hesabu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kavulata

    Billioni 87, Mo anazijua hesabu za magazijuto?

    Bilioni 87 ukitoa (minus) (Bil 20 za uwekezaji + mapato ya jezi + Idadi ya matangazo ya bidhaa za mo kwenye jezi na gari la simba + udhamini wa m-bet + udhamini wa NBC + udhamini wa Azam + goli la mama+ ndege ya mama + fedha za CAF + Aluminum + viingilio vya uwanjani + ada ya wanachama) = Y...
  2. Now and then

    Je serikali ilipigaje hizi hesabu , wanafunzi ambao wapo darasa la nne wataingia secondary mwaka 2028 na ambao wapo darasa la tano wataingia 2028.

    Je serikali ilipigaje hizi hesabu , wanafunzi ambao wapo darasa la nne wataingia secondary mwaka 2028 na ambao wapo darasa la tano wataingia 2028. Je ikiwa tutautekeleza huu mtaala Mpya , maana yake wanafunzi ambao wapo darasa la nne mwaka huu wataingia form one 2028 na ambao wapo darasa la...
  3. LIKUD

    Kinacho waponza Lissu na Chadema ni kutokujua hesabu. Nashauri Lissu ukitoka ndani rudi darasani ukasome upya hesabu

    Ndugu zangu watanzania, somo la hesabu halikwepeki. Hesabu ndio mama wa maarifa yote duniani. Hesabu hazidanganyi. Mathematics co-exist with nature. Mathematics is the language of the universe. Mathematics is the language of mother nature. Mathematics is the language of God himself. Huwezi...
  4. Rector1983

    Msaada wenu kwenye interview utumishi kada ya msaidizi wa hesabu II

    Msaada kwa wanaohitaji aptitude interview questions kada ya msaidizi wa Kumbukumbu II, nimeyaambatanisha maswali na mshindwe nyie tu.
  5. A

    Mliokuwa mnafaulu sekondari hasa masomo ya hesabu mlikuwa mnatuchukuliaje sisi tuliokuwa tunafeli?

    Aisee nimiaka kama tisa hivi toka nifeli form kidato nimepambana sana hapo katikati sasahivi mambo mazuri Nimeenda kijijini nikakutana nawale manguli wa sayansi wamekua walimu wa sekondari hiohio tuliosomea wanajitolea sio ajira rasmi Nilikuwa kwenye mnyama ford ranger aisee wamepagawa kuona...
  6. K

    Natafuta gari ya hesabu (bolt na uber)

    Habari za asubuh wana JF Mimi ni dereva natafuta gari ya kufanyia kazi tax mtandao yani bolt vigezo vyote ninavyo kama leseni, Account za tax mtandao yani uber na bolt, naombeni kazi mimi naishi Kivule Matembele ya pili Dar es Salaam, Wilaya ya Ilala. Mawasiliano yangu ni 0758 -871 707 au...
  7. Munch wa Annabelle

    Je, unaubavu wa kuisolve navier stokes? Kama wewe unajifanya mbabe wa fizikia na hesabu billioni 2 zinakusubiria

    Wana Jamii, Tunaongea sana kuhusu "fizikia ni rahisi", au "hesabu za shule zinatosha kuelewa dunia"... lakini leo twendeni mbali zaidi kidogo. Kuna equation moja ya dunia halisi—Navier–Stokes—ambayo inakataa kutii akili za watu kwa zaidi ya karne moja. Na ndio, anayefanikiwa kuielewa...
  8. Komeo Lachuma

    Israel imekuwa ikiimezea/itamani Iran muda mrefu sana. So whatever inachofanya sasa ilishajiandaa na kupiga hesabu

    Huu ushahidi wa mwezi wa 4 Waziri akisema atakuja ponda ponda kichwa cha nyoka baada ya kumaliza vidagaa vyake.
  9. Crocodiletooth

    Gwajima alipiga hesabu mbovu!

    Kama ilivyo kawaida maisha ni fedha, kwa lissu, mbowe, Lema na wote mnaowaona wanapiga kelele kwa kivuli cha Demokrasia, Bwana Gwajima alishayaona ya mbeleni ya kwamba kwa kuwa hakuna alilowafanyia Wana Kawe lolote lile la msingi, kurudi kwake bungeni itamuwia vigumu sana, ukizingatia wakati...
  10. village66

    Mimi ni dereva wa UBER, bolt, farasi natafuta gari ya hesabu

    Mimi ni dereva wa tax mtandaoni maarufu kama bolt , na uber nina leseni yenye daraja c pia ninauzoefu na kazi hii. Ninatafuta gari ya hesabu. Ni dereva mwaminifu na mtunzaji wa gari. Gari ya mafuta hesabu 150000. Gari ya gesi hesabu 200000. Ninapatikana kwa namba hizi. 0628192114. 0786094712.
  11. I

