DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,132
- 45,932
Tumefika hapa tulipo kwa sababu hatuna mifumo ya kuongoza nchi.
Inashangaza kuona anatokea mtu mmoja mjinga anavunja katiba ya nchi na bado anaendelea kuwa kiongozi.
Hatuwezi kupiga hatua kama Taifa liashindwa kuwa na mfumo sahihi.
Wasomi hakikisheni mnalikomboa Taifa kila kitu kinabi kuwa written na sio Mtu anaongea ongea tu kama mlevi.
Kama kila mwezi katika kata ya Temeke wanazaliwa watoto 1000 je Serikali inabidi kuajiri walimu wangapi na kujenga shule ngapi?
Ebu hakikisheni mnakuwa na mifumo ya kuongoza nchi na mtu akitoka nje ya mfumo anabidi kukaa benchi and nothing else.
Inashangaza kuona anatokea mtu mmoja mjinga anavunja katiba ya nchi na bado anaendelea kuwa kiongozi.
Hatuwezi kupiga hatua kama Taifa liashindwa kuwa na mfumo sahihi.
Wasomi hakikisheni mnalikomboa Taifa kila kitu kinabi kuwa written na sio Mtu anaongea ongea tu kama mlevi.
Kama kila mwezi katika kata ya Temeke wanazaliwa watoto 1000 je Serikali inabidi kuajiri walimu wangapi na kujenga shule ngapi?
Ebu hakikisheni mnakuwa na mifumo ya kuongoza nchi na mtu akitoka nje ya mfumo anabidi kukaa benchi and nothing else.