hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. Dogoli kinyamkela

    Tupe ushuhuda kuhusu hii kamati ya nidhamu

    Tupe ushuhuda kuusu hii kamati ya nidhamu
  2. Mhaya

    Traditional Media kama TV & Radio zinaenda kutoweka miaka ya mbeleni na hii ndio sababu

    Ukweli mchungu ni kwamba traditional media (TV, Radio, Magazeti) zipo kwenye kipindi cha mpito. Watu wengi wanahamia kwenye digital & on-demand content kwa sababu wanataka control (wao ndio wadhibiti nini waone au wasione), freedom (uhuru kupata habari yoyote) na diversity (habari za maudhui...
  3. Macbook pro

    Mnaopost wapenzi wenu hii inawahusu

    Habarini za asubuhi 5 am Club members na Wengine ? Nimeamka asubuhi hii nikawa na natizama status kidg kabla sijaenda mezani kufanya kazi zangu binafsi kabla ya muda wa kwenda kutimika utumwani (Utumishi). Nimekutana na post ya mshikaji mmoja amepost picha ya Mwanamke ambaye ni mke wake kwa...
  4. comrade_kipepe

    Sifa na kiburi kikizidi

    Wakristo mnasemaje hapo?!
  5. N

    Week hii nina jambo langu

    Habari wakuu, Week hii ninajambo langu zito sana nafikiri baadhi ya watu wanalielewa vizuri. Kwahiyo tukae attention Weka kambi hapa
  6. kiss ov love

    Kuna namna hii sekta imenikataa kabisa

    Naona kabisa hii sekta ikielekea kunishinda maana kila napoingia ni afadhali nilipotoka🥲 Au mimi sijaandikiwa kuwa na mwenza wa maisha, maana hii siyo hali ya kawaida kabisa kwa kijana mdogo kama mimi. Naona kwasasa niachane na hii sekta nijikite kwenye masuala mengine ya msingi.
  7. jikuTech

    Kama Hesabu rahisi (Fedha,idadi,muda) za kila siku zina eleweka , Basi hii Hapa ni Mbinu rahisi ya kuelewa Programming Kupitia Websites na Mobile App

    Programming tafsiri rahisi ni kutengeneza programu ,kwamba baada ya kufanya programming ndio inapatikana programu ya kompyuta, undani wa kujua programming ni kufahamu sayansi ya kompyuta. LAI : Maelezo haya ni ya kiswahili lakini kwa neno ambalo hauja lielewa kabla ya kuendelea chukua muda...
  8. M

    Mtwara ilipaswa kuwa Business Center nchi hii na je kilichomfanya ndugu Nyerere aiondoe Reli ya Mtwara ni nini?

    Naamini hilo bila shaka Mtwara ndiyo ilipaswa kuwa makao makuu ya nchi hii na business center kwa nchi hii ila tu uroho,ubinafsi na chuki ya viongozi wa nchii hii kutokana na ukanda wao tu hivi kitu gani ambacho kwenye nchii hii Mtwara hakuna madini mtwara yapo,eneo la Bahari lenye kina kirefu...
  9. Brayan_Jk

    Je video hii ni kweli au AI?

    Ni kweli au AI? Kama wewe ni Mfugaji wa Kuku Fuga App inakusaidia : kutunza rekodi za Ufugaji kiurahisi zaidi Inakusaidia kujua chakula kinaisha lini na pia kiwango cha chakula kwa siku ili usiwapunje au kuzidisha. Inakukumbusha chanjo kwa njia ya SMS siku moja Kabla na siku husika ili...
  10. ELI COHEN

    Mashabiki wa livakuku wanaichukiaga sana hii picha

  11. M

    Hii video inayosambaa ya mkenya aitwaye Stanley inasikitisha sana

    Habarini wakuu, Stanley ni kijana wa Kikenya aliyezamia USA zaidi ya miaka 10 iliyopita yaani kiufupi ni muhamiaji haramu. Sasa upwiru umemponza, alikutana na binti wa miaka 15 mtandaoni akamtongozya wakakubaliana kufanya appointment. Bwana Stanley akaenda kwa binti akiwa na illegal firearms 2...
  12. kadiri kasimba

    Hii kitaalam inaitwaje wakuu?

