hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Hii ndio ladha pekee iliyobaki nchini

    Kwa sasa, hii nchi yetu ya umoja ni nguvu haina ladha tena kwenye mambo mengine. kwa mimi binafsi sasa labda habari za soka pekee kwa hapa kisiwa cha AMANI Zilizobaki zote naona siwezi kufatilia namaanisha zote,iwe politics, uchumi, teknolojia nk. Mungu atufumbue wabantu bado tuna safari ndefu...
  2. PMWAKA

    Nimefungwa POP mkononi, lakini naskia maumivu makali mkwenye mkono, hii ni kawaida?

    Wakuu nisaidieni hili jambo. Nilienda kunyooshwa mkono (ulijikunja baada ya ajari), nikapigwa nusu kaputi sababu ulikua stiff ili.ukinyooka nifanyiwe surgery. Sasa umenyooshwa na nimewekewa pop, leo siku ya 2, lakini maumivu hayapoi ndani ya pop, japo nilipewa maelekezo ikitokea ngozi ya vidole...
  3. Expensive life

    Mnaotamani kuja Dar es salaam hii ndio dar yenyewe je! Mtaiweza?

    Ndugu zetu wa Mikoani hii ndio dar es salaam sasa, huku usafiri wa umma hasa nyakati za asubuhi na jioni bila kuwa mbabe haupandi. Nimewahi kushuhudia dada mmjoa akiwa katika purukushani za kuingia kwenye usafiri ile vuta ni kuvute, akajikuta maziwa yote yapo wazi, na yeye hakujali wala nini...
  4. 1Africa54

    Leo hii ukipata kiasi gani Cha fedha utaachana na kuajiriwa?

    Leo hii ukipata kiasi gani Cha fedha utaachana na kuajiriwa? 👇👇👇👇👇👇
  5. kyagata

    Hii picha ya Rais Samia imenibubujisha machozi ya furaha

    Wakuu Kiukweli Rais Samia anapambana sana kuinua hali za watanzania kiuchumi. Hii picha imenibubujisha sana machozi ya furaha.
  6. Hammer11

    Hii nimeitunza

  7. C

    Hivi wataalamu wa saikolojia hii ni nini mwanaume anatamani kutukanwa kuwa yeye ni shoga?

    Nimekuwa nikijiuliza sana hili suala la mtu kutamani kuoga matusi katika akaunti zake za mitandao ya kijamii huwa linatokana na nini? Kuna hawa vijana wawili wa timu moja kubwa hapa nchini,mmoja ana mwanya na mwingine alionekana kulia kwenye arusi ya rafiki yake. Huyu mwenye mwanya hawezi...
  8. Billion Dolar

    Duh hii imekaaje

    Wakubwa mi nafanya kazi mahali flani serikalini, ni mkuu wa kitengo. Kwa kazi zangu nakutana na watu wengi sana kwa siku. Sasa alikuja binti kama 20yrs hivi ila ana mwonekano kama wa kikubwa sababu ya urefu na mwili. Ofcourse nilivutiwa nae sana. Sasaa nikamhudumia na baada ya huduma kuna...
  9. Tuo Tuo

    NMB naomba mnijibu hii hesabu

    Wakuu, Juzi nimewekewa hela kwene akaunti cha ajabu kwene salio haikuonesha kuongezeka….. Aliyeniwekea nikamwambia mi sijaona akajibu amepewa na risiti nikamwambia uongo huo akarudi kwa wakala ,wakala akasisitiza ameweka….. Ikabidi nichukue statement. Jana nikarequest statement nikakatwa hela...
  10. matunduizi

    Kama taifa tukatae Tabia ya kutakiana vifo na umauti. Hii inachafua angahewa la nchi

    Tangu awamu iliyopita imeibuka Tabia ya kutakiana vifo. Kifo sio option ya mwisho, Kuna kubadilika. Mfano Polepole hakuwahi kukemea Lissu kupigwa risasi angalau Sasa anadai kabadilika anakemea maovu. Hii Tabia imeenda mbali Hadi karibu watumishi wa Mungu mitandaoni kukicha wanatabiria watu...
  11. Sifi Leo

    Rais anasikitika wananchi wanafurah hii Ina maana Gani kwa Rais, naomba wakamatwe wote mpaka tuzike ndo watoke rumande

    Nauliza hivi kweli Rais anauzunika ANALIA wananchi mnaruka ruka mna adabu nyie kweli? Nafahamu Pascally Mayalla na Proffesa Mussa Assad mnafurah ila ndo mkodi mziki? Naomba mwekwe ndani mpaka azikwe.
  12. JamiiCheck

    Unajiamini kwenye kubaini maudhui ya AI? tukutane hapa. Dosari gani unaziona kwenye video hii?

