iran

  1. Zimebaki siku 10 za Israel kuishambulia Iran

    Hawa jamaa walitangaza siku 60 tu za kuishambulia Tumehesabu leo ni siku ya 50 bado siku kumi tu Na wanasema maana walidai ndani ya siku 60 iran atakua na bomu kamili Sasa na Iran alivyo kichaa akaongeza kurutubisha mpaka 80% huko if am not mistaken kama nimekosea percentage mnambie Tukasema...
  2. Mgogoro wa Iran Vs Azerbaijan (Israel) Vs Armenia vita vitalipuka soon

    Israel ilikua inataka kuishambulia Iran kupitia Azerbaijan ambayo ni nchi jirani ni Iran Tayari inasekemana ndege za Israel za F-35 zipo ndani ya Azerbaijani tayar kuishambulia Iran Wakati huo huo Iran imeshaonya kwamba ikiguswa tu basi Kitawaka...Iran ilipeleka boti za kivita 400 mpakani na...
  3. Kubainishwa misimamo ya Iran kuhusu Syria katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Katika miaka ya hivi karibuni Syria imekuwa ikikabiliwa na vita na harakati kubwa za makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Marekani na sehemu ya ardhi ya nchi hiyo ikadhibitiwa na kukaliwa kwa mabavu na magaidi. Hadi sasa vita hivyo vimesababisha maafa na mauaji ya makumi ya maelfu ya wananchi...
  4. Kamanda wa jeshi la nchi kavu la Iran: Tunazifuatilia kikamilifu harakati za Wazayuni

    Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa tangu uje utawala wa Kizayuni karibu na mipaka ya nchi, Iran imezidi kuguswa na suala la usalama wa mpaka wake wa kaskazini magharibi na kwa sababu hiyo harakati za utawala huo haramu zinafuatiliwa...
  5. Iran engages in only results-oriented talks; high time for US to wake up to new reality: Foreign Ministry

    The spokesman for Iran’s Foreign Ministry has once again reiterated Tehran’s resolve to engage in only results-oriented talks on ways to revive a nuclear deal it snatched with world powers in 2015, saying it is high time for the United States, which unilaterally abandoned the agreement, "to wake...
  6. IRGC terms Iraq’s war against Iran as guarantor of US expulsion from region

    The Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) has hailed the victorious defense of the Iranian nation during Iraq’s imposed war in the 1980s as an “undeniable truth” and a guarantor of the expulsion of American forces from the region. In a statement marking the 41st anniversary of the 8-year war...
  7. Over 49 Million Doses of COVID Vaccine Injected in Iran

    TEHRAN (Tasnim) – The Iranian Health Ministry said on Friday that more than 49 million jabs of COVID-19 vaccines have been injected across the country. New figures released by the Health Ministry of Iran indicate that more than 49 million doses of coronavirus vaccines have been administered in...
  8. Assassinating General of Peace most obvious example of US terrorism: Iran FM

    Speaking to the United Nations General Assembly (UNGA)’s president, Iran’s foreign minister says US perpetration of terrorism is epitomized by the assassination of Iran’s senior anti-terror commander, Lieutenant General Qassem Soleimani. “The assassination of Martyr General Soleimani, the great...
  9. President Raeisi packs quite a punch in debut UNGA speech

    By Syed Zafar Mehdi President Ebrahim Raeisi's maiden address to the UN General Assembly on Tuesday evening packed a powerful punch, unlike anything seen before, reaffirming his reputation as a no-nonsense international leader and statesman who means business. Iranian president’s speech...
  10. Iran to receive 10 mln J&J, Pfizer vaccine doses from Belgium

    Iranian customs office IRICA say the country will receive 10 million coronavirus vaccine doses manufactured in Belgium under American brands of J&J and Pfizer. Iran has mostly relied on China’s flagship Sinopharm vaccine to immunize its population against the disease. IRICA’s Arvanaghi said on...
  11. Iran yatangaza lockdown kudhibiti maambukizi ya Kirusi Delta

