Ukiona mkuu wa idara anaejifanya yuko serious, halafu from nowhere tu, kajikuta anafunguka. Na mimi sijamjibu hata kidogo, nikajifanya kama sisikii, mana alichoniitia hakikua hata cha maana, hii inaonesha ameshajaa.
This is my power and I have to use It very subtly. Najua anaweza kujilaumu...