imara

The Naval Infantry Command (Spanish: Comando de la Infantería de Marina, COIM), also known as the Naval Infantry of the Navy of the Argentine Republic (Spanish: Infantería de Marina de la Armada de la República Argentina, IMARA) and generally referred to in English as the Argentine marines are the amphibious warfare branch of the Argentine Navy and one of its four operational commands.
The Argentine marines trace their origins to the Spanish Naval Infantry, which took part in conflicts in South America in the eighteenth and nineteenth centuries. Argentine marines took part in various conflicts of the nineteenth and twentieth century, notably the War of the Triple Alliance and the Falklands War. The marines (represented by the 5th Naval Infantry Battalion) are considered to have been among the best Argentine combat units present in the Falklands. The most recent war in which Argentine naval infantry took part was the Gulf War of 1990.
Today Argentine naval infantry are frequently deployed on UN peace-keeping missions.

View More On Wikipedia.org
  1. Bagabeach

    JamiiForums Tanzania Msimu ujao 2023/2024 Simba tunahitaji sajili hizi ili tuwe imara

    Salaam wakuu, hapa nataka mapendekezo ya wana michezo ni wachezaji gani SIMBA unahisi inawahitaji ili iwe bora zaidi msimu ujao, Binafsi napendekeza 1. Feisal Salum (feitoto) 2. Singano claude MIDFIELDER wa Al Hilal 3. Makabi lilepo STRIKER Al Hilal. Fikria kwa muono wako na taja nani unahisi...
  2. covid 19

    JamiiForums Tanzania Wanasimba tupo imara sana, tuna hali zaidi na furaha kubwa kusubili match yetu ya marudiano na wydad Casablanca.

    Huu ni ujumbe kwenye wenye visoklokwinyoooo na vijiba vya rohoo kwa simba. Simba ni team kybwa sana hapa Africa na duniani na tunatambua ili tuwe mabigwa africa lazima tucheze na mabigwa. Wanasimba hatuogopi team yoyote ile maana hao mnaosema watashinda sisi tulishawashinda teyariiiii...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nini kinafanya Marekani kuwa imara?

    Naomba kudadisi wataalamu mbalimbali watujuze nini kinafanya taifa hili kufanya vizuri katika section zake hadi kupelekea kuwa taifa kubwa na imara. Taifa hili la kibeberu limepiga hatua kubwa sana katika mambo yake, elimu, sanaa, technolojia, jeshi, huduma za kijamii kama afya mpaka dhambi...
  4. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Karatu: Ngome imara ya upinzani (CHADEMA) kwa upande wa bara

    Hapa nchini kumekuwa na fikra kwamba kaskazini kote ni ngome imara ya upinzani kwa majimbo karibu yote ila kwa tunaofahamu vizuri hiyo kanda tuko tofauti kidogo. Ni kweli wapinzani wamesimika mizizi kwenye baadhi ya majimbo ila mengi hayako imara kusimama na upinzani kwenye chaguzi zote. Kwa...
  5. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Mwananchi acheni kupotosha umma. Chato bado ipo imara tokea Hayati Magufuli afariki dunia

    Maisha ya wananchi wa Chato yanaendelea kama kawaida. Hakuna tawi la CRDB Chato lililofungwa. Hakuna mahala kuwa stendi imekwa stendi ya mabasi inatumika na mabasi ya mikoani yanapita stendi na kuchukua abiria. Mmeandika habari kwa uongo na unafiki. Chato sio Gbolite. Mnatakiwa kufungiwa kwa...
  6. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Nchi inabidi kuongozwa na mifumo thabiti na imara na si matamko ya wanasiasa. Wasomi tulisaidie Taifa

    Tumefika hapa tulipo kwa sababu hatuna mifumo ya kuongoza nchi. Inashangaza kuona anatokea mtu mmoja mjinga anavunja katiba ya nchi na bado anaendelea kuwa kiongozi. Hatuwezi kupiga hatua kama Taifa liashindwa kuwa na mfumo sahihi. Wasomi hakikisheni mnalikomboa Taifa kila kitu kinabi kuwa...
  7. chiembe

    JamiiForums Tanzania Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu ambaye hajajishughulisha kuhakikisha Serikali inakuwa na taasisi imara, ilibaki na hali ilivyo (status quo)

    Waziri Mkuu Khasim Majaliwa, baadhi ya wanaomjua, bila mamlaka ya kufokafoka kama aliyopewa na Magufuli, uongozi ni changamoto kwake. Sasa kwa awamu hii, ni mifumo ndio inatakiwa kuwa na nguvu, ndio maana Rais Samia anasuka mifumo ya haki jinai. Sasa mifumo ya haki jinai itapunguza nguvu ya wale...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Nimeacha CHADEMA vijana wengi imara, vyama sita vimeniomba nijiunge nao

    Dr Slaa siku ya leo jioni akiwa Club house amesema yeye ataendelea kutetea sera nzuri za chama cha CDM kwa kuwa ana uzoefu nao na amekijenga kutoka zero mpaka hapa kinapewa heshima. Kwa upande mwingine amesema yeye sio tena mwanachama hai wa chadema na hata hivyo vyama sita vimemuomba ajiunge...
  9. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Balozi Nangasu, afafanua kwa Mapana kuhusu Mfumko wa bei Tanzania na Uchumi Imara

    Balozi wa Utalii wa Tanzania, Nangasu Warema leo Februari 10,2023 ametoa maoni yake kuhusu mwelekeo wa uchumi kutokana na mjadala ulioibuka bungeni mwanzoni mwa wiki hii. Balozi wa Utalii Nangasu Warema Balozi huyo wa utalii amesema kwamba mataifa mengi duniani yameathirika kiuchumi ikiwamo...
  10. Hamduni

