Marekani imekataa pendekezo la Iran kwa ukamilifu.

Marekani imekataa pendekezo la Iran kwa ukamilifu.

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
8,082
Reaction score
6,971
Kulingana na mwandishi mkuu wa Al Jazeera huko Tehran, Marekani imekataa pendekezo la Iran kwa ukamilifu na wakati wowote Iran itaanza kupigwa!!

Pendekezo la Iran lilijumuisha masharti 5 ambayo lazima yatimizwe kabla ya kuanza mazungumzo:

1. Kumaliza vita katika pande zote
2. Kuondoa vikwazo vyote
3. Kuachilia mali zilizozuiliwa
4. Kufidia uharibifu wa vita na hasara
5. Kutambua haki ya uhuru ya Iran juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz

Marekani ilikataa yote.
 

Attachments

  • IMG_20260515_145825_022.jpg
    IMG_20260515_145825_022.jpg
    156 KB · Views: 1
Huyo ndio shekh Mojtaba kwanza kabla ya kuanza mazungumzo clear vipolo mlikuwa mmemzoea yule mzee kumsumbua sumbua na mazungumzo yasio na maana sasa hapo ndio kisiki, hawawezi kuzungumza ikiwa uwanja umelala upande mmoja
 
Huyo ndio shekh Mojtaba kwanza kabla ya kuanza mazungumzo clear vipolo mlikuwa mmemzoea yule mzee kumsumbua sumbua na mazungumzo yasio na maana sasa hapo ndio kisiki, hawawezi kuzungumza ikiwa uwanja umelala upande mmoja
Majitaka mwenyewe hajulikani yuko wapi na ana hali gani Iran kwa sasa haina viongozi ndiyo maana hakuna uelekro!!
 
Japo mimi ni pro USA na Israel ila mbona hapa kama Marekani inazingua, au Kuna nini nyuma ya pazia, muda wote shida yangu ni moja tu, Iran kusahau mpango wa manyuklia, mazombi ya makobaz hawapaswi kuruhusiwa kumiliki nyuklia, hata Pakistan sijui ilitokeaje wakaruhusiwa.
Haya masharti mengine yanatekelezeka.
 
Back
Top Bottom