israel

  1. Ritz

    Hamas limewaua wanajeshi kadhaa wa Israel huko Gaza na kuwateka wengine 4

    Wanakumbi. Kundi la Hamas limewaua wanajeshi kadhaa wa Israel huko Gaza na kuripotiwa kuwakamata wengine 4. Hata hivyo Israel imedai kuwa ni mwanajeshi mmoja tu aliyeuawa na wengine 11 wako katika hali mbaya. Israel imeweka udhibiti mkali wa vyombo vya habari kuhusu ripoti zinazohusiana na...
  2. Sir John Deere

    Gaza City: Hamas wateka wanajeshi wanne wa Israel huku wakiwaua wengine 9 katika shambulizi la kushtukiza

    Kikosi cha wapiganaji wa al qassam kimefanya shambulio hivi Leo na kufanikiwa kuwateka wanajeshi wanne wa Israel na kuuwa wengine 9 na kuacha majeruhi wengi. katika tukio linaloendelea katika mji wa Gaza. Helikopta 8 za jeshi la Israel zimeonekana zikibeba maiti na majeruhi kuwapeleka hospitali...
  3. Ritz

    Uturuki kukata kabisa uhusiano wa kiuchumi na kufunga anga yake na Israel, waziri wa mrengo wa kulia wa Israel Itamar Ben-Gvir achanganyikiwa

    Wanaukumbi. Kufuatia uamuzi wa Uturuki wa kukata kabisa uhusiano wa kiuchumi na kufunga anga yake na Israel, waziri wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Israel Itamar Ben-Gvir alichapisha kwenye X akilinganisha Uturuki na Hamas. Ben-Gvir anatafutwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa...
  4. Mributz

    Israel yatangaza vita rasmi Gaza

    Jeshi la Israel limeanza oparesheni kubwa za kijeshi pembezoni mwa jiji la Gaza hatua inayoashiria maandalizi ya kuutwaa kikamilifu mji huo, huku ikiapa kuongeza mashambulizi kwa lengo la kuzidisha shinikizo la kuachiliwa kwa mateka waliosalia na kulitokomeza kabisa kundi la Hamas. Hatua hiyo...
  5. M

    Waziri Mkuu wa Houthi Ahmed al-Rahawi, ameuawa na Israel

    Imeripotiwa na vyombo vya habari vya Yemen kuwa waziri mkuu wa Yemen anaye sapotiwa na Houthi ndugu Ahmed al-Rahawi ameuawa jana katika mashambulio ya jeshi la anga la Israeli hapo Yemen. Shambulizi hili ni kando ya shambulizi dhidi ya majenerali wa houthi kumi walio kuwa wakitazama hotuba ya...
  6. 6 Pack

    Netanyahu anapambania wayahudi, na sio Israel wala waisrael

    Niaje waungwana Kwa mtu asiekuwa na akili kamili au uwezo wa kufikiri vizuri, anaweza akahisi, au akajua kuwa Netanyahu anaipigania Israel, au waisrael. Lakini kwa yule mwenye akili kamili na uwezo mzuri wa kufikiri, ni lazima atakubaliana na mimi kwamb Netanyahu hayupo pale kupambana na kwa...
  7. gallow bird

    Israel yaiomba ruhusa Marekani iishambulie Iran, URUSI yaondoa wanadiplomasia Tel Aviv

    Duru za kikachero zinadai israel iliiomba marekani ruhusa ya kufanya shambulio la kujihami(pre-emptive strikes) dhidi ya Iran Japo duru haziarifu ikiwa Marekani ilikubali au laa, lakini kitendo cha dege la kirusi la kubeba viongozi na wanadiplomasia kutua tel aviv kubeba wahusika,kadhalika...
  8. Ritz

    Baada kushindwa kupambana na Hamas Israel inapambana na raia na watoto ililenga moja kwa moja waokoaji wa Kipalestina hospital Nasser. Khan Younis

    Wanaukumbi. Israel directly targeted Palestinian rescue workers at the Nasser Medical Complex in Gaza's Khan Younis. Journalists Mohammed Salama, Hussam Al Masri and Mariam Abu Dagga were among those killed, along with at least eight others ================ Israel ililenga moja kwa moja...
  9. U

    Serikali ya Brazil yakataa kabisa kumuidhinisha na kumkubali a balozi mteule wa Israel Gali Dagan kuanza kazi nchi ni humo

    Brazil imekataa kuidhinisha uteuzi wa Gali Dagan, aliyewahi kuwa balozi wa Israel nchini Colombia, kuwa balozi mpya wa Israel nchini Brazil, na kuacha nafasi hiyo ikiwa wazi, vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti. Hatua hiyo inaashiria kushuka zaidi kwa uhusiano na nchi hiyo ya Amerika...
  10. Echolima1

    Wahouth huko Yemen wapata kipigo cha mbwa-koko kutoka Majeshi ya Israel!!!

