israel

  1. B

    JamiiForums Tanzania Israel imepanga kuifundisha ChatGPT kuwa upande wake zaidi (Pro-Israel) inapojibu maswali

    Katika mkataba mpya wa dola milioni 6, kampuni ya Marekani iitwayo Clock Tower X itazalisha na kusambaza maudhui katika majukwaa mbalimbali, kusaidia kuchezea mifumo ya algoriti, pamoja na kusimamia “mifumo ya AI” ili iwe rafiki zaidi kwa ajenda hiyo. Serikali ya Israel imeajiri kampuni mpya...
  2. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Utamu wa Asali ulivyomkamatisha Jasusi wa Israel kizembe

    Katika maisha ya hapa bongo, unaweza kutana tu na mtu labda tuseme ni mfanyakazi mwenzako, au ni mfanyabiashara au hata bodaboboda akiendelea kupiga mishe zake tu za kawaida na mambo yanaenda. Lakini mtu wa namna hii unaweza kukuta ni mwajiriwa anayefanya kazi kwenye idara ya kijasusi. Japo...
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel yawekeana mkataba wa kuiuzia Misri Gesi!!!

    Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alitangaza katika ujumbe wa video kwamba ameidhinisha makubaliano makubwa zaidi ya nishati katika historia ya Israeli. Mkataba wa gesi asilia na Misri una thamani ya NIS bilioni 112 (dola bilioni 34.7), ambapo NIS bilioni 58 (dola bilioni 18) zitatumika katika...
  4. zitto junior

    JamiiForums Tanzania Shetani hana rafiki: Israel yatimua Majenerali wake sababu ya October 7, 2023

    Mara nyingi tumekuwa tukisema shetani hana rafiki ndio maana Israel walipotekeleza muaji ya genocide dhidi ya wapalestina wameanza kugeukiana wenyewe kwa wenyewe. 1. Wa kwanza kukutana na panga hilo ni Mkuu wa Kurugenzi ya Ujasusi jeshini (Military Intelligence Directorate chief Major General...
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa utawala katika jeshi la magaidi wa Hezboullah aingia kwenye 18 za majeshi ya Israel na kuangamizwa!!

    MAPUMZIKO: Jeshi la Wanajeshi la IDF laishambulia Hezbollah Nambari 2 mjini Beirut. Ofisi ya Waziri Mkuu yathibitisha shambulio la anga la usahihi katikati mwa Beirut linalomlenga Haytham ‘Ali Tabataba’i, aliyetambuliwa na vyombo vya habari vya Kiebrania kama mkuu wa utawala wa Hezbollah...
  6. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Jinsi Israel inavyoweza kuisaidia Iran kupata maji. Iran wana hali mbaya sana

    Iran haina maji ya kutosha kwa sababu ya mchanganyiko wa sababu za kijiografia, hali ya hewa, ongezeko la watu, na matumizi mabaya ya rasilimali za maji. Hapa chini ni maelezo kwa ufupi na kwa urahisi: 1. Ni nchi ya jangwani Zaidi ya 90% ya Iran ni maeneo kavu au yenye joto kali, mvua ni...
  7. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amkatalia Waziri Mkuu wa Norway kutembelea Israel

    Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu alikataa ombi la Waziri Mkuu wa Norway kuzuru Israel - na ndivyo ilivyo. Norway iliunga mkono mashtaka ya ICC dhidi ya Israel, ilitambua taifa la Palestina, na kiongozi wao hata alihudhuria tukio la kupinga Uzayuni la Kristallnacht. Israel haina nafasi...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Hili la kutokuhojiwa ushindi wa rais mahakamani, ni upumbavu mkubwa. Trump alipelekwa mahakamani, Olmert wa Israel, Sarkozy, Park Gen-hye, soon Bibi"

    Hawa viongozi wa Tanzania wanajifanya miungu mtu, eti hata waibe vipi hawawezi kushtakiwa mahakmani,, na matokeo hayawezi kupingwa mahakamani! Huo ni upumbavu mkubwa unaorudisha demokrasia nyuma na kuwafanya marais wa Tanzania sawa na miungu. Mahakamani ni mahali pa kutafuta haki, sasa...
  9. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Knesset yaidhinisha Mswada wa kunyonga wafungwa wa Kipalestina

