Canal História, currently branded as História, is a Portuguese basic cable and satellite television channel that features history documentaries most of which are produced by History USA and Portuguese and Spanish historic productions, owned by the joint venture known as The History Channel Iberia, between A&E Networks and AMC Networks International Iberia. More recently, it started broadcast some reality television series. Initially it was a single Iberian channel founded by Multicanal (currently AMC Networks International Iberia) with feeds in Portuguese and Spanish. It was created in March 1999 and it split into different channels on 21 March 2012.Some Portuguese historic productions airing in Canal História include Foz Côa about Coa Valley Prehistoric Rock Art, O Tratado de Tordesilhas about the Treaty of Tordesillas, Marquês de Pombal concerning Marquis of Pombal, Portugal e a NATO (Portugal and NATO) and A História Do Azulejo (History of Azulejo).
SOMA VITABU HIVI UJUE HISTORIA YA TANU NA UHURU WA TANGANYIKA
Unajua kwa nini kadi ya TANU No. 3 ni ya Abdul Sykes, No. 2 ni ya Ally Sykes na No. 1 ni ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere?
Unaijua azma ya Hamza Mwapachu (1913 - 1962) katika kuwakusanya vijana wasomi ndani ya TAA...
Ukristo nchini Tanzania ulianzishwa na wamisionari wa Shirika la Mt. Agostino kutoka Ureno walioongozana na Vasco da Gama mwaka 1499 hadi Zanzibar.
Huko walijenga konventi ya shirika lao ili kuhudumia kiroho Wakristo toka Ulaya tu.
Misheni ilipingwa na Waarabu Waislamu na e kukoma mwaka 1698...
"THE TORCH ON KILIMANJARO" KITABU CHA WATOTO KUHUSU HISTORIA YA BABA WA TAIFA
Miujiza ya Mwenyezi Mungu haiishi.
Maofisa kutoka CCM Dodoma walikuwa wamemaliza mazungumzo na mimi kuhusu mengi katika historia ya Mwalimu Nyerere, TANU na mambo mengi yaliyotokea wakati wa kupigania uhuru wa...
Ulishawahi kusikia japo kwa uchache kuhusu Emanuel Macron Rais wa sasa wa ufaransa? Je ushawahi kusikia kuhusu mke wake?
Ni hivi Rais Emanuel Macron wa ufaransa ana miaka 43 ndio rais kijana kuliko maraisi wote waliowahi kuiongoza ufaransa
Emmanuel Macron alianza kumpenda mwalimu wake wa...
KIPINDI MAALUM KUHUSU HARAKATI ZA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA 1954 - 1961
Swahili Villa on line TV ya Washington DC wamefanya Kipindi Maalum na Mwanahistoria Mohamed Said kuhusu harakati za kudai uhuru wa Tangayika kati ya 1954 - 1961.
Mohamed Said ameeleza yale mengi ambayo wanahistoria...
Wanajukwaa,
Nimesikia machache sana na kuvutiwa na hadithi za nguli wa muziki wa Taarab hapa nyumbani Sinti binti Saad. Naomba kumjua zaidi miaka aliyovuma, muziki wake, haiba na mengine mengi.
Kiukweli watu ni wazuri ukiwa na mafanikio tu ila ni wabaya na vituko ukiwa na shida.
Kitu ambacho unaweza kukatishwa tamaa na kufa kifo cha kuzalilika ni pale unapokuwa kwenye matatizo yaliyo kuzunguka.
Kipindi cha Dk. Shika na mia tisa itapendeza kilionekana ni kituko.
Ila kiukweli kiundani...
HISTORIA MAGEUZI SEKTA YA MAJI YAANDIKWA SHILATI, RORYA
WAZIRI WA MAJI Jumaa Aweso amezindua mradi wa Ukarabati wa Miundombinu ya Maji Shirati Wilayani Rorya.
Mradi huu ni mafanikio ya kihistoria kwa wananchi wa Shirati ikiwa ni utatuzi wa changamoto kubwa ya Maji iliowakabili kwa muda mrefu...
Majeshi ya Libya yaelemewa na JWTZ nchini Uganda.
#Sehemu #ya - 20.
Toleo lililopita tuliona jinsi askari wa Libya walivyo elemewa nchini Uganda na namna wengine walivyouawa na wengine kuchukuliwa mateka.
Hatimaye Iddi Amin alipoona kuwa Libya haiwezi kumuokoa katika kuzama kwake,alizigeukia...
Inasemekana hawa samaki wanazaliana kama nyuki, unaweza ukawaweka 10 tu kwenye bwawa, baada ya mwaka ukawakuta wapo milioni 10. Je, hii haiwezi kutumika kutumika kutokomeza utapiamlo wa protini Tanzania?
Video ina maelezo ya ziada juu ya Asian Carp
Rejea kichwa cha Habari hapo juu
Ni mechi ya kirafiki iliyochezwa tarehe 2/8/2014 mjini Michigan kwenye dimba la Ann Arbor Stadium, Nchini Marekani, ilihudhuriwa na watazamaji 109,318 na kuweka historia ya aina yake kwenye ulimwengu wa kandanda kwa vilabu.
Mechi hiyo ya kirafiki Manchester...
SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LAKUTANA NA JUKWAA LA WAHARIRI WA HABARI TANZANIA.
Mwandishi wetu, Dar es salaam
Leo 29 Julai, 2021.
Shirika la Posta Tanzania likiongozwa na Kaimu Postamasta Mkuu Ndugu Macrice Daniel Mbodo limefanya Mkutano na Jukwaa la Wahariri wa Habari Tanzania lengo ni kuwaeleza...
Dr. Kyaruzi alikusudia kuandika kitabu kueleza historia ya maisha yake katika siasa za Tanganyika wakati wa ukoloni na kueleza juhudi zake katika kuchangia fikra katika Constitutional Development Committee akishirikiana na Hamza Mwapachu na Dr. Luciano Tsere.
Kamati hii yao waliipa jina la...
Kuna mdau yeyote mwenye taarifa na eneo hili pale kawe(263 acres) na nini mustakabali wake?
Inaonekana wanasiasa na viongozi wa dini wamejimilikisha.
Nini hatma ya mashine zilizokuwemo? Zilienda wapi?
Huyu bhana pamoja na kuzaliwa kipindi cha uhuru lakini dalili zinaonesha anaenda kukuza uhuru wa kufurahia demokrasia hapa nchini.
Ninatamani sana kesi yake ingurume ili tuone matendo ya kigaidi aliyoyafanya ili nilinganishe na ya Ole Sabaya na ya Mnyeti halafu ikiwezekana afungwe kabisa si...
HISTORIA YA MAPENDEKEZO YA KATIBA YA GAVANA EDWARD FRANCIS TWINING 1950 (SEHEMU YA KWANZA)
Juma Mwapachu mtoto wa Hamza Mwapachu miaka mingi nyuma katika mazungumzo wakati natafiti historia ya TANU aliniambia kuwa katika vitu vyote ambavyo baba yake alikuwa akijivunia katika maisha yake ya...
Nianzie mkoani Kigoma
Mzee Kamachi ni Muha mzaliwa wa Kigoma Mjini Gungu
Kamachi alizaliwa miaka ya 1960 mkoani kigoma alikuwa mtoto wa kwanza kwenye familia ya Saidy Kumachi
Mzee Saidy alimzaa Kumachi baada ya kumpa mimba mama yake Kumachi wakati huo akiwa bado mwanafunzi jambo lililopelekea...
Luteni wa jeshi la Uganda (UPDF) alivyo ziingiza vitani Tanzania na Uganda.
#Sehemu #ya - 1
Kuanzia leo nitawaletea makala mfululizo zinazohusu Vita ya Kagera kati ya Tanzania na Uganda iliyodumu kwa miezi sita kati ya mwaka 1978 hadi 1979.
Vita hiyo ilianzia mkoa wa Kagera unaopatikana...
Ukitaka orodha ya Mabunge yanayo pitisha sheria za hovyo basi Bunge la Tanzania hupaswi kuliacha kabisa.
Pale Dodoma Bunge limegeuka kuwa taasisi ya kupitisha kula kinacho pangwa na Serikali, haijawahi tokea wakakipinga hata ile ya kinafiki.
Kila kinachoplaniwa na Serikali lazima wakipitishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.