  13. VictoriaGreenHerbal

    Ugonjwa Wowote? Hii Mchanganyiko Asilia Inaweza Kukusaidia

    Ugonjwa Wowote? Hii Mchanganyiko Asilia Inaweza Kukusaidia Asali na mdalasini ni zawadi kutoka kwa Mungu ambazo zimekuwa zikitumika kwa maelfu ya miaka kutibu maradhi mbalimbali. Mchanganyiko huu wa asili una uwezo wa kupambana na bakteria, kuimarisha kinga ya mwili, na hata kuzuia magonjwa...
  14. M

    Hii series ya Daudi na Goliati imenibamba sana

    Nimetokea kuikubali sana hii series Maisha ya Daudi akiwa mchungaji wa kondoo huko milimani akipambana na wanyama wakali huku kaka zake wakiwa nyumbani Maisha ya mfalme Sauli aklivyolewa sifa kuona mafamiko yote ni yake na jinsi alivyo kiuka maagizo ya Mungu Nabii Samueli alietumika kumsaidia...
  15. baz kaiza

    Je, ni kweli hii nchi ni ya Familia zisizopungua 50 wengine sisi ni wapangaji au Vidampa

    Je kweli maana mpaka sasa Polepole anaongelea mafichoni ukiangalia hamna kosa ila ameongea yale yale familia 50 wasiyopenda. Lissu yuko jela tatizo nini kaongea yaleyale familia 50 wasiyoyapenda. Wengine tumebaki kua makasuku kuimba yale ambayo famallia 50 wanapenda Leo Maxi Mello walimwambia...
  16. Financial Analyst

    Kuna vijana fulani humu basi wakionaga huu muunganiko huwa wanatetemeka balaa

  17. Chizi Maarifa

    Simba ikishinda leo hii Adhabu nipate kwa wiki mbili mfululizo

    Kama kawaida Yanga tunaenda mchukua mwali wetu tujimwaye mwaye naye msimu huu wote. Leo ndo tunakabidhiwa mwali. Naweka hili bandiko hapa. Simba ikitokea leo ikamfunga Yanga niwe banned kwa wiki 2 mfululizo. Najua kuna watu wanaweza jiua kwa kukosa nyuzi zangu za kuelimisha hapa jukwaani...
  18. Fascinating

    Hii Minong'ono itaathiri bei ya hisa za CRDB?

    Agosti mwaka huu, CRDB ilikuwa trendy sana, market cap ya Tsh trilioni 3.6 na hisa zake ziliuzwa kwa zaidi ya Tsh 1,500. Kila mtu alitaka kuzinunua, akitumaini mambo yatazidi kuwa matamu, lakini ma-speculators walikimbia. Sasa mwenendo wa CRDB huko DSE unawapa watu tumbo joto, na licha ya...
  19. M

    Ipe maneno picha hii

    ----- Mimi naanza Naitwa Mwizukulu wa Buganda, Natokea Mbarara Uganda, ni mfanyabiashara wa Kahawa na Sijaoa. Natoa milioni 50 kama mchango wa kanisa.
  20. Mtu Asiyejulikana

    Jinsi ambavyo watu wanajaribu Kuibagaza Yanga. Serikali iingilie kati suala hili. Hii ni Team ya Chama

    Huu ujinga serikali ikemee. Yanga ni team ya Taifa. Kwa nini watu watumike kuibagaza na kuibananga namna hii? Hili shoga limevaa jersey ya Yanga linfurahia kama ambavyo huwa yanavaa za CCM.
Back
Top Bottom