Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,646
- 698,169
Katiba mpya yaja na hili sio jambo geni wala la kubahatisha tena. Tumetoka mbali na tumepitia mengi mabaya na mazuri ya kushangaza na ya kuleta matumaini pia. MOJA LILILO WAZI ni kwamba KATIBA MPYA haizuiliki tena!
Jamii Forums ni mtandao tegemewa kwa mengi hapa Tanzania hasa linapokuja suala la mawazo mbadala yenye tija na chanzo kikubwa cha habari za kuaminika na kujenga.
Mawazo na makala nyingi za katiba mpya aina vinapitia hapa ama vinaanzia hapa
Viongozi wengi serikalini ni watumiaji wakubwa wa huu mtandao wa JF
Vyama vya kijamii, wananchi, waandishi mbalimbali, na watu wengine wote wa kaliba zote ni watumiaji mahiri wa JF
Kwa maana hiyo basi tunapoingia kwenye mchakato muhimu wa katiba mpya, Jamii Forums kupitia wewe inaweza kutoa mchango muhimu na mkubwa kwenye kupata katiba mpya Tanzania
Kuwa sehemu ya historia tukuka! Weka wazo/mawazo yako sasa kuhusu katiba mpya. Kumbuka kati ya mengi tutakayoyaandika hapa machache yataingia kwenye katiba mpya. Historia itakukumbuka, historia itatukumbuka. Jamii Forums itakumbukwa!
Unawaza nini kuhusu katiba mpya? Karibu sasa kama mzalendo na mhitaji wa katiba mpya kwa manufaa yetu sote na vizazi vyetu vijavyo!
Karibuni kwa furaha na moyo wa kujitoa kushiriki hili
Jamii Forums ni mtandao tegemewa kwa mengi hapa Tanzania hasa linapokuja suala la mawazo mbadala yenye tija na chanzo kikubwa cha habari za kuaminika na kujenga.
Mawazo na makala nyingi za katiba mpya aina vinapitia hapa ama vinaanzia hapa
Viongozi wengi serikalini ni watumiaji wakubwa wa huu mtandao wa JF
Vyama vya kijamii, wananchi, waandishi mbalimbali, na watu wengine wote wa kaliba zote ni watumiaji mahiri wa JF
Kwa maana hiyo basi tunapoingia kwenye mchakato muhimu wa katiba mpya, Jamii Forums kupitia wewe inaweza kutoa mchango muhimu na mkubwa kwenye kupata katiba mpya Tanzania
Kuwa sehemu ya historia tukuka! Weka wazo/mawazo yako sasa kuhusu katiba mpya. Kumbuka kati ya mengi tutakayoyaandika hapa machache yataingia kwenye katiba mpya. Historia itakukumbuka, historia itatukumbuka. Jamii Forums itakumbukwa!
Unawaza nini kuhusu katiba mpya? Karibu sasa kama mzalendo na mhitaji wa katiba mpya kwa manufaa yetu sote na vizazi vyetu vijavyo!
Karibuni kwa furaha na moyo wa kujitoa kushiriki hili