indonesia

Indonesia ( (listen) IN-də-NEE-zhə), officially the Republic of Indonesia (Indonesian: Republik Indonesia [reˈpublik ɪndoˈnesia] (listen)), is a transcontinental country in Southeast Asia and Oceania, between the Indian and Pacific oceans. It is the world's largest island country, with more than seventeen thousand islands, and at 1,904,569 square kilometres (735,358 square miles), the 14th largest by land area and 7th in the combined sea and land area. With over 267 million people, it is the world's 4th most populous country as well as the most populous Muslim-majority country. Java, the world's most populous island, is home to more than half of the country's population. The country's capital, Jakarta, is the second-most populous urban area in the world.
The sovereign state is a presidential, constitutional republic with an elected legislature. It has 34 provinces, of which five have special status. The country shares land borders with Papua New Guinea, East Timor, and the eastern part of Malaysia. Other neighbouring countries include Singapore, Vietnam, the Philippines, Australia, Palau, and India's Andaman and Nicobar Islands. Despite its large population and densely populated regions, Indonesia has vast areas of wilderness that support a high level of biodiversity. The country has abundant natural resources like oil and natural gas, coal, tin, copper, gold, and nickel, while agriculture mainly produces rice, palm oil, tea, coffee, cacao, medicinal plants, spices, and rubber. China, the United States, Japan, Singapore, and India are Indonesia's major trading partners.
The Indonesian archipelago has been a valuable region for trade since at least the 7th century when Srivijaya and then later Majapahit traded with entities from mainland China and the Indian subcontinent. Local rulers gradually absorbed foreign influences from the early centuries and Hindu and Buddhist kingdoms flourished. Sunni traders and Sufi scholars brought Islam, while Europeans introduced Christianity through colonisation. Although sometimes interrupted by the Portuguese, French and British, the Dutch were the foremost colonial power for much of their 350-year presence in the archipelago. The concept of "Indonesia" as a nation-state emerged in the early 20th century and the country proclaimed its independence in 1945. However, it was not until 1949 that the Dutch recognised Indonesia's sovereignty following an armed and diplomatic conflict between the two.
Indonesia consists of hundreds of distinct native ethnic and linguistic groups, with the largest one being the Javanese. A shared identity has developed with the motto "Bhinneka Tunggal Ika" ("Unity in Diversity" literally, "many, yet one"), defined by a national language, ethnic diversity, religious pluralism within a Muslim-majority population, and a history of colonialism and rebellion against it. The economy of Indonesia is the world's 16th largest by nominal GDP and 7th by GDP at PPP. The country is a member of several multilateral organisations, including the UN, WTO, IMF, G20, and a founding member of Non-Aligned Movement, Association of Southeast Asian Nations, Asia-Pacific Economic Cooperation, East Asia Summit, Asian Infrastructure Investment Bank, and Organisation of Islamic Cooperation.

View More On Wikipedia.org
  1. stakehigh

    Tamko la Indonesia kwa Marekani baada ya kuvamia Venezuela na kumkamata Rais Maduro

    Indonesia is monitoring developments in Venezuela to ensure the safety of its citizens, Foreign Ministry Spokesperson Yvonne Mewengkang said. “Indonesia also calls on all relevant parties to prioritize peaceful resolution through de-escalation and dialogue, while prioritizing the protection of...
  2. Echolima1

    Rais wa Indonesia anatarajiwa kuitembelea Israel Kesho!!!