    Jumapili ya leo Wahouth huko Yemen wamepata kipondo cha mbwa-koko tuwaombee tu!!
  11. Webabu

    Houth wasema wana aina mpya za silaha ambazo wanakusudia kuanza kuzitumia kwa Israel.Na wameweza kuzuia mashambulizi ya jana yaliyofanywa dhidi yao

    Msemaji wa wapiganaji wa Houth wa Yemen amesema mashambulizi ya jana waliyofanya na kuwatia hasara mayahudi ni madogo kuliko yale wanayoweza kuyafanya kwa kutumia silaha mpya ambazo wanatengeneza wenyewe. Msemaji huyo amesema katika mashumbulizi mapya ya Israel wao wamefanikiwa kuzuia sehemu...
  12. U

    Mshtuko mkubwa: Makazi ya Rais wa Yemen yashambuliwa na ndege za Israel, bado haijulikani rais wa nchi hiyo kama yuhai

    Ni makosa kisheria kushambuliwa makazi ya rais wa nchi kwa sheria za UN. Taarifa kutoka Israel muda huu:Israel Air Force strikes against the Houthis in Yemen’s capital, Sanaa, hit a military compound where the presidential palace is located, two power stations and a fuel depot, the military...
  13. Dalton elijah

    jeshi la anga la Israel limefanya mashambulizi katika mji mkuu unaoshikiliwa na Wahouthi nchini Yemen

    Jeshi la anga la Israel IDF limefanya mashambulizi katika mji mkuu unaoshikiliwa na Wahouthi wa Yemen, Sanaa, Taarifa hii imetolewa na vyombo vya ndani nchini isarel Mashambulizi hayo yanakuja baada ya waasi wa Houthi siku ya Ijumaa kurusha ndege isiyo na rubani na kombora la balestiki...
  14. Sir John Deere

    Yemen yaishambulia Israel kwa kombora jipya linalogawanyika hewani.

    Inaonekana huu ni mpango wa muda mrefu kwa Yemen. Ambapo Jana imefanikiwa kufanya mashambulizi ya kombora la masafa marefu na kulenga shabaha katika miji ya Tel Aviv na lod huko nchini Israel baada ya kurusha aina mpya ya kombora linalogawanyika hewani zaidi ya mara 80 kabla ya kupiga shabaha...
  15. Echolima1

    Israel yajiandaa kwa vita kuitwaa tena Gaza!

    Katika mkutano wa ngazi ya juu katika Amri ya Kusini, PM Netanyahu, DM Katz, na Mkuu wa Wafanyakazi Zamir walipitia mpango wa uendeshaji wa kuliteka Jiji la Gaza - uwezekano wa mabadiliko katika vita. Hamas awali ilikubali makubaliano ya sehemu, lakini ikaongeza madai mapya, yasiyokubalika...
  16. Echolima1

    Operation Rising Lion II kuna uwezekano ikazinduliwa na Majeshi ya Israel wakati wowote!

    Wachambuzi wa Israel wanaamini kuwa Israel inajiandaa kwa duru nyingine ya mapigano dhidi ya Iran. Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Ulinzi, Meja Jenerali Amir Baram, aliuagiza ujumbe wa Wizara ya Ulinzi nchini Marekani kutia saini mkataba wa kununua ndege mbili za ziada za kujaza mafuta kwa IDF...
  17. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel atoa maagizo ya kuachiliwa mateka wote na kwa mara moja kwa Masharti anayoyataka yeye!!!! “Yajayo yanafurahisha

    Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu: "Nimeagiza kuanza mazungumzo ya haraka ya kuachiliwa kwa mateka wetu wote na kumaliza vita chini ya masharti yanayokubalika kwa Israeli. Tuko katika hatua ya ushindi wa uhakika. Nimekuja leo kwenye Kitengo cha Gaza ili kuidhinisha mipango iliyowasilishwa kwangu...
  18. Echolima1

    Hamas zaidi ya 10 waangamizwa kwenye jaribio la kuteka askari wa Israel

    Shambulizi lililoratibiwa na Hamas kwenye Kituo cha IDF Karibu na Khan Yunis IDF ilithibitisha kuwa Hamas walianzisha shambulio lililoratibiwa kwa kutumia bunduki na vifaru, na hivyo kufanikiwa kuruka kizuizi cha karibu na Khan Yunis. Askari mmoja kutoka Brigedi ya Kfir alijeruhiwa vibaya na...
  19. Webabu

    Makundi ya ajabu yaibuka kwenye vifusi Gaza kupambana na majeshi ya Israel

    Kilichoipta Urusi kule Afghanistan miaka ya 1979 na Marekani kule Vietnam mwaka 1975 na Afghanistan tena mwaka 2021 ndicho kilnachoelekea kuipata Israel huko Gaza mwaka huu 2025 Marekani na Urusi walimiliki kila kitu lakini katika hali ya ajabu kabisa wakalazimika kuwakimbia kwa hofu watu...
  20. Mathanzua

    Israeli Minister admits: Israel to have deliberately withheld Gaza Food/Aid for 2 .5 months

    Israeli Minister Admits: Deliberately Withheld Gaza Food/Aid 2 1/2 Months! August 19, 2025 Hits: 14438 Israel Finance Minister Bezalel Smotrich has admitted on TV the Israeli government deliberately withheld food and other aid from 1.5 Million people in Gaza, for two and a half months! It...
Back
Top Bottom