    Taifa hilo lililoathirika zaidi ya janga la Corona Mashariki ya Kati litaweka zuio la safari zote za barabara pamoja na Lockdown ya wiki moja Biashara na Ofisi zote ambazo sio za mahitaji muhimu zitafungwa kuanzia Jumatatu (Agosti 16) hadi Agosti 21, ikiwa ni jitihada za kukabiliana na Kirusi...
  12. Iran: Waziri wa Afya aonya uwezekano wa COVID-19 kupelekea mfumo wa afya kulemewa

    Waziri wa Afya wa Iran, Saeed Namaki amesema Wimbi la Tano la Virusi vya Corona ambalo kwa kiasi kikubwa limetawaliwa na Kirusi aina ya Delta linaweza kuwa baya zaidi endapo hatua hazitachukuliwa. Ameonya kwamba Mfumo wa Afya Nchini humo huenda ukalemewa akisema, hata kama Hospitali...
  13. FIFA Arab cup: Iran haipo ni nini shida?

    Mm ni mpenzi wa mpira sana,huwa nafuatilia michuano mbalimbali hata kama sitoiangalia kwenye TV huwa naangalia kwenye flash score yangu. Kwa sasa kuna hii FIFA Arab cup inayoendelea huko Qatar, Mpaka Comoro na South Sudan wamo ila Jumuhuri ya Kiislamu Iran haipo. Kuna tatizo gani ndugu...
  14. Iran Nuclear Centrifuges zashambuliwa na Drone ndogo, wameshainyooshea kidole Israel

    A sabotage operation against one of the buildings of Iran’s Atomic Energy Organization (IAEO) caused major damage – despite Iranian denials, The Jerusalem Post learned on Wednesday night. Although Iran has claimed throughout the day that the sabotage failed and caused no damage or casualties...
  15. Website ya Iran Press TV yenye Propaganda na uzushi imefungiwa na Marekani ''Ban''

    Bloomberg) -- The U.S. has blocked three dozen Iranian websites in retaliation for what Washington described as an attempt to influence American elections, a move likely to inflame tensions as diplomats seek to restart nuclear talks in Vienna. Washington acted as world powers seek to revive a...
  16. Kwanini Israel ina wasiwasi kuhusu rais mpya wa Iran?

    Waziri mkuu wa Israel anasema kwamba jamii ya kimataifa inafaa kuamka kufuatia uchaguzi wa rais mpya wa Iran. Naftali Bennet amesema kwamba utawala wa Iran umekuwa ukitaka silaha za kinyuklia - kitu ambacho Iran inakana. Ebrahim Raisi alitangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais nchini Iran siku...
  17. Rais mpya wa Iran ana misimamo mikali, Israel ijiandae kisawasawa

    Another Mahmoud Ahmedinajad na huyu ni zaidi Ahmedinajad; jamaa ana misimamo mikali balaa[emoji2][emoji2][emoji2] Hapo Middle East lazima heshima irudi, unajua Hassan Rouhan alikua wa misimamo ya wastani halafu mpole mpole hivi huyu ni kiboko ya maadui wa Iran, Israel wajiandae...
  18. Iran wachagua Ibrahim Raisi ambaye ameshaua watu elfu 30

    Masikitiko Wairan kuchagua Raisi ambeye ni jaji wa mahakama ambaye ashatoa hukumu za hovyo za kunyonga watu zaidi ya elfu 30 alilalamikiwa sana na raia hadi jumuiya za kimataifa ila alikingiwa mikono na Ayatollah. Marekani washamuwekea vikwazo kama vyote, sasa tutegemee uovu kama wote kutoka...
  19. N

    Iran: Hatimae rais mpya apatikana

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais na Mabaraza ya Miji na Vijiji nchni Iran yanaonyesha kuwa Seyyed Ebrahim Raeisi amepata ushindi wa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Kiislamu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran...
  20. M

    Iran nchi inayoongoza kwa kuikopesha Tanzania

    Naam, siyo wengine bali ni walewale watoto wa Ayatollah ndiyo wanaoongoza kutupiga tafu kwenye mikopo Siyo China, wala Marekani wanaoongoza kutukopesha ili tufanye mambo ya maendeleo, bali ni Wairani. Wairan ni watu walionyooka sana, hawapendi kuburuzwa, ni watu wanaojiamini. Pamoja na wao...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…