    Knesset ya Israel imepitisha kwa usomaji wa kwanza mswada unaoruhusu kunyongwa kwa wafungwa wa Kipalestina. Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Israel (KAN), mswada huo ulipitishwa Jumatatu usiku kwa kura 39 za ndiyo na 16 za hapana. Mswada uliopendekezwa na chama cha Jewish Power cha...
  10. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Afrika Mungu anatajwa sana kuliko Israel, Vatican na Mecca na hili ndo chanzo cha matatizo yote

    Dar ni automatic sauna Niende kwenye mada, ukija Africa utakutana na jamii ya watu wa ajabu kwelikweli wao kila muda Mungu Mungu tu hawajali jitihada zao na mbinu zao wao wanaamini kila kitu ni mipango ya Mungu tu. Mtu kapata kazi halmashaur anasema Mungu kamsaidia lakini jitihada zake hazip...
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel yapeleka mifumo ya ulinzi Cyprus!!!

    Kuna habari za uhakika Israel imepeleka Mifumo ya ulinzi wa anga na kuisimika huko na haijajulikana vizuri nini maana yake!!
  12. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Haya magari mapya ya polisi ni ya kivita kabisa. Yote haya ya nini?

    Leo nimeona Magari Magari kweli kweli ya jeshi la Polisi ni magari imara sana kukabiliana na Uhalifu. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limepokea magari mapya aina ya Robur Armored TLC300 kama mgao kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini. Akizungumza mara baada ya kupokea magari hayo Kamanda wa...
  13. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Hezbollah wameshambuliwa jioni hii na Ndege-vita za Israel huko Lebanon kusini

    Ndege-vita za Israel jioni hii z inashusha kipondo cha kufa mtu kwa magaidi wa Hezbollah
  14. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wabunge nchini Israel wakaidi agilo la waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuhusu Gaza na West-Bank (Judea & Samaria )

    Wakiasi dhidi ya Waziri Mkuu, MKs walipitisha usomaji wa awali wa mswada wa upanuzi wa Ukanda wa Magharibi Kikao katika ukumbi wa kusanyiko wa Knesset huko Jerusalem mnamo Oktoba 22, 2025 (Chaim Goldberg/Flash90) Katika hali ya aibu kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, wabunge wa mrengo wa...
  15. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Ujerumani wamenunua silaha kutoka Israel

    BREAKING: Ujerumani imesaini mkataba wa kombora wa Euro BILIONI 2 na Israel. Wakati wengine wakikabiliwa la kuitenga Israel, Ujerumani inanunua makombora ya Spike ya RAFAEL kwa idadi kubwa. Ulaya inahitaji teknolojia ya ulinzi ya Israel.
  16. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel yazindua mfumo mpya wa kombora linaloongozwa na Laser

    ISRAEL YAZINDUA MFUMO MPYA WA KOMBORA LINAONGOZWA NA LASER 🇮🇱 Kutana na LAHAT ALPHA, kombora hilo ni Game-Changer ambalo hufunga shabaha kutoka umbali wa zaidi ya KM 20. Hawezi kuliona wakati linasafiri. Halihitaji GPS kujenga Shabaka . wewe Eleza tu, laser, na kombola linaendelea kuharibu...
  17. Echolima1

    JamiiForums Tanzania JD Vance Akiwa nchini Israel

    JD Vance yuko njiani kuelekea kituo cha kijeshi cha Marekani huko Kiryat Gat,Israel.
  18. A

    JamiiForums Tanzania Ayatollah Ali Khomen: Kipigo tulichompiga Israel hatathubutu tena kugusa Iran

    Habari ndio hio Ayatollah Ali Khomen baba lao, anasema Rais wa marekani Trump alienda israel ili ku raise morales zao sababu zipo chini sana baada ya kipigo walicho pokea tokea Iran, sababu tuliwapiga kwenye mishono kabisa https://youtu.be/rQUxgNIqK4I?si=DCx0a1ZAmEPUrVwy
  19. M

    JamiiForums Tanzania Tofauti na Iran na vikundi vyake, Israel hapigani vita bali analenga viongozi na mifumo yao

    Huwa nawashangaa sana watu wanaosema Israel inapiga vita, Israel haipigani vita huwa inajilinda, wanaopiga vita ni kina Iran na vikundi vyake. Israel wana deal na targets kubwa zaidi kama wakuu wa jeshi wa Iran, Houthi, Hezbollah, na vikundi vingine kibao na hata manaibu wakuu wa majeshi, wakuu...
Back
Top Bottom