kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,083
- 18,177
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda watatu wa Israel.
Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.
Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde).
Update: Hao makamanda wawili ni wa israel na mmoja ni wa marekani aliyeuliwa nchini QatarView attachment 2079219View attachment 2079220
Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.
Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde).
Update: Hao makamanda wawili ni wa israel na mmoja ni wa marekani aliyeuliwa nchini QatarView attachment 2079219View attachment 2079220