Rais mpya wa Iran ana misimamo mikali, Israel ijiandae kisawasawa

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Another Mahmoud Ahmedinajad na huyu ni zaidi Ahmedinajad; jamaa ana misimamo mikali balaa

Hapo Middle East lazima heshima irudi, unajua Hassan Rouhan alikua wa misimamo ya wastani halafu mpole mpole hivi huyu ni kiboko ya maadui wa Iran, Israel wajiandae kisaikolojia

Jamaa anajulikana kwa jina la Sayyid Ebrahim Rais

Raeisi alipata karibu asilimia 62 ya kura zote zilizopigwa katika uchaguzi huo na anatazamiwa kuchukua nafasi ya Rais Hassan Rouhani ambaye anamaliza muhula wake wa pili baada ya kushikilia nafasi hiyo kwa muda wa miaka minane.

Katika ujumbe wake, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amesema Raesi ameleta matumaini katika taifa la Iran na mataifa mengine ya eneo kwa ushindi wake.

Ubalozi wa Palestina mjini Tehran umetangaza kuwa Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametuma ujumbe wa kumpongeza Raeisi kwa ushindi wake huku akisisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kirafiki wa Iran na Palestina.

Naye Emir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani amemtakia Raeisi mafanikio na pia ameelezea matumaini yake kuwa uhusiano wa Iran na Qatar utazidi kuimarika. Kwa upande wake Sultan wa Oman Haitham bin Tariq Aal Said amemtumia salamu za kheri na fanaka rais mteule wa Iran na kuwatakia Wairani ustawi na ufanisi.

Israel washaanza kutetemeka na uwoga kuhusu jamaa maana jamaa ni balaa hata hao mashoga wanamuogopa balaa ona Kwanini Israel ina wasiwasi kuhusu Rais mpya wa Iran? - BBC News Swahili

Israel yasema rais mpya wa Iran ni changomoto kwa jamii ya kimataifa

Pia ana mke msomi mama wa watoto wawili wa kike. Here is Iran's potential first lady, Jamileh Alamolhoda, "the Director of the Research Institute for the Family of the National University of Iran" presenting her paper at the Dialogue of Civilization Rhodes Forum 2015:

In addition, Jamileh is likewise an autonomous lady. She is a head of the Research Institute for the group of the National University of Iran.

Jamileh_Alamolhoda.jpg
unnamed.jpg
unnamed%20(1).jpg
unnamed%20(2).jpg
 
kule ibrahim raisi huku Naftali Bennet lazima kitaeleweka tuu kabla ya december 31!uwezo wa Iran kijeshi hivi sasa ni sawasawa na ule uwezo wa Misri iliyopigwa na Israel 1967.
 
Mimi ninachotaka kusema no kwamba Israel ukianza kupga mtu make huk kuanzisha Uzi mkilalamika
 
US na Israel wanapenda hao misimamo mikali ili wapate sababu nzuri ya safisha vizuri, Iran aende polepole tuu maana hana jeshi la kusimama na US, only way kuwasumbua US ni ugaidi tuu ila watakupata tuu mwishoni, jeshi la ndege, meli, makombora na tanks watakumaliza in days
 
[[Putting on Tin-Foil-Hat]]

Deep State ya Wairan ni dugu moja na (Deep) State ya Israel. It follows, hakutakuwa na vita kati ya Iran na Israel unless iwanufaishe (deep) state ya Israel.

[[/Putting off Tin-Foil-Hat]].

Kwa nini humu JF ni kama vile watu wanafanya fantasy-football ya vita baina ya Iran na Israel?

"Vita siyo mchezo, wala siyo lelemama!" -- Mwalimu Julius K. Nyerere, 1978.
 
Iran inaongoza kwa Rushwa... Inamaana Kimsboy anaipenda Israel hadi anaipa tahadhari kuwa ijiandae vizuri kumtwanga Iran.. aisee... Iran hii inayolipuliwa kila wiki viwanda vyake hadi majuzi wamezima off kinu chao cha nukria cha Busher
 
Kila la heri kwake

Omani ni lazima ampongeze, ni maswahiba wa nchi mbili hizo miaka mingi mnoo
 
Another Mahmoud ahmedinajad na huyu ni zaidi ahmedinajad jamaa ana misimamo mikali balaa

Hapo middle east lazima heshima irudi, unajua Hassan rohan alikua wa misimamo ya wastani halafu mpole mpole hivi huyu ni kiboko ya maadui wa Iran, Israel wajiandae kisaikolojia

Jamaa anajulikana kwa jina la Sayyid Ebrahim Rais

Raeisi alipata karibu asilimia 62 ya kura zote zilizopigwa katika uchaguzi huo na anatazamiwa kuchukua nafasi ya Rais Hassan Rouhani ambaye anamaliza muhula wake wa pili baada ya kushikilia nafasi hiyo kwa muda wa miaka minane.

Katika ujumbe wake, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amesema Raesi ameleta matumaini katika taifa la Iran na mataifa mengine ya eneo kwa ushindi wake. Ubalozi wa Palestina mjini Tehran umetangaza kuwa Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ametuma ujumbe wa kumpongeza Raeisi kwa ushindi wake huku akisisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa kirafiki wa Iran na Palestina.

Naye Emir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani amemtakia Raeisi mafanikio na pia ameelezea matumaini yake kuwa uhusiano wa Iran na Qatar utazidi kuimarika. Kwa upande wake Sultan wa Oman Haitham bin Tariq Aal Said amemtumia salamu za kheri na fanaka rais mteule wa Iran na kuwatakia Wairani ustawi na ufanisi.

Israel washaanza kutetemeka na uwoga kuhusu jamaa maana jamaa ni balaa hata hao mashoga wanamuogopa balaa ona Kwanini Israel ina wasiwasi kuhusu Rais mpya wa Iran? - BBC News Swahili

Israel yasema rais mpya wa Iran ni changomoto kwa jamii ya kimataifa

Pia ana mke msomi mama wa watoto wawili wa kike....Here is Iran's potential first lady, Jamileh Alamolhoda, "the Director of the Research Institute for the Family of the National University of Iran" presenting her paper at the Dialogue of Civilization Rhodes Forum 2015:

In addition, Jamileh is likewise an autonomous lady. She is a head of the Research Institute for the group of the National University of Iran.


View attachment 1824903View attachment 1824907View attachment 1824908View attachment 1824909
Eti Israel anatetemeka.We muongo, umejuaje.Ulienda Isreal ukawaona wnatetemeka
 
US na Israel wanapenda hao misimamo mikali ili wapate sababu nzuri ya safisha vizuri, Iran aende polepole tuu maana hana jeshi la kusimama na US, only way kuwasumbua US ni ugaidi tuu ila watakupata tuu mwishoni, jeshi la ndege, meli, makombora na tanks watakumaliza in days
Katika ubongo wako niambie ni lini Israel au marekani,au ni nchi gani imewahi wapiga wairani?
 
Back
Top Bottom