    Mdau mmoja kutoka katika mitandao ya kijamii alichapisha kipande hiki na kudokeza kuwa imetoka huko Arizona. Tushirikiane kuthibitisha kwa kutaja dosari zinazoonekana.
  13. Think2

    Kauli hii ya wanawake "Nimempa kila kitu still kaniacha"

    Hii kauli inayotumiwa na wadada "nilimpa kila kitu still akaniacha"haiko sawa, unakuta hio kila kitu ni mapenzi(papuchi) tu 😁.
  14. Isenye

    Tumefikia hapa na huyu mrembo,niweke gia number ngapi ili nitafune hii mali?

    Poleni na msiba wa ndugu Ndungai. Sasa iko hivi, Jana kuna bibie nilikua namfuatilia muda mrefu tu,nikapata number yake. Nimemtongoza tumefikia hapo ila mimi lengo langu nataka nimtafune chap kisha niingie mitini. Hapo niweke gia number ngapi ili lengo langu litimie?
  15. ELI COHEN

    Waifu Material pokea hii mantiki kama majibu ya swali lako la "kama mwanamke haumpendi kwa nini unaingia kwenye maisha yake?"

    Mwanamke huyu huyu anayeweza kukubali kuolewa kuwa mke wa pili kwenda kujaribu kushare mapenzi na mwanamke mwenzake au kuwa mchepuko ili hali anajua awala yake ana mke, ndio huyu huyu anaulizia integrity ya mapenzi yangu kwake???? Haileti sensi Mwanamke huyu huyu ukiwa na rasili mali za kutosha...
  16. ELI COHEN

    Kwa nini hii kauli huwa inawapa kiwewe wababa🤣, 🗣️"Haukuwepo nyumbani kwa hio nimemuachia mkeo ile hela"

    Utasikia... "Ayaaaaaaaaaa"
  17. flynn05

    Wakuu naomba kuuliza Hivi hizi simu za Samsung gt e1207 bado zinafanya kazi mpaka miaka hii

    Naitaji kununua na nimeiona dukani ila ni simu za mda mrefu sana, so najiuliza na naomba mnisaidie watu wa tech, je ni bora na zinafanya kazi vizuri tu au ninunue tecno ya elfu 20?!
  18. Bibianna

    Hii TMX ni kiboko ya vibaka

    Rais Samia ameanzisha Soko la TMX mauzo ya mazao yaongezeka kwa asilimia 300 imani ya wakulima imeongezeka Chini ya Rais Samia Serikali imeimarisha udhibiti wa biashara ya mazao ya kilimo kwa kutumia mfumo rasmi wa masoko kupitia Tanzania Mercantile Exchange (TMX). Kupitia mfumo huu, wakulima...
  19. Carlos The Jackal

    Jaji Mutungi : Awamu hii Mahakama yenyewe imekubali Shauri la Mch Dkt Malisa dhizi ya CCM, hili tu la kukubali kusikiliza Kesi, Haliwatii Aibu?

    Tuachilie Mbali Hukumu itakayotolewa ambayo huenda Ikatolewa Kwa Maelekezo!! Hili tu la Jopo la Majaji Watatu kuona Mch Dkt Malisa ana Hoja, Je halitoshi Kwa nyie Majaji wasajili wa VYAMA vya SIASA kuishurutisha CCM kama ambavyo mnafanya Kwa CHADEMA??. NYIE WAZEE HAMNA AIBU WALA HAYA USONI...
  20. Now and then

    Hela alizokuwa anamwaga Byabato katika Mchakato wa kura za maoni Bukoba Mjini , hii inaonesha kutumbuliwa kwake kama naibu waziri lazima kuna namna.

    Mchakato wa kutafuta Mgombea Ubunge Pale Bukoba Mjini uligubikwa na hujuma kutoka kwa Byabato . Pamoja na kwamba Byabato hakuwa sehemu ya wagombea Ila alikuwa akimwaga pesa ili kushinikiza Mbunge anayemtaka yeye na sio ambaye anakubalika na chama na wananchi. Swali la kujiuliza hizi Pesa...
Back
Top Bottom