kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Israel ilikua inataka kuishambulia Iran kupitia Azerbaijan ambayo ni nchi jirani ni Iran
Tayari inasekemana ndege za Israel za F-35 zipo ndani ya Azerbaijani tayar kuishambulia Iran
Wakati huo huo Iran imeshaonya kwamba ikiguswa tu basi Kitawaka...Iran ilipeleka boti za kivita 400 mpakani na Azerbaijani na tayari wamerusha ndege za kivita juu na mifumo ya ulinzi na jeshi la iran lipo macho
Huku na huku kumbe Azerbaijani na Iran wana mkataba kwamba ni marufuku adui wa kati ya nchi hizo mbili kutumia anga au ardhi yao kuishambulia nchi hizi
Iran ameapa hatoruhusu israel iweke base karibu yake yaani hapo Azerbaijani na baada ya Azerbaijani kumkaribisha Israel kuna taarifa kwamba Amernia ambaye ni adui wa Azerbaijani ameiruhusu Iran kuweka kituo cha kijeshi nchini mwake kitu ambacho Azerbaijani kitamcost sana...
Israel anataka kuishambulia Iran kupitia Azerbaijani
Azerbaijan na Iran wana mfanano wa kidini wote ni waislam wa Shia Lakini Azerbaijani anaungwa mkono na Uturuki ambaye ni sunni japo waazeri na waturuki wanafanana kitamaduni muonekano hadi Lugha kwa lugha rahisi unaweza sema ni waturuki wale
Azerbaijan wanahofia kwa kua wao ni shia basi nchi yao isije ikawa kama ya kimapinduzi km iran yaan anahofia ushawahi wa Iran nchini mwake usije zalisha jamhuri ya kiislam kwa kua ni Shia
Iran anamuunga mkono Armenia ambaye ni adui wa Azerbaijan Armenia ni nchi ya kiikristo na wale wanafanana na Warusi hadi kiitikadi na ukristo wao ni wa kiothodox ambao ni sawa ni warusi walowengi
Sasa huu mgogoro una sura ya hivi
Iran/Russia/Armenia Vs Azerbaijani/Turkey/Israel
Nitazidi kuwapa updates
Pichani ni Rais wa Azerbaijani cheki walivyofanana na waturuki
Update: Iran imepeleka mfumo wa kujilinda wa makombora karibu na mpaka wake na Azerbaijan
Israel inatarajia kufanya mazoezi makubwa kaskazini mwa Israel
Tayari inasekemana ndege za Israel za F-35 zipo ndani ya Azerbaijani tayar kuishambulia Iran
Wakati huo huo Iran imeshaonya kwamba ikiguswa tu basi Kitawaka...Iran ilipeleka boti za kivita 400 mpakani na Azerbaijani na tayari wamerusha ndege za kivita juu na mifumo ya ulinzi na jeshi la iran lipo macho
Huku na huku kumbe Azerbaijani na Iran wana mkataba kwamba ni marufuku adui wa kati ya nchi hizo mbili kutumia anga au ardhi yao kuishambulia nchi hizi
Iran ameapa hatoruhusu israel iweke base karibu yake yaani hapo Azerbaijani na baada ya Azerbaijani kumkaribisha Israel kuna taarifa kwamba Amernia ambaye ni adui wa Azerbaijani ameiruhusu Iran kuweka kituo cha kijeshi nchini mwake kitu ambacho Azerbaijani kitamcost sana...
Israel anataka kuishambulia Iran kupitia Azerbaijani
Azerbaijan na Iran wana mfanano wa kidini wote ni waislam wa Shia Lakini Azerbaijani anaungwa mkono na Uturuki ambaye ni sunni japo waazeri na waturuki wanafanana kitamaduni muonekano hadi Lugha kwa lugha rahisi unaweza sema ni waturuki wale
Azerbaijan wanahofia kwa kua wao ni shia basi nchi yao isije ikawa kama ya kimapinduzi km iran yaan anahofia ushawahi wa Iran nchini mwake usije zalisha jamhuri ya kiislam kwa kua ni Shia
Iran anamuunga mkono Armenia ambaye ni adui wa Azerbaijan Armenia ni nchi ya kiikristo na wale wanafanana na Warusi hadi kiitikadi na ukristo wao ni wa kiothodox ambao ni sawa ni warusi walowengi
Sasa huu mgogoro una sura ya hivi
Iran/Russia/Armenia Vs Azerbaijani/Turkey/Israel
Nitazidi kuwapa updates
Pichani ni Rais wa Azerbaijani cheki walivyofanana na waturuki
Update: Iran imepeleka mfumo wa kujilinda wa makombora karibu na mpaka wake na Azerbaijan
Israel inatarajia kufanya mazoezi makubwa kaskazini mwa Israel