iran

  1. sky soldier

    VIDEO: Biden aitamka Iran badala ya Ukraine kwenye hotuba muhimu ya hali ya kitaifa (sotu)

    State of the union ni hotuba yenye uzito mkubw ambayo hutolewa na raisi wa marekani mara moja kwa mwaka kuhusu ya hali ya kitaifa. Jana yalitokea mambo ya kushangaza kwenye hii hotuba, Joe Biden ana ugonjwa wa akili wa "Dimentia" anaouficha ila huwa unamuumbua mara kwa mara hadharani, hapo...
  2. M

    Japo Urusi ni hatari akisaidiwa na Korea Kaskazini, China na Iran, ila kwa Kikosi cha Marekani kilichotua mpakani bado Marekani ni Mbabe wa dunia

    Kuna Silaha mpya, za aina yake na za Kisayansi kama si za Kiteknolojia zaidi naziona kwa Kikosi cha Marekani na najua zitakuja Kufika na hata kutumika Tanzania labda mwaka wa 5000. Namheshimu mno Mrusi ila kwa hiki Kiburi ambacho anapewa na Kujazwa na Washirika wake Wakuu Korea Kaskazini na...
  3. Suley2019

    Iran yarudisha chanjo za Corona 'zilizotengenezwa Marekani'

    Iran imerudisha dozi 820,000 za chanjo ya virusi vya corona iliyotolewa kama msaada na Poland kwa sababu ilitengenezwa Marekani. Televisheni ya taifa siku ya Jumatatu ilimnukuu Mohammad Hashemi, afisa wa wizara ya afya, akisema kwamba Poland ilitoa takriban dozi milioni moja za chanjo ya...
  4. John Haramba

    Kiongozi wa juu wa Iran awakosoa Rais Biden, Trump asema wameharibu sifa ya Marekani

    Picha: Ayatollah Ali Khamenei Kiongozi wa juu kabisa mwenye usemi wa mwisho nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amewatuhumu Rais wa sasa wa Marekani, Joe Biden, na mtangulizi wake, Donald Trump, kwa kuiharibu sifa ya Marekani. Ukosoaji huo wa moja kwa moja ni hatua ya nadra kufanywa na...
  5. kimsboy

    Iran imewaua makamanda wawili wa Israel mwezi huu

    Mwaka umeanza kwa Iran kuwaua makamanda watatu wa Israel. Hatimaye Iran yafanya mauaji ya makamanda wa juu wa jeshi la Israel na Marekani kimya kimya kwa kulipa kisasi cha Major General Qasem Solaiman. Ajali hiyo ilitokea ya Helcopter huko Israel na iran imetangaza kuhusika na mauaji hayo na...
  6. beth

    Iran yataka Trump ashtakiwe kwa mauaji ya Jenerali Soleimani

    Rais Ebrahim Raisi amesema aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anapaswa kuwajibishwa kwa nafasi yake katika mauaji ya Jenerali Qassem Soleimani yaliyotokea miaka miwili iliyopita, au Iran italipiza kisasi Raisi ametaka kuundwa Mahakama ya Haki ambayo Trump, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya...
  7. Sky Eclat

    Gate of All Nations also known as Gate of Xerses at Persepolis, Iran 486-465 BC

    Gate of All Nations also known as Gate of Xerses at Persepolis, Iran 486-465 BC Haya mawe yamesimama bila nguzo ya chuma, utaalamu wa kuunganisha mawe namna hii haupo tena. Vifaa walivyotumia kuchocngea mawe yawe na umbo la beast. Kweli zamani kulikua na utaalamu.
  8. kimsboy

    Iran: Tutazinyuka kambi zote za Israel na nchi yoyote itakayomsaidia

    SHAMBULIO LOLOTE DHIDI YA IRAN, ITAJIBIWA BILA KUSITA KWA NGUVU ZOTE Iran imesema kwamba, italipa kisasi kwa shambulio lolote litakalofanywa na Israel dhidi ya Iran. Commander wa jeshi la Iran alisema hivyo kupitia chombo cha habari cha Iran inayohusiana na ulinzi wa nchi hiyo. "Kama Israel...
  9. kimsboy

    Israel: Waziri wa Ulinzi Benny Gantz aiambia Israel ijiandae kwa vita dhidi ya Iran

    Benny Gantz Waziri wa ulinzi wa Israel ametoa maelekezo ya kuishambulia Iran hivi leo mara baada ya kupewa ruksa ya kuichapa Iran. Waziri huyo wa ulinzi ameshalielekeza jeshi la anga jinsi ya kuipiga Iran bila kukosea target. Pia majuzi Iran imesambaza wanajeshi wake mashariki ya kati kwa...
  10. Jackal