    PreGE2025 Hesabu za kimedani zimemtupa nje Gwajima katika ramani ya urais, kuendelea kumjadili ni kupoteza muda

    🕵🏾‍♂️ CONFIDENTIAL DOSSIER | OPERATION: SHADOW VOTE “Politics is war without bloodshed, while war is politics with bloodshed” – Mao Zedong 📍 INTELLIGENCE BRIEFING Kumekuwa na movement ya chini chini inayomweka “The Preacher General” kama the next big thing kwa kiti cha juu kabisa cha nchi...
  12. M

    Bila hesabu biashara yako itakufa

    Jacob alikuwa mvulana mwenye hamu kubwa ya kufanikiwa. Aliamua kuanzisha biashara ndogo ya kuuza viazi karo kwenye mtaa wa jiji. Kwa bidii, alinunua viazi, kukaanga, na kuanza kuuza kwa shilingi mia moja kwa kila kikapu. Lakini Jacob hakupenda hesabu. Alidhani kuwa biashara ni kuuza tu na...
  13. A

    Ewe Mmiliki wa Shule/Chuo Tumia Njia hizi MPYA Za Kuandaa Hesabu Za Biashara Yako 2024

    Kama umekuwa ukivutana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) sababu ya kodi inayotokana na uandaaji wa hesabu za shule au chuo chako…Basi soma mpaka mwisho… UKWELI USIOPINGIKA…Zipo shule pamoja na vyuo mbalimbali hadi leo hii wamelemewa na madeni makubwa yatokanayo na kodi kutoka TRA. Hili siyo...
  14. Meneja Wa Makampuni

    Mwalimu wa hesabu online bure kabisa (Tanzania)

    Vijana mnao soma olevel kuanzia kidato cha kwanza hadi ya Sita. Jifunzeni hesabu online kwa huyu teacher yupo nondo sana. Channel yake ya YouTube ni: https://youtu.be/Y77Sx4L-RVw?si=tlGThfXpJSUdupmz Anafundisha bure
  15. H

    Ufaulu wa somo la Hesabu Shule za Sekondari ni kwenye 25% nini Suluhisho?

    Nimesikia kupitia Radio One leo Asubuhi mtakwimu Mkuu wa Serikali bibi Mjema akishtushwa na ufaulu wa somo la Hesabu kuwa chini sana kwenye 25% Naomba nimjulishe tu kuwa, asipoteze pesa kwa ajili ya kufanya utafiti kwani jibu lipo waziwazi; "MASHULENI HAKUNA WAALIMU WAKUTOSHA NA WENYE SIFA YA...
  16. SPONSA

    MDAs na LGAs afisa hesabu wasaidizi (assistant account officer) hatujui hatma yetu kuhusu kufanya interview???!

    Naomba kuwasilisha maulizo yangu kwa wadau kuhusu sisi maafisa wasaidizi wa hesabu (assistant account officer), ambao tuliomba nafasi za kazi MDAs na LGAs ni lini tutaitwa kufanya interview kiuhalisia tumekata tamaaa wengi wetu tukifikiria kwamba tumetengwa maana kila kada karibia zote...
  17. S

    Natafuta gari ya hesabu ( bolt na uber )

    natafuta gari ya hesabu ( bolt n uber ) na uzoefu wa miaka mi tatu na vigezo vyote na leseni no zangu ni 0699448532
  18. X

    China na Marekani zinatumia mifumo tofauti ya kufanya hesabu za GDP. Kuna uwezekano mkubwa GDP ya China ni kubwa kuliko ya Marekani.

    Standard ya kupima GDP kati ya China na Marekami ni tofauti GDP ya China inatumia mfumo wa production au productive sectors. China wanaangalia hasa total output ya kila economic dept kama industrial production, mining, construction n.k minus imports. Na GDP ya China huwa haihesabu...
  19. 4GPA

    Nahitahi pikipiki ya hesabu au mkataba

    Poleni na kazi wakuu, Mimi kijana nahitaji pikipiki ya hesabu au mkataba, kwa yeyote ambae yuko tayari kufanya biashara ya pikipiki mimi niko tayari. Nipo LINDI Tajiri akiwa Lindi au Mtwara itakua bora zaidi MAWASILIANO 0714441827
  20. C

    Mkopo wa piki piki ya hesabu au pesa ya kununulia piki piki

    Nakuja kwenu wafanyabiashara na watu wenye uwezo wa kunisaidia shida yangu ya Mkopo wa kupata PikiPiki kwa ajili ya kufanyia DELIVERY kwenye biashara zangu au Kiasi cha Pesa chenye thamani ya piki piki husika ili niende nunua mwenyewe Piki Piki hiyo MPYA dukani. Piki Piki ninayohitaji ni...
Back
Top Bottom