    JamiiForums Tanzania Uchumi imara hujengwa na wananchi wenye afya imara

    UCHUMI IMARA HUJENGWA NA WANANCHI WENYE AFYA IMARA. Na Konakuze Bodi 0759754034 mswaada wa bima ya Afya kwa wote ni sera ambayo inalenga kuijenga, kuisuka, kuimarisha sekta ya Afya na kuwakomboa watanzania kuiuchumi kutokana na uondoaji wa msululu na Utitili wa gharama kubwa kwa...
  11. mama D

    JamiiForums Tanzania CCM ina misingi imara sana; kama wewe ni mpinzani na unabisha umeshafeli

    Nimeamka nikiwaza hali ya upepo wa siasa za Tanzania. Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, vingi vyenye viongozi wanaoangalia maslahi yao wenyewe, wasiojenga vyama kwa nia ya kuliendeleza taifa bali kwa maslahi yao binafsi. CCM ipo sana bado, haing'olewi leo wala kesho. Vyama vingi ni vizuri...
  12. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Dira ya Rais Samia Suluhu kwa Tanzania Imara na yenye Mafanikio Zaidi

    Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu anazidi kuchukua hatua kubwa ili kulipeleka taifa la Tanzania katika mustakabali mwema. Samia Suluhu ameelekeza nguvu zake katika kuendeleza ajenda za maendeleo za mtangulizi wake, John Magufuli, huku akitanguliza utawala bora na haki za binadamu. Baadhi ya...
  13. Unavoidable Servant

    JamiiForums Tanzania Ni brand gani ya haya majiko ya gesi ya plate mbili iko imara na ndio habari ya mjini kwa sasa?

    Wakuu JF ndio kila kitu, kabla ya kukurupuka kwenda shopping ni vyema ukipata muongozo JF. Nimenunuwa Mara mbili majiko makubwa West Point yenye plate mbili gase na plate mbili umeme chini oven lakini yote yamezinguwa, hili la Pili Sasa hivi halitowi moto wa blue linatowa moto kama koroboi na...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tengeneza safu imara, peke yako hutoweza

    TENGENEZA SAFU IMARA; PEKEAKO HUTOWEZA! Anaandika Robert Heriel Mastermind! Moja ya changamoto inayowakabili Vijana wengi ni kukosa SAFU nzuri au kukosa kabisa SAFU katika Maisha Yao. Unakuta kakijana kawatu kapokapo tuu! Hakajui kaelekee wapi, hakajui kafanye nini, hakana watu walioupande...
  15. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunahitaji maji, umeme wa uhakika, huduma bora za kijamii na uchumi imara siyo kutafuta sifa za kisiasa kwa kufurahisha magenge

    Nyerere aliwahi kutamka wazi, Kwamba maadui watatu wa taifa letu ni maradhi,ujinga na umasikini.Hivi vinapaswa kuwa kipimo kwa kiongozi yeyote aliyepo madarakani. Ni ukweli kwamba siasa zina umuhimu na nafasi ya kipekee katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli, Lakini porojo zisizo na...
  16. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kati ya CHADEMA na CCM kipi ni chama imara?

    Kwa kuangalia malumbano yanayoendelea kwa muda mrefu sana humu JF, kuhusu uimara wa hivi vyama viwili, CHADEMA na CCM, nimeona ni bora tukawa na kura ya maoni kuangalia kwa maoni ya watu wa JF kipi ni chama Imara kwa kufuata mambo yafuatayo. 1. Usahihi wa maamuzi ya vikao vya chama. 2. Uwezo wa...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Hongera sana wajelajela prisons kwa kuwa timu imara pindi inapopaki basi

    Nafikiri hakuna timu yoyote inayoweza kupaki basi dk 90 zote mbele ya yanga na ikahimili mashambulizi ya yanga kwa muda wote zaidi ya Tanzania prisons, Leo wamepaki basi lao na almanusura waokote alama kwa Mkapa, Pongezi nyingi kwa timu ya wananchi kuondoka na alama 3 muhimu licha ya upinzani...
  18. mangiTz

    JamiiForums Tanzania Kampuni nyingi hazina mifumo imara kukabiliana na ongezeko la watumiaji

    Habari wakuu, poleni na majukumu pia. Kuna Uzi alileta mdau mmoja kulalamikia mfumo wa TRA kuwa ifikapo muda wa kufile return Huwa unasumbua na kuchukua muda mwingi kupokea (mfumo kupakia data) hivyo huleta usumbufu kwa watumiaji Hivi pia nmeona makampuni kadhaa nitatolea mfano katika...
  19. Msanii

    JamiiForums Tanzania Shaka na porojo za maendeleo imara. Serikali haina kikosi wala vifaa vya uokozi katika majanga

    Majuzi hapa tumemsikia katibu wa propaganda wa CCM akijimwambafy kuhusu uimarishwaji wa kila sekta nchini kupitia serikali ya CCM. Ameenda mbali zaidi kutuita sisi wakosoaji kama.maadui wa mama na tunamtakia mabaya hivyo azibe masikio achape kazi aachane na sisi wanafiki. Katika posti zangu...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Iran wanaposimama imara, lakini si Watanzania

    Wa Iran wanawake kwa wanaume wamesimama imara kupigania haki zao. Hijab haziwahusu wanaume ila haki za wanawake ni jukumu la wote. Kwetu haki zina macho. Ubinafsi umetamalaki. "Kwetu polisi na wauwe watakavyo alimradi watasema wameuwa panya road hiyo ni sawa." Mbaya zaidi ubinafsi huo...
Back
Top Bottom