Kumbe USA mdabwada, Iran ameshinda?

Kumbe USA mdabwada, Iran ameshinda?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,825
Reaction score
101,010
Nilitegemea within a week or so, Iran awe " amekufa". Mpaka leo anadunda tena kwa kishindo cha ushindi!

Kumbe USA ni maneno tu hana ubavu wa kupigana Vita!

I stand to be corrected!
 
Maneno yako yamekaa kichokozi ili mtu ajichanganye kumwagika ya moyoni 😂
 
Natamani mngesema "Kumbe wabongo mdabwada" baada ya kujidai waandamanaji, ujuaji wa wabongo umerudi USA, kuchochea wenzenu wauwane tu nyie ya kwenu vita ya risasi imewashinda 😂
 
Nilitegemea within a week or so, Iran awe " amekufa". Mpaka leo anadunda tena kwa kishindo cha ushindi!

Kumbe USA ni maneno tu hana ubavu wa kupigana Vita!

I stand to be corrected!
kwani who is USA gentleman?
USA ni unafiki tu ndio humsaidia katika kutisha mataifa mengine , bt kiukweli USA ni miongoni mwa very weak nation on earth
 
Waliouliwa viongozi wote wa juu na wa kijeshi ndio washindi tena?

Misheni ya Marekani ishatimia kitambo
Kama keshatumiza misheni yake aondoke basi huko Iran ili dunia ipate nafuu ya maisha
 
kwani who is USA gentleman?
USA ni unafiki tu ndio humsaidia katika kutisha mataifa mengine , bt kiukweli USA ni miongoni mwa very weak nation on earth
Najua unaamini kupigana na Marekani ni rahisi kuliko hata kusugua kimbene cha fazafaka wa Kizimkazi.
 
Mission ilikuwa kuwaua viongozi , halafu wana wavamie ..USA amebakiwa na nuclear bomb tu ..Hana silaha ya kumtisha Iran . Baada walifanikiwa kuwaua viongozi kama wote , poaah! wairan hawakuandamana.
 
Nilitegemea within a week or so, Iran awe " amekufa". Mpaka leo anadunda tena kwa kishindo cha ushindi!

Kumbe USA ni maneno tu hana ubavu wa kupigana Vita!

I stand to be corrected!
Kumbe Iran kudunda hadi leo ndio maana yake wameshinda
 
Nilitegemea within a week or so, Iran awe " amekufa". Mpaka leo anadunda tena kwa kishindo cha ushindi!

Kumbe USA ni maneno tu hana ubavu wa kupigana Vita!

I stand to be corrected!
Wacheni kumvimbisha kichwa, amesundwa na hana nguvu tena za kiasi kama alizokuwa nazo kabla ya vita. Atadunda wapi wakati viongozi wakuu wameuawa! Yuko wapi Ayatollah Ali Khamenei?
 
Nilitegemea within a week or so, Iran awe " amekufa". Mpaka leo anadunda tena kwa kishindo cha ushindi!

Kumbe USA ni maneno tu hana ubavu wa kupigana Vita!

I stand to be corrected!
Trump aliingizwa mkenge na Netanyau
 
Kutokana na mvutano wa kisiasa wa wao wenyewe ndani ya US, imefubaza uwekezaji wa fedha nyingi kwenye vita.
 
Back
Top Bottom