Iran imewaua makamanda wawili wa Israel mwezi huu

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,083
18,177
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda watatu wa Israel.

Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.

Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde).


Update: Hao makamanda wawili ni wa israel na mmoja ni wa marekani aliyeuliwa nchini QatarView attachment 2079219View attachment 2079220
 

Attachments

  • FB_IMG_1642064236680.jpg
    FB_IMG_1642064236680.jpg
    49 KB · Views: 68
  • FB_IMG_1642064234452.jpg
    FB_IMG_1642064234452.jpg
    57.1 KB · Views: 70
  • FB_IMG_1642064108570.jpg
    FB_IMG_1642064108570.jpg
    25 KB · Views: 69
  • FB_IMG_1642064106073.jpg
    FB_IMG_1642064106073.jpg
    27.1 KB · Views: 68
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda wawili wa Israel na mmoja wa marekani

Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.

Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde)

Na iran imekiri kuhusika kuwaua makamanda hawa.

FB_IMG_1642064020034.jpg
FB_IMG_1642064236680.jpg
 
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda watatu wa Israel.

Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.

Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde).
View attachment 2079213View attachment 2079214View attachment 2079215View attachment 2079216

Update: Hao makamanda wawili ni wa israel na mmoja ni wa marekani aliyeuliwa nchini QatarView attachment 2079219View attachment 2079220
Hivi wewe kimsboy mfia dini ya uislam unafikiri kuna nchi ya kiislam inauwezo wa kupambana na Israel kweli . Israel akiamua anaweza kuisambaratisha Iran yote . Israel Ana technolojia kubwa

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda wawili wa Israel na mmoja wa marekani

Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.

Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde)

Na iran imekiri kuhusika kuwaua makamanda hawa.

View attachment 2079234View attachment 2079235
Ila mbona tarehe ni ya mwaka jana
 
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda watatu wa Israel.

Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.

Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde).
View attachment 2079213View attachment 2079214View attachment 2079215View attachment 2079216

Update: Hao makamanda wawili ni wa israel na mmoja ni wa marekani aliyeuliwa nchini QatarView attachment 2079219View attachment 2079220
Ikithibitika kitu watamfamya iran hawez kusahau... Keep silence
 
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda watatu wa Israel.

Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.

Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde).
View attachment 2079213View attachment 2079214View attachment 2079215View attachment 2079216

Update: Hao makamanda wawili ni wa israel na mmoja ni wa marekani aliyeuliwa nchini QatarView attachment 2079219View attachment 2079220
kimsboy hicho kijarada ulichoweka hapa ni cha tarehe 1 July 2021.
 
Mbona anaweka news za zamani anahamishia mwaka 2022? Dogo kimsboy you can't change the history.. huyo kamanda alianguka jukwaani tu kwa maradhi mwaka jana ambapo ikafahamika ni natural death... iran hawezi claims kwa hilo ila kwa uzuzu waliweza huko unapotolea news uchwara zako...

This year kwenye maziezi helicopter ilianguka kwa hitirafu tena rubani alikuwa anaenda kuchukua majeruhi kwenye mazoezi ya kijeshi. 2 death reported iran ana claim vipi hapo... wadhani kupenetrate Ndani ya israel and ufanye tukio ni rahisi? Utanyonywa nnya dadeki.
 
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda watatu wa Israel.

Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.

Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde).
View attachment 2079213View attachment 2079214View attachment 2079215View attachment 2079216

Update: Hao makamanda wawili ni wa israel na mmoja ni wa marekani aliyeuliwa nchini QatarView attachment 2079219View attachment 2079220
Huyo mmoja atakuwa Bashite
 
Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda wawili wa Israel na mmoja wa marekani

Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman.

Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na bado kuna mtu mmoja waliyeandika #Soon (punde)

Na iran imekiri kuhusika kuwaua makamanda hawa.

View attachment 2079234View attachment 2079235
Mbona habari picha ina sama ameanguka akiwa mazoezin? Na ww unasema vingine?
 
Back
Top Bottom