Uenezaji wa Injili
Injili ni Nini
Neno injili limetokana na neno la Kigiriki “euaggelion” lenye maana ya Habari Njema. Hivyo, injili maana yake ni Habari Njema. Katika biblia, injili maana yake ni “Habari Njema za Yesu Kristo”. Habari yo yote inayomhusu Bwana Yesu Kristo, kuzaliwa kwake, kuishi...