    BREAKING NEWS: Rais wa Indonesia anatarajia kuitembelea Israel kesho, vyombo vya habari vya Israel vinaripoti. Natumaini hili litatokea. Wakati wa kufanya amani. 🇮🇱🇮🇩
  3. ndege JOHN

    Chagua nchi Moja ya kufanya kazi kati ya Misri, Israel,South Africa, Brazil au Indonesia

    Assume umepewa nafasi ya kazi Moja na mshahara mmoja ila katika nchi hizi tano(5) umeambiwa uchague Nchi Moja utachagua ipi kati ya Misri,SA, Indonesia,au Brazil, au Israel utachagua ipi?
  4. R

    Rais wa Indonesia awatimua Mawaziri watano kufuatia Maandamano ya wananchi

    Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, amefanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri Jumatatu Septemba 8, 2025 kufuatia maandamano yenye vurugu yaliyozuka nchini kote kupinga marupurupu ya wabunge na kupanda kwa gharama za maisha. Hatua hiyo imekuja baada ya kuongezeka kwa malalamiko ya...
  5. Nyani Ngabu

    “Your English is so good”, Trump amwambia Rais wa Indonesia

    Jana wakati Rais Trump alipokutana na baadhi ya viongozi wa nchi za Afrika Magharibi, alimsifia Rais wa Liberia kwa kuongea Kiingereza kizuri. Maneno hayo ya Trump yamezua mjadala. Kuna wanaodai Trump alionyesha dharau. Kuna wanaodai Trump alionyesha ujinga wake kwa sababu Liberia lugha rasmi...
  6. Echolima1

    Rais wa Indonesia Prabowo Subianto: Tuko tayari kuitambua Israel ikiwa Israel itaitambua Palestina

    Rais wa Indonesia Prabowo Subianto alisema Indonesia iko tayari kutambua na kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel ikiwa Tel Aviv italitambua taifa la Palestina. Iwapo Indonesia inataka uhusiano wa kidiplomasia, wanapaswa kusaidia kwa kuchukua baadhi ya ndugu zao Waislamu—Wapalestina...
  7. Yoda

    Putin akimcheka na kumrekebisha Waziri wake kuhusu mauzo ya kitimoto Indonesia

    Hii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi nyingi ikiwemo Indonesia taifa lenye Waislamu wengi zaidi duniani, ndipo Putin akamuambia Indonesia...
  8. S

    Utafiti unafanywa kupendekeza Israel ifukukuzwe uanachama wa Umoja wa Mataifa, Indonesia, Malaysia, Norway, Namibia, Qatar zikiunga mkono wazo hili

    Matukio ya hivi karibuni huko Gaza na Lebanon ambayo yameonwa na wadau wengi kuwa ni ukiukwaji mkubwa wa Israel wa haki za binadamu na kuvunja kanuni za Umoja wa Mataifa, yamefanya baadhi ya nchi kuanza mkakati wa kuandaa pendekezo la kuwaondolea Israel uanachama wa Umoja wa Mataifa. Nini...
  9. Waufukweni

    Indonesia imepiga marufuku uuzaji na matumizi ya iPhone 16 na Apple Watch Series 10

    Indonesia imepiga marufuku uuzaji na matumizi ya iPhone 16 na Apple Watch Series 10 kutoka Apple kutokana na kampuni hiyo kushindwa kutimiza ahadi za uwekezaji. Serikali ya Indonesia imesema kuwa Apple haijatekeleza ahadi zake za kifedha, jambo lililosababisha uamuzi huo. Kampuni hiyo ya...
  10. State Propaganda

    Indonesia kuanza kununua mafuta ya Urusi yaliyowekewa vikwazo

    Bila ya kujali vikwazo vya marekani na washirika wake dhidi ya Urusi, taifa hilo lililopo barani Asia lenye uchumi mkubwa unaokua kwa kasi limetangaza uamuzi wake wa kununua nishati ya mafuta yenye gharama ndogo kutoka Urusi. Hii inadhiirisha hakuna tena mtu anayeogopa vikwazo vya kiuchumi...
  11. Stephano Mgendanyi

    Tanzania na Indonesia Kuimarisha Ushirikiano Katika Sekta ya Madini

    TANZANIA NA INDONESIA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MADINI - Kuongeza nguvu katika utafiti wa madini - Wawekezaji kwenye viwanda vya kuongeza thamani madini mkakati wakaribishwa. - Mpango wa kuwaendeleza wachimbaji wadogo wajadiliwa Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde leo...
  12. Mad Max

    Indonesia vs Tanzania | Friendlies | June 2, 2024 | GBK Madya Stadium (Indonesia) | 12:00 PM EAT

    Majira ya saa 6 za mchana (sawa na saa 10 jioni Indonesia), vijana wa Taifa Stars watamenyana na timu ya Taifa ya Indonesia katika mechi ya kirafiki. Uwanja ni ule ule GBK Madya Stadium (Gelora Bung Karno Madya Stadium) uliopo Jakarta, wenye capacity ya watu elfu 9 tu, ambao ulifunguliwa...
  13. T

    Chile yaungana na Mexico, Indonesia, Brazil na Afrika Kusini kwenye kesi dhidi ya Israel

    Nchi ya Chile imeamua kuungana na nchi za Mexico, Columbia, Brazil, Indonesia na South Africa kwenye kesi dhidi ya Israel kwenye mahakama ya kimatiafa. Rais Chile amesema inachofanya Israel kuua watoto na wanawake haikubaliki kwa mtu yeyote mwenye akili timamu. Chile joins developing nations...
  14. MK254

    Indonesia, nchi ya kiislamu yakubali kuwa na uhusiano na Israel

    Hawa wametia akili na kuacha muarabu abaki na bifu zake kwenye dini yake.... ==== OECD Secretary-General Mathias Cormann Indonesia, the largest Muslim country in the world, will normalize ties with Israel in exchange for Jerusalem’s approval of its request to join the Organization for...
  15. Roving Journalist

    Rais Samia afanya Mazungumzo na Rais Joko Widodoya wa Indonesia, Jakarta, Alhamisi ya Januari 25, 2024

    https://www.youtube.com/watch?v=BTFeRepAxVg Rais Samia Suluhu Hassan amewasili katika Viwanja vya Makazi ya Rais (Bogor Presidential Palace) Jijini Jakarta, Indonesia na kupokelewa na mwenyeji wake Rais Joko Widodo ikiwa ni sehemu ya ziara ya siku mbili nchini hapo. Rais Joko Widodo ambaye...
  16. Roving Journalist

    Rais Samia awasili Nchini Indonesia kwa ziara ya siku tatu, Januari 24 na 26, 2024

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang na kupokelewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Pahala Nugraha Mansury kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini...
  17. Roving Journalist

    Ziara ya Kitaifa ya Rais Samia katika Jamhuri ya Indonesia tarehe 24-26 Januari 2024

    ZIARA YA KITAIFA YA RAIS SAMIA KATIKA JAMHURI YA INDONESIA TAREHE 24-26 JANUARI 2024 Taarifa ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba kuelezea ziara za Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika nchi za Indonesia. Dkt. Samia...
  18. B

    Dkt. Samia Suluhu Hassan atafanya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia kuanzia tarehe 24 – 26 Januari 2024

    21 January 2024 Dkt. Samia Suluhu Hassan atafanya ziara nchini Indonesia kuanzia tarehe 24 – 26 Januari 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan atafanya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia kuanzia tarehe 24 – 26 Januari 2024, kufuatia mwaliko wa Rais wa...
  19. Stephano Mgendanyi

    Waziri Dkt. Ashatu Kijaji - Tanzania, China, Uturuki na Indonesia Kuendeleza Ushirikiano wa Kibiashara

    Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo kuhusu kuendeleza ushirikiano wa kibiashara baina ya Tanzania na Indonesia na Balozi wa Indonesia nchini Mhe. Tri Yogo Jatmiko Septemba 9, 2023 katika Ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam...
  20. Ricky Blair

    Visa ya Uturuki na Indonesia

    Kwa wanaosafiri; Nataka kujua ni kweli Evisa ya Turkey imeondolewa na now kupata iyo visa ni 500k? Pia nilisikia Indonesia wame suspend visa free kwao which cc TZ tulikuwa tuna enjoy for 30 days Km Malaysia, Singapore na Philippines. Kuna yoyote aliyekwenda Indonesia Ivi karibuni au Uturuki...
Back
Top Bottom