covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,892
- 10,630
Huu ni ujumbe kwenye wenye visoklokwinyoooo na vijiba vya rohoo kwa simba.
Simba ni team kybwa sana hapa Africa na duniani na tunatambua ili tuwe mabigwa africa lazima tucheze na mabigwa.
Wanasimba hatuogopi team yoyote ile maana hao mnaosema watashinda sisi tulishawashinda teyariiiii....
tushinde tufugwe bado tutabaki ni team bora kwa sasa kuliko team yyte ile Africa mashariki na kati na Supercup tutacheza.
Tukutane stade mMohamed V saa nne usiku
Simba ni team kybwa sana hapa Africa na duniani na tunatambua ili tuwe mabigwa africa lazima tucheze na mabigwa.
Wanasimba hatuogopi team yoyote ile maana hao mnaosema watashinda sisi tulishawashinda teyariiiii....
tushinde tufugwe bado tutabaki ni team bora kwa sasa kuliko team yyte ile Africa mashariki na kati na Supercup tutacheza.
Tukutane stade mMohamed V saa nne usiku