Gblaiz
Member
- Dec 7, 2016
- 15
- 22
Naitwa George ludomya makazi ni Kunduchi, Dar es Salaam.
Nimekuja kwenye Jukwaa hili ili kuomba kama kuna mwenye ajira ya dereva Bajaji iwe Mkataba au hesabu. nina leseni iliyokamilika pamoja na cheti kutoka veta ,pia nipo tayari kuja na mdhamini ambaye yupo serikali, passport zitakazo hitajika na kuandikishana serikali za mtaa kama utaratibu unavyotaka Namba zangu za mawasiliano 0753-500892 na 0741-077707 , Natanguliza Shukrani zangu, Ahsanteni.
Nimekuja kwenye Jukwaa hili ili kuomba kama kuna mwenye ajira ya dereva Bajaji iwe Mkataba au hesabu. nina leseni iliyokamilika pamoja na cheti kutoka veta ,pia nipo tayari kuja na mdhamini ambaye yupo serikali, passport zitakazo hitajika na kuandikishana serikali za mtaa kama utaratibu unavyotaka Namba zangu za mawasiliano 0753-500892 na 0741-077707 , Natanguliza Shukrani zangu, Ahsanteni.