    Israel yashambulia ngome ya Iran huko Syria

    Mashambulizi hayo yasababisha mlipuka mkubwa! Syria’s military said Israeli warplanes fired missiles on the port of the coastal city of Latakia early Tuesday without inflicting any human losses. -------- Syria’s state media quoted an unnamed military official as saying that several missiles...
  11. jollyman91

    Intercontinental beach soccer cup: Iran 6-1 Japan

    Iran have sealed their progression into the knockout stages, with a commanding 6-1 win over Japan in Group B of the 2021 Inter-continental Beach Soccer Cup in Dubai. After a goalless action in the opening time-frame, Team Melli took the lead, early in the second period through Mohammad Ali...
  12. jollyman91

    Iran Navy foils pirate attack on Iranian oil tanker en route to Gulf of Aden

    Iran Navy foils pirate attack on Iranian oil tanker en route to Gulf of Aden The file photo shows an Iranian oil tanker belonging to the National Iranian Tanker Company. The Iranian naval forces have managed to thwart a pirate attack on one of the country’s oil tankers en route to the Gulf of...
  13. The Dictator

    IRAN: Ni nchi pekee duniani watu wanaruhusiwa kuuza figo zao kihalali

    Unaambiwa! Ikiwa biashara ya viungo vya ndani vya binadamu bado ni haramu katika nchi karibia zote duniani, Iran ndio nchi pekee duniani inayotoa vibali na ruhusa kwa watu kuuza figo zao kihalali. Serikali huandikisha wanunuzi na wauzaji, kuwalinganisha na kuweka kiwango cha bei elekezi kwa...
  14. kimsboy

    Zimebaki siku 10 za Israel kuishambulia Iran

    Hawa jamaa walitangaza siku 60 tu za kuishambulia Tumehesabu leo ni siku ya 50 bado siku kumi tu Na wanasema maana walidai ndani ya siku 60 iran atakua na bomu kamili Sasa na Iran alivyo kichaa akaongeza kurutubisha mpaka 80% huko if am not mistaken kama nimekosea percentage mnambie Tukasema...
  15. kimsboy

    Mgogoro wa Iran Vs Azerbaijan (Israel) Vs Armenia vita vitalipuka soon

    Israel ilikua inataka kuishambulia Iran kupitia Azerbaijan ambayo ni nchi jirani ni Iran Tayari inasekemana ndege za Israel za F-35 zipo ndani ya Azerbaijani tayar kuishambulia Iran Wakati huo huo Iran imeshaonya kwamba ikiguswa tu basi Kitawaka...Iran ilipeleka boti za kivita 400 mpakani na...
  16. jollyman91

    Kubainishwa misimamo ya Iran kuhusu Syria katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Katika miaka ya hivi karibuni Syria imekuwa ikikabiliwa na vita na harakati kubwa za makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na Marekani na sehemu ya ardhi ya nchi hiyo ikadhibitiwa na kukaliwa kwa mabavu na magaidi. Hadi sasa vita hivyo vimesababisha maafa na mauaji ya makumi ya maelfu ya wananchi...
  17. jollyman91

    Kamanda wa jeshi la nchi kavu la Iran: Tunazifuatilia kikamilifu harakati za Wazayuni

    Kamanda wa vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa tangu uje utawala wa Kizayuni karibu na mipaka ya nchi, Iran imezidi kuguswa na suala la usalama wa mpaka wake wa kaskazini magharibi na kwa sababu hiyo harakati za utawala huo haramu zinafuatiliwa...
  18. jollyman91

    Iran engages in only results-oriented talks; high time for US to wake up to new reality: Foreign Ministry

    The spokesman for Iran’s Foreign Ministry has once again reiterated Tehran’s resolve to engage in only results-oriented talks on ways to revive a nuclear deal it snatched with world powers in 2015, saying it is high time for the United States, which unilaterally abandoned the agreement, "to wake...
  19. jollyman91

    IRGC terms Iraq’s war against Iran as guarantor of US expulsion from region

    The Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) has hailed the victorious defense of the Iranian nation during Iraq’s imposed war in the 1980s as an “undeniable truth” and a guarantor of the expulsion of American forces from the region. In a statement marking the 41st anniversary of the 8-year war...
  20. jollyman91

    Over 49 Million Doses of COVID Vaccine Injected in Iran

    TEHRAN (Tasnim) – The Iranian Health Ministry said on Friday that more than 49 million jabs of COVID-19 vaccines have been injected across the country. New figures released by the Health Ministry of Iran indicate that more than 49 million doses of coronavirus vaccines have been administered in...
Back
Top Bottom