Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Mm ni mpenzi wa mpira sana,huwa nafuatilia michuano mbalimbali hata kama sitoiangalia kwenye TV huwa naangalia kwenye flash score yangu.
Kwa sasa kuna hii FIFA Arab cup inayoendelea huko Qatar, Mpaka Comoro na South Sudan wamo ila Jumuhuri ya Kiislamu Iran haipo.
Kuna tatizo gani ndugu zangu waarabu wa Buza?
Msemaji wa wa Iranvkwa Tanzania ndugu kimsboy unajua chochote cha kutokuwepo kwenye michuano hiyo?
Kwa sasa kuna hii FIFA Arab cup inayoendelea huko Qatar, Mpaka Comoro na South Sudan wamo ila Jumuhuri ya Kiislamu Iran haipo.
Kuna tatizo gani ndugu zangu waarabu wa Buza?
Msemaji wa wa Iranvkwa Tanzania ndugu kimsboy unajua chochote cha kutokuwepo kwenye michuano hiyo?