regulators and banks in the landmark speech.

Ma’s criticism, delivered just days before Ant was set to list in Shanghai and Hong Kong, kickstarted an unprecedented crackdown on private enterprise in China, which led to heightened regulatory scrutiny of other tech companies around the country.

Chinese regulators pulled the plug on Ant’s $37 billion (Ksh.5.2 trillion) IPO in November 2020 and ordered the company to restructure its business.

Since then, Ma has kept a very low profile. In recent years, he has reportedly spent time in Japan, home to his friend and Alibaba investor, SoftBank (SFTBF) CEO Masa Son, and in Hong Kong.

He has also started a new gig as a visiting professor at a Tokyo university, and spent more time on philanthropy.

He has also stepped back from the companies that he started.

In January, Ma gave up control of Ant after it spent two years revamping its business from consumer lending to insurance products at the behest of regulators.

He had stepped down as chairman of Alibaba in 2019, when he turned 55.

Ant and its units were also fined $984 million by Chinese financial regulators last week, for allegedly breaking rules related to consumer protection and corporate governance.

Analysts said the fines were a sign that the regulatory crackdown had finally ended.

In March, Alibaba announced plans to split up into six separate units, each overseen by its own chief executive and board of directors.

The company said it hoped the new structure would allow it to be more nimble and unlock greater value for investors.

Source: Citizen Digital
 
Ndo shida ya hizi nchi za ki- dictator ' ukiwa tajiri kuamka maskini ni kitu Cha kawaida sana!

Yaani hata Rais akikutia kidole Cha Tako inabidi uwe mpole ukisema suuuuuu kesho yake unapuputishwa Kila kitu🚮
 
CCP wanahaha kubakia madarakani, wanajua wachina wengi wamewachoka na ndomana wanazidi kuzidi kuwabana wachina kwa kuwafatilia zaidi kwa kutumia teknolojia.

Ogopa chama ambacho kinaweza kuharibu culture ya jamii nzima ili kuendelea kuwepo madarakani, rushwa na tamaa ya madara ya kutaka kuitawala Dunia ndo vimetawala CCP.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And some folks thinks an BRICS’ backed trade would be better, a trade alliance controlled by dictatorship countries. They think billionaires will be safe.
 
And you think there is true democracy in West?
No there’s no democracy in west.

80% of top 10 billionaires are from BRICS because west tracks your bank balances and business conducts

Musk was warned and threatened over billionaires’ tax opinion but Jack Ma wasn’t and his wealth has doubled in China

More westerners are migrating and seeking asylums to the BRICS because west is not safe.

Blud who slapped Macron was executed right away but opposing Xi and Putin in public is normal in BRICS

In BRICS ballots are counted on Media TVs so free and fair, in west CNN and other news networks were fined for “publicly displaying and projecting the winner”

That’s what i see.
 
Ndo shida ya hizi nchi za ki- dictator ' ukiwa tajiri kuamka maskini ni kitu Cha kawaida sana!

Yaani hata Rais akikutia kidole Cha Tako inabidi uwe mpole ukisema suuuuuu kesho yake unapuputishwa Kila kitu🚮
Ni kama tu Trump pale demokrasiani.
 
Ndo shida ya hizi nchi za ki- dictator ' ukiwa tajiri kuamka maskini ni kitu Cha kawaida sana!

Yaani hata Rais akikutia kidole Cha Tako inabidi uwe mpole ukisema suuuuuu kesho yake unapuputishwa Kila kitu
ni kama TRUMP wanavomfanyia huko mara mahakaman mara kesi zisizoisha mara ..kwenye nchi inayosema ni ya kidemocrasia
 
Back